antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Wananchi wenye nchi yao siyo wajinga, wana haki ya kuchagua watakavyoUtoe CCM halafu uweke chama kipi?
Mbona hiyo itakuwa ni pure gambling game!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wananchi wenye nchi yao siyo wajinga, wana haki ya kuchagua watakavyoUtoe CCM halafu uweke chama kipi?
Mbona hiyo itakuwa ni pure gambling game!
Kuchagua au kucheza kamari?Wananchi wenye nchi yao siyo wajinga, wana haki ya kuchagua watakavyo
Narudia keseama sisi wenyewe ndio tunaweza kuamua nini hatutaki au nini tuna taka, kwa watanzania kwakweli tusitegemee mageuzi yoyote kama hao Watsana tushau kabisa.Habari wanajamvi!
MH Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo K .Peter Pinda, alikuwa msimamizi mkuu wa Uchaguzi wa Botswana kwa mwavuli wa Jumuiya ya Maendeleo Ya kusini mwa Africa SADC.
Nakuomba Mfikishie salamu Mama Abdul kuhusu uliyaona kwa macho yako uliposimamia uchaguzi huo wa Botswana.
Usiishie kukutana na Watanzania wa Botswana kunywa whisky na wine!
Ukirudi nyumbani waambie CCM kwenye vikao vya ndani,mwambie na mama Abdul kwa faragha.
Botswana ni Nchi mojawapo ambayo ambayo imepiga hatua kubwa kimaendeleo!!
Ikiwemo ajira, afya, miundo mbinu, ni nchi inayonufaika sana na madini, pia crime rate ni ndogo sana,kuyataja machache.
WakatinTz Bado tupo kwenye kampeni ya nyumba ni choo.Watu kutekwa na kuuwawa kwa watanzania.
Pamoja na hayo yote Waswana wameamua kukipiga chini chama tawala!!!
Ikiwa Waswana wameamua hivyo Tanzania ni nini??
CCM ni nani?? Hasa tunapoelekea uchaguzi mkuu mwakani.
Mjulishe mama, wana CCM wenzako kuwa lolote laweza kutokea mwakani!!
Somo pia kwa vyombo vya ulinzi na usalama kubakia neutral kutoingilia uchaguzi kuisaidia CCM.
Watu wa usalama, majeshi yote wako secured na ajira hata kiingie
chama Gani kuhusu uwepo wao, hofu ipo kwa makada wa wanasiasa ambao kuondoka CCM Kwao ni pigo.
Shime vyombo vya ulinzi na usalama visimamie haki .
Narudia Mh Pinda Mfikishie salamu Mama Abdul na CCM.
Nandagala one!!
Mpumalanga South Africa.
Kwa vyovyote ni hekima kusikiliza na kuzingatia matakwa ya wananchi.Kuchagua au kucheza kamari?
Mkuu 'nandagala', sijui wewe ni nini kilicho kufanya ufikirie huo uchaguzi wa Botwana ndilo liwe somo kwa CCM? Kwani kuna mfanano upi kati ya muundo/mfumo wao na Tanzania katika maswala haya, kiasi uanze kufikiria kuwafananisha?Habari wanajamvi!
MH Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo K .Peter Pinda, alikuwa msimamizi mkuu wa Uchaguzi wa Botswana kwa mwavuli wa Jumuiya ya Maendeleo Ya kusini mwa Africa SADC.
Nakuomba Mfikishie salamu Mama Abdul kuhusu uliyaona kwa macho yako uliposimamia uchaguzi huo wa Botswana.
Usiishie kukutana na Watanzania wa Botswana kunywa whisky na wine!
Ukirudi nyumbani waambie CCM kwenye vikao vya ndani,mwambie na mama Abdul kwa faragha.
Botswana ni Nchi mojawapo ambayo ambayo imepiga hatua kubwa kimaendeleo!!
Ikiwemo ajira, afya, miundo mbinu, ni nchi inayonufaika sana na madini, pia crime rate ni ndogo sana,kuyataja machache.
WakatinTz Bado tupo kwenye kampeni ya nyumba ni choo.Watu kutekwa na kuuwawa kwa watanzania.
Pamoja na hayo yote Waswana wameamua kukipiga chini chama tawala!!!
Ikiwa Waswana wameamua hivyo Tanzania ni nini??
CCM ni nani?? Hasa tunapoelekea uchaguzi mkuu mwakani.
Mjulishe mama, wana CCM wenzako kuwa lolote laweza kutokea mwakani!!
