The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 6,017
- 19,506
Je Unajua kama kuna tofauti ya RAS na Rasi? Au unajua kama hivyo ni vitu viwili tofauti?Wee mtu gani yuko ofisini kabisa anaandika 'Rasi' badala ya 'RAS'
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je Unajua kama kuna tofauti ya RAS na Rasi? Au unajua kama hivyo ni vitu viwili tofauti?Wee mtu gani yuko ofisini kabisa anaandika 'Rasi' badala ya 'RAS'
Umesoma ukaelewa?Abarikiwe sana,maana Tanzania ni yetu sote
KabisaMisukule ya lumumba🤔🤔
Hawafai kabisa hawaKabisa
NotedHawafai kabisa hawa
ulimwona mpinazani wake lakin. hata km ni wewe utamwonea huruma kwanza anaonekana hana uwezo kabisa hata wa kuaandaa campeni hivyo january anajua kabisa hiloMbona January Makamba aogopi uchaguzi mpinzani wake wa CDM aliposahau picha yeye mwenyewe ndio kashauri mkurugenzi ampe muda azifuate ajaze vizuri form wapambane kwenye sanduku la kura.
Huu ushindi wakupewa na wakurugenzi sio democratic kabisa, shughuli yote aliyowafanyia Magufuli huko majimboni kama awawezi tumia hayo maendeleo waliyopelekewa kujinadi hao watu jua bungeni wanaenda kugonga meza tu.
The whole thing as elements of cowardice behaviour, win on merit and nothing else; kwanza ushindi wa mezani ata auna raha.
Sijui, tafadhali nijulisheJe Unajua kama kuna tofauti ya RAS na Rasi? Au unajua kama hivyo ni vitu viwili tofauti?
Darasa la sabaWee mtu gani yuko ofisini kabisa anaandika 'Rasi' badala ya 'RAS'
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] alikuwa anachati....baada ya mjomba kumaliza kuimba meza kuu wote walipiga makofi kasoro yeye
Mungu atamuinua kwa namna nyingine inshallahIla yawezekana ikawa ndo mwisho wa ajira yake... ( ..kapewa gari, analipwa mshahara... kwanini afanye hivii...? )