Msimamizi Mkuu wa SADC Uchaguzi wa Botswana Mzee Pinda mfikishie salamu Rais Samia

Msimamizi Mkuu wa SADC Uchaguzi wa Botswana Mzee Pinda mfikishie salamu Rais Samia

Habari wanajamvi!
MH Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo K .Peter Pinda, alikuwa msimamizi mkuu wa Uchaguzi wa Botswana kwa mwavuli wa Jumuiya ya Maendeleo Ya kusini mwa Africa SADC.

Nakuomba Mfikishie salamu Mama Abdul kuhusu uliyaona kwa macho yako uliposimamia uchaguzi huo wa Botswana.

Usiishie kukutana na Watanzania wa Botswana kunywa whisky na wine!
Ukirudi nyumbani waambie CCM kwenye vikao vya ndani,mwambie na mama Abdul kwa faragha.

Botswana ni Nchi mojawapo ambayo ambayo imepiga hatua kubwa kimaendeleo!!
Ikiwemo ajira, afya, miundo mbinu, ni nchi inayonufaika sana na madini, pia crime rate ni ndogo sana,kuyataja machache.

WakatinTz Bado tupo kwenye kampeni ya nyumba ni choo.Watu kutekwa na kuuwawa kwa watanzania.

Pamoja na hayo yote Waswana wameamua kukipiga chini chama tawala!!!

Ikiwa Waswana wameamua hivyo Tanzania ni nini??

CCM ni nani?? Hasa tunapoelekea uchaguzi mkuu mwakani.

Mjulishe mama, wana CCM wenzako kuwa lolote laweza kutokea mwakani!!

Somo pia kwa vyombo vya ulinzi na usalama kubakia neutral kutoingilia uchaguzi kuisaidia CCM.

Watu wa usalama, majeshi yote wako secured na ajira hata kiingie
chama Gani kuhusu uwepo wao, hofu ipo kwa makada wa wanasiasa ambao kuondoka CCM Kwao ni pigo.

Shime vyombo vya ulinzi na usalama visimamie haki .

Narudia Mh Pinda Mfikishie salamu Mama Abdul na CCM.

Nandagala one!!
Mpumalanga South Africa.
Narudia keseama sisi wenyewe ndio tunaweza kuamua nini hatutaki au nini tuna taka, kwa watanzania kwakweli tusitegemee mageuzi yoyote kama hao Watsana tushau kabisa.
Uoga, ulio tujaa mioyoni mwetu tnabakia na kushangilia vya wenzetu tu.
 
Habari wanajamvi!
MH Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo K .Peter Pinda, alikuwa msimamizi mkuu wa Uchaguzi wa Botswana kwa mwavuli wa Jumuiya ya Maendeleo Ya kusini mwa Africa SADC.

Nakuomba Mfikishie salamu Mama Abdul kuhusu uliyaona kwa macho yako uliposimamia uchaguzi huo wa Botswana.

Usiishie kukutana na Watanzania wa Botswana kunywa whisky na wine!
Ukirudi nyumbani waambie CCM kwenye vikao vya ndani,mwambie na mama Abdul kwa faragha.

Botswana ni Nchi mojawapo ambayo ambayo imepiga hatua kubwa kimaendeleo!!
Ikiwemo ajira, afya, miundo mbinu, ni nchi inayonufaika sana na madini, pia crime rate ni ndogo sana,kuyataja machache.

WakatinTz Bado tupo kwenye kampeni ya nyumba ni choo.Watu kutekwa na kuuwawa kwa watanzania.

Pamoja na hayo yote Waswana wameamua kukipiga chini chama tawala!!!

Ikiwa Waswana wameamua hivyo Tanzania ni nini??

CCM ni nani?? Hasa tunapoelekea uchaguzi mkuu mwakani.

Mjulishe mama, wana CCM wenzako kuwa lolote laweza kutokea mwakani!!

Somo pia kwa vyombo vya ulinzi na usalama kubakia neutral kutoingilia uchaguzi kuisaidia CCM.

