Wakiileta hiyo fomu ataicancel atawapa nyingine. Kwa maana hiyo, hatakua ametoa fomu mbili.Hujasikia kuwaambia wailete hiyo fomu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakiileta hiyo fomu ataicancel atawapa nyingine. Kwa maana hiyo, hatakua ametoa fomu mbili.Hujasikia kuwaambia wailete hiyo fomu?
Wale hawajui kujieleza.Ingekuwa wewe, ungeelezaje?
We mbumbu tuambie delicate ipo veep au unaropoka we unadhani utoaji wa form za kugombea siyo delicate issue.Delicate issue unaijua wewe; inaelekea mambo ya politics huyafahamu vizuri.
Mkurugenzi anayehusika na Uchaguzi jimbo la Kibamba amekataa kutoa fomu kwa mgombea wa CHADEMA kwa kile alichodai kuwa kuna mtu aliyedai kuwa Mgombea wa CHADEMA ameichukua fomu husika hivyo hawezi kutoa fomu mara mbili. Hivyo amewataka CHADEMA washirikiane na polisi kumsaka muhusika.
Bila shaka wewe ndo yule aliyekuwa amenyoa kiduku kama Lisu.Hopeless ni wewe mwenyewe uliyeshindwa kujua kuwa yule mama anawahadaa chadema hajatoa form kokote labda kampa hawala yake cyprian Musiba akazani kawapa Chadema, Dr Slaa hakuwa na Akili angekuwa na akili asingekubali kununulia kiwepesi vile.
Mkurugenzi anayehusika na Uchaguzi jimbo la Kibamba amekataa kutoa fomu kwa mgombea wa CHADEMA kwa kile alichodai kuwa kuna mtu aliyedai kuwa Mgombea wa CHADEMA ameichukua fomu husika hivyo hawezi kutoa fomu mara mbili. Hivyo amewataka CHADEMA washirikiane na polisi kumsaka muhusika.
Hiyo clip haonyeshi huyo mgombea halali alipata veep fomu yake instead inaonesha mazungumzo ya mwanzo alivoenda kuchukua fomu akakuta imechukuliwa. Tunataka kujua huyo mgombea halali alipata veep fomu yake!?, Yule mgombea fake alikamatwa!?.That is your opinion.
Umelaumu kuwa hawa watu hawajui kujieleza, sasa wewe umeandika nini sasa?Wale hawajui kujieleza.
Wafanye walichoambiwa wakatoe taarifa polisi, wapewe case number, kisha wajiandae kumtafuta, polisi into uwezo