Msimamizi Mkuu wa SADC Uchaguzi wa Botswana Mzee Pinda mfikishie salamu Rais Samia

Msimamizi Mkuu wa SADC Uchaguzi wa Botswana Mzee Pinda mfikishie salamu Rais Samia

Nandagala One

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2020
Posts
1,913
Reaction score
2,286
Habari wanajamvi!
MH Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo K .Peter Pinda, alikuwa msimamizi mkuu wa Uchaguzi wa Botswana kwa mwavuli wa Jumuiya ya Maendeleo Ya kusini mwa Africa SADC.

Nakuomba Mfikishie salamu Mama Abdul kuhusu uliyaona kwa macho yako uliposimamia uchaguzi huo wa Botswana.

Usiishie kukutana na Watanzania wa Botswana kunywa whisky na wine!
Ukirudi nyumbani waambie CCM kwenye vikao vya ndani,mwambie na mama Abdul kwa faragha.

Botswana ni Nchi mojawapo ambayo ambayo imepiga hatua kubwa kimaendeleo!!
Ikiwemo ajira, afya, miundo mbinu, ni nchi inayonufaika sana na madini, pia crime rate ni ndogo sana,kuyataja machache.

WakatinTz Bado tupo kwenye kampeni ya nyumba ni choo.Watu kutekwa na kuuwawa kwa watanzania.

Pamoja na hayo yote Waswana wameamua kukipiga chini chama tawala!!!

Ikiwa Waswana wameamua hivyo Tanzania ni nini??

CCM ni nani?? Hasa tunapoelekea uchaguzi mkuu mwakani.

Mjulishe mama, wana CCM wenzako kuwa lolote laweza kutokea mwakani!!

Somo pia kwa vyombo vya ulinzi na usalama kubakia neutral kutoingilia uchaguzi kuisaidia CCM.

Watu wa usalama, majeshi yote wako secured na ajira hata kiingie
chama Gani kuhusu uwepo wao, hofu ipo kwa makada wa wanasiasa ambao kuondoka CCM Kwao ni pigo.

Shime vyombo vya ulinzi na usalama visimamie haki .

Narudia Mh Pinda Mfikishie salamu Mama Abdul na CCM.

Nandagala one!!
Mpumalanga South Africa.
 

Attachments

  • VID-20241104-WA0007.mp4
    30.8 MB
Habari wanajamvi!
MH Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo K .Peter Pinda, alikuwa msimamizi mkuu wa Uchaguzi wa Botswana kwa mwavuli wa Jumuiya ya Maendeleo Ya kusini mwa Africa SADC.

Nakuomba Mfikishie salamu Mama Abdul kuhusu uliyaona kwa macho yako uliposimamia uchaguzi huo wa Botswana.

Usiishie kukutana na Watanzania wa Botswana kunywa whisky na wine!
Ukirudi nyumbani waambie CCM kwenye vikao vya ndani,mwambie na mama Abdul kwa faragha.

Botswana ni Nchi mojawapo ambayo ambayo imepiga hatua kubwa kimaendeleo!!
Ikiwemo ajira, afya, miundo mbinu, ni nchi inayonufaika sana na madini, pia crime rate ni ndogo sana,kuyataja machache.

WakatinTz Bado tupo kwenye kampeni ya nyumba ni choo.Watu kutekwa na kuuwawa kwa watanzania.

Pamoja na hayo yote Waswana wameamua kukipiga chini chama tawala!!!

Ikiwa Waswana wameamua hivyo Tanzania ni nini??

CCM ni nani?? Hasa tunapoelekea uchaguzi mkuu mwakani.

Mjulishe mama, wana CCM wenzako kuwa lolote laweza kutokea mwakani!!

Somo pia kwa vyombo vya ulinzi na usalama kubakia neutral kutoingilia uchaguzi kuisaidia CCM.

Watu wa usalama, majeshi yote wako secured na ajira hata kiingie
chama Gani kuhusu uwepo wao, hofu ipo kwa makada wa wanasiasa ambao kuondoka CCM Kwao ni pigo.

Shime vyombo vya ulinzi na usalama visimamie haki .

Narudia Mh Pinda Mfikishie salamu Mama Abdul na CCM.

Nandagala one!!
Mpumalanga South Africa.

Tatizo la viongozi wa Bongo ni unafiki .... Kabla ya kufanya hilo atakuwa anafikiri kwanza cheo cha mwanae.
 