Somo pia kwa vyombo vya ulinzi na usalama kubakia neutral kutoingilia uchaguzi kuisaidia CCM.
Watu wa usalama, majeshi yote wako secured na ajira hata kiingie
chama Gani kuhusu uwepo wao, hofu ipo kwa makada wa wanasiasa ambao kuondoka CCM Kwao ni pigo.
Shime vyombo vya ulinzi na usalama visimamie haki .
Narudia Mh Pinda Mfikishie salamu Mama Abdul na CCM.
Nandagala one!!
Mpumalanga South Africa.
Habari wanajamvi!
MH Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo K .Peter Pinda, alikuwa msimamizi mkuu wa Uchaguzi wa Botswana kwa mwavuli wa Jumuiya ya Maendeleo Ya kusini mwa Africa SADC.
Nakuomba Mfikishie salamu Mama Abdul kuhusu uliyaona kwa macho yako uliposimamia uchaguzi huo wa Botswana.
Usiishie kukutana na Watanzania wa Botswana kunywa whisky na wine!
Ukirudi nyumbani waambie CCM kwenye vikao vya ndani,mwambie na mama Abdul kwa faragha.
Botswana ni Nchi mojawapo ambayo ambayo imepiga hatua kubwa kimaendeleo!!
Ikiwemo ajira, afya, miundo mbinu, ni nchi inayonufaika sana na madini, pia crime rate ni ndogo sana,kuyataja machache.
WakatinTz Bado tupo kwenye kampeni ya nyumba ni choo.Watu kutekwa na kuuwawa kwa watanzania.
Pamoja na hayo yote Waswana wameamua kukipiga chini chama tawala!!!
Ikiwa Waswana wameamua hivyo Tanzania ni nini??
CCM ni nani?? Hasa tunapoelekea uchaguzi mkuu mwakani.
Mjulishe mama, wana CCM wenzako kuwa lolote laweza kutokea mwakani!!
Somo pia kwa vyombo vya ulinzi na usalama kubakia neutral kutoingilia uchaguzi kuisaidia CCM.
Watu wa usalama, majeshi yote wako secured na ajira hata kiingie
chama Gani kuhusu uwepo wao, hofu ipo kwa makada wa wanasiasa ambao kuondoka CCM Kwao ni pigo.
Shime vyombo vya ulinzi na usalama visimamie haki .
Narudia Mh Pinda Mfikishie salamu Mama Abdul na CCM.
Nandagala one!!
Mpumalanga South Africa.
LOOooooh!Ila issue ya Botswana itawafanya wasilale usingizi
Ni wazi sisi wenyewe tuna matatizo.Weeeee!!
Wajinga wenzako pia walikuwa na mawazo hayohayo kwamba Nyerere akistaafu itakuwaje!Utoe CCM halafu uweke chama kipi?
Mbona hiyo itakuwa ni pure gambling game!
Soma elewa, hakuna mtu aloweka tumaini kwa Pinda, afikishe salamu!Ni wazi sisi wenyewe tuna matatizo.
Mtu utaanzia wapi kuweka matumaini yako kwa mtu kama Mizengo Pinda kuleta mabadiliko yoyote?
Aaahweee nani kasema? Hao ni CCM #1 km ulikua hujui CCM #1 ni akina nani basi ndio hao, nimeamua nikupasulie yai hakuna namnaSomo pia kwa vyombo vya ulinzi na usalama kubakia neutral kutoingilia uchaguzi kuisaidia CCM.
SEMA wewe mawazo Yako, watu hujifunza kupitia mafanikio ya wenzao ili kufaulu, pia hijifunza kwa failures za wenzao ili wasirudie makosa.Elewa pia watanzania siyo waswana.
Thinking less!!!🤔🤣Aaahweee nani kasema? Hao ni CCM #1 km ulikua hujui CCM #1 ni akina nani basi ndio hao, nimeamua nikupasulie yai hakuna namna
Acha kuchanganya mambo.Hao wengine mbali ya CCM nao ni Watanzania. Ndiyo maana hata CCM huwashawishi kwa maneno na hata fedha ili wajiunge nao na kuwapa nafasi za uongozi.Kuchagua au kucheza kamari?
Geoffrey Pinda siyo mtoto wake bali ni mdogo wake!Hawezi kukuelewa! Mtoto wake ni naibu waziri! Wote ni machawa promax! Shenzi type!
Tutamweka hata Rungwe Mzee wa ubwabwa atafaa kuliko Hawa watekaji!Utoe CCM halafu uweke chama kipi?
Mbona hiyo itakuwa ni pure gambling game!