Watu wa usalama, majeshi yote wako secured na ajira hata kiingie
chama Gani kuhusu uwepo wao, hofu ipo kwa makada wa wanasiasa ambao kuondoka CCM Kwao ni pigo.

Shime vyombo vya ulinzi na usalama visimamie haki .

Narudia Mh Pinda Mfikishie salamu Mama Abdul na CCM.

Nandagala one!!
Mpumalanga South Africa.
Mkuu 'nandagala', sijui wewe ni nini kilicho kufanya ufikirie huo uchaguzi wa Botwana ndilo liwe somo kwa CCM? Kwani kuna mfanano upi kati ya muundo/mfumo wao na Tanzania katika maswala haya, kiasi uanze kufikiria kuwafananisha?

CCM na huyo huyo Pinda mwenyewe walisha hitimisha siku nyingi sana kwamba wao 'model' yao sahihi ni Zimbabwe!

CCM kamwe hawana chochote cha kujifunza toka Botswana, ili kiwatie hofu ya kupoteza kitu.

Huko Botwana kwenyewe nako ulisikia chama chao kilifanya maandalizi ya wazi kabisa, tena bila ya hofu wala soni ya kulazimisha ushindi kama CCM wanavyo fanya hapa?

Sasa unawaasa jambo gani hawa CCM?
 
Habari wanajamvi!
MH Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo K .Peter Pinda, alikuwa msimamizi mkuu wa Uchaguzi wa Botswana kwa mwavuli wa Jumuiya ya Maendeleo Ya kusini mwa Africa SADC.

Nakuomba Mfikishie salamu Mama Abdul kuhusu uliyaona kwa macho yako uliposimamia uchaguzi huo wa Botswana.

Usiishie kukutana na Watanzania wa Botswana kunywa whisky na wine!
Ukirudi nyumbani waambie CCM kwenye vikao vya ndani,mwambie na mama Abdul kwa faragha.

Botswana ni Nchi mojawapo ambayo ambayo imepiga hatua kubwa kimaendeleo!!
Ikiwemo ajira, afya, miundo mbinu, ni nchi inayonufaika sana na madini, pia crime rate ni ndogo sana,kuyataja machache.

WakatinTz Bado tupo kwenye kampeni ya nyumba ni choo.Watu kutekwa na kuuwawa kwa watanzania.

Pamoja na hayo yote Waswana wameamua kukipiga chini chama tawala!!!

Ikiwa Waswana wameamua hivyo Tanzania ni nini??

CCM ni nani?? Hasa tunapoelekea uchaguzi mkuu mwakani.

Mjulishe mama, wana CCM wenzako kuwa lolote laweza kutokea mwakani!!

Somo pia kwa vyombo vya ulinzi na usalama kubakia neutral kutoingilia uchaguzi kuisaidia CCM.

Watu wa usalama, majeshi yote wako secured na ajira hata kiingie
chama Gani kuhusu uwepo wao, hofu ipo kwa makada wa wanasiasa ambao kuondoka CCM Kwao ni pigo.

Shime vyombo vya ulinzi na usalama visimamie haki .

Narudia Mh Pinda Mfikishie salamu Mama Abdul na CCM.

Nandagala one!!
Mpumalanga South Africa.

Elewa pia watanzania siyo waswana.
 
Ni wazi sisi wenyewe tuna matatizo.
Mtu utaanzia wapi kuweka matumaini yako kwa mtu kama Mizengo Pinda kuleta mabadiliko yoyote?
Soma elewa, hakuna mtu aloweka tumaini kwa Pinda, afikishe salamu!
Jifunze kusoma na kuelewa!!!
 
Elewa pia watanzania siyo waswana.
SEMA wewe mawazo Yako, watu hujifunza kupitia mafanikio ya wenzao ili kufaulu, pia hijifunza kwa failures za wenzao ili wasirudie makosa.

Wewe bni kati ya watu ambao wapowapo tu,huna la kujifunza kutoka kwa wengine!! hasa waliofanikiwa, umejikatia tamaa,
Shame on you!!!😀🤣
 
Back
Top Bottom