Habari wanajamvi!
MH Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo K .Peter Pinda, alikuwa msimamizi mkuu wa Uchaguzi wa Botswana kwa mwavuli wa Jumuiya ya Maendeleo Ya kusini mwa Africa SADC.

Nakuomba Mfikishie salamu Mama Abdul kuhusu uliyaona kwa macho yako uliposimamia uchaguzi huo wa Botswana.

Usiishie kukutana na Watanzania wa Botswana kunywa whisky na wine!
Ukirudi nyumbani waambie CCM kwenye vikao vya ndani,mwambie na mama Abdul kwa faragha.

Botswana ni Nchi mojawapo ambayo ambayo imepiga hatua kubwa kimaendeleo!!
Ikiwemo ajira, afya, miundo mbinu, ni nchi inayonufaika sana na madini, pia crime rate ni ndogo sana,kuyataja machache.

WakatinTz Bado tupo kwenye kampeni ya nyumba ni choo.Watu kutekwa na kuuwawa kwa watanzania.

Pamoja na hayo yote Waswana wameamua kukipiga chini chama tawala!!!

Ikiwa Waswana wameamua hivyo Tanzania ni nini??

CCM ni nani?? Hasa tunapoelekea uchaguzi mkuu mwakani.

Mjulishe mama, wana CCM wenzako kuwa lolote laweza kutokea mwakani!!

Somo pia kwa vyombo vya ulinzi na usalama kubakia neutral kutoingilia uchaguzi kuisaidia CCM.

Watu wa usalama, majeshi yote wako secured na ajira hata kiingie
chama Gani kuhusu uwepo wao, hofu ipo kwa makada wa wanasiasa ambao kuondoka CCM Kwao ni pigo.

Shime vyombo vya ulinzi na usalama visimamie haki .

Narudia Mh Pinda Mfikishie salamu Mama Abdul na CCM.

Nandagala one!!
Mpumalanga South Africa.
Hawezi kukuelewa! Mtoto wake ni naibu waziri!
 
Habari wanajamvi!
MH Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo K .Peter Pinda, alikuwa msimamizi mkuu wa Uchaguzi wa Botswana kwa mwavuli wa Jumuiya ya Maendeleo Ya kusini mwa Africa SADC.

Nakuomba Mfikishie salamu Mama Abdul kuhusu uliyaona kwa macho yako uliposimamia uchaguzi huo wa Botswana.

Usiishie kukutana na Watanzania wa Botswana kunywa whisky na wine!
Ukirudi nyumbani waambie CCM kwenye vikao vya ndani,mwambie na mama Abdul kwa faragha.

Botswana ni Nchi mojawapo ambayo ambayo imepiga hatua kubwa kimaendeleo!!
Ikiwemo ajira, afya, miundo mbinu, ni nchi inayonufaika sana na madini, pia crime rate ni ndogo sana,kuyataja machache.

WakatinTz Bado tupo kwenye kampeni ya nyumba ni choo.Watu kutekwa na kuuwawa kwa watanzania.

Pamoja na hayo yote Waswana wameamua kukipiga chini chama tawala!!!

Ikiwa Waswana wameamua hivyo Tanzania ni nini??

CCM ni nani?? Hasa tunapoelekea uchaguzi mkuu mwakani.

Mjulishe mama, wana CCM wenzako kuwa lolote laweza kutokea mwakani!!

Somo pia kwa vyombo vya ulinzi na usalama kubakia neutral kutoingilia uchaguzi kuisaidia CCM.

Watu wa usalama, majeshi yote wako secured na ajira hata kiingie
chama Gani kuhusu uwepo wao, hofu ipo kwa makada wa wanasiasa ambao kuondoka CCM Kwao ni pigo.

Shime vyombo vya ulinzi na usalama visimamie haki .

Narudia Mh Pinda Mfikishie salamu Mama Abdul na CCM.

Nandagala one!!
Mpumalanga South Africa.
Tatizo kubwa la Tanzania ni moja - Tume ya Uchaguzi siyo huru
 
Tatizo kubwa la Tanzania ni moja - Tume ya Uchaguzi siyo huru
Ni kweli, ila Jeshi la wanainchi lingesimamia weledi ingekuwa safi sana, wao wakila msimamo TISS hawana nguvu, kwa sababu TISS haina jeshi!!

JW wakisimama kwenye nafasi yao!! Jeshi la polisi wanafuata!!

JW ihakikishe aliyeshinda anatangazwa kama walivyosimamia katiba wakati wa kifo Cha Magufuli over.

Wakiendelea jidanganya watatuletea BLOODSHED!!!
 
Habari wanajamvi!
MH Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo K .Peter Pinda, alikuwa msimamizi mkuu wa Uchaguzi wa Botswana kwa mwavuli wa Jumuiya ya Maendeleo Ya kusini mwa Africa SADC.

Nakuomba Mfikishie salamu Mama Abdul kuhusu uliyaona kwa macho yako uliposimamia uchaguzi huo wa Botswana.

Usiishie kukutana na Watanzania wa Botswana kunywa whisky na wine!
Ukirudi nyumbani waambie CCM kwenye vikao vya ndani,mwambie na mama Abdul kwa faragha.

Botswana ni Nchi mojawapo ambayo ambayo imepiga hatua kubwa kimaendeleo!!
Ikiwemo ajira, afya, miundo mbinu, ni nchi inayonufaika sana na madini, pia crime rate ni ndogo sana,kuyataja machache.

WakatinTz Bado tupo kwenye kampeni ya nyumba ni choo.Watu kutekwa na kuuwawa kwa watanzania.

Pamoja na hayo yote Waswana wameamua kukipiga chini chama tawala!!!

Ikiwa Waswana wameamua hivyo Tanzania ni nini??

CCM ni nani?? Hasa tunapoelekea uchaguzi mkuu mwakani.

Mjulishe mama, wana CCM wenzako kuwa lolote laweza kutokea mwakani!!

Somo pia kwa vyombo vya ulinzi na usalama kubakia neutral kutoingilia uchaguzi kuisaidia CCM.

Watu wa usalama, majeshi yote wako secured na ajira hata kiingie
chama Gani kuhusu uwepo wao, hofu ipo kwa makada wa wanasiasa ambao kuondoka CCM Kwao ni pigo.

Shime vyombo vya ulinzi na usalama visimamie haki .

Narudia Mh Pinda Mfikishie salamu Mama Abdul na CCM.

Nandagala one!!
Mpumalanga South Africa.
Sijui kama atasema
 
JW ihakikishe aliyeshinda anatangazwa kama walivyosimamia katiba wakati wa kifo Cha Magufuli over.
Mkuu, tatizo ndo lipo hapo.
Mshindi halisi kwa idadi ya kura anapatikana vipi wakati kuna kura BANDIA zinaingizwa ndani ya masanduku ya kura?!
👇 👇
 
Utoe CCM halafu uweke chama kipi?

Mbona hiyo itakuwa ni pure gambling game!
 
Habari wanajamvi!
MH Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo K .Peter Pinda, alikuwa msimamizi mkuu wa Uchaguzi wa Botswana kwa mwavuli wa Jumuiya ya Maendeleo Ya kusini mwa Africa SADC.

Nakuomba Mfikishie salamu Mama Abdul kuhusu uliyaona kwa macho yako uliposimamia uchaguzi huo wa Botswana.

Usiishie kukutana na Watanzania wa Botswana kunywa whisky na wine!
Ukirudi nyumbani waambie CCM kwenye vikao vya ndani,mwambie na mama Abdul kwa faragha.

Botswana ni Nchi mojawapo ambayo ambayo imepiga hatua kubwa kimaendeleo!!
Ikiwemo ajira, afya, miundo mbinu, ni nchi inayonufaika sana na madini, pia crime rate ni ndogo sana,kuyataja machache.

WakatinTz Bado tupo kwenye kampeni ya nyumba ni choo.Watu kutekwa na kuuwawa kwa watanzania.

Pamoja na hayo yote Waswana wameamua kukipiga chini chama tawala!!!

Ikiwa Waswana wameamua hivyo Tanzania ni nini??

CCM ni nani?? Hasa tunapoelekea uchaguzi mkuu mwakani.

Mjulishe mama, wana CCM wenzako kuwa lolote laweza kutokea mwakani!!

Somo pia kwa vyombo vya ulinzi na usalama kubakia neutral kutoingilia uchaguzi kuisaidia CCM.

Watu wa usalama, majeshi yote wako secured na ajira hata kiingie
chama Gani kuhusu uwepo wao, hofu ipo kwa makada wa wanasiasa ambao kuondoka CCM Kwao ni pigo.

Shime vyombo vya ulinzi na usalama visimamie haki .

Narudia Mh Pinda Mfikishie salamu Mama Abdul na CCM.

Nandagala one!!
Mpumalanga South Africa.
wajue kuna kushinda na kushindwa
 
Back
Top Bottom