Uchaguzi 2020 Msimamizi adai amefuta mapingamizi yote Serengeti na kumtaka kila mgombea apigane na hali yake, CHADEMA Wakanusha

ulimwona mpinazani wake lakin. hata km ni wewe utamwonea huruma kwanza anaonekana hana uwezo kabisa hata wa kuaandaa campeni hivyo january anajua kabisa hilo
 
Hivi sasa kuna msamiati mpya kwenye uchaguzi huu unasemwa " ameenguliwa kihuni" najaribu kutafakari kama mgombea amefanya makosa kujaza fomu akienguliwa nae pia atakuwa ameenguliwa kihuni?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] alikuwa anachati....baada ya mjomba kumaliza kuimba meza kuu wote walipiga makofi kasoro yeye

Yule huwa wanamforce hana time hata msiba wa mkapa...alishtukizwa kuongea na mheshimiwa uliona alivojibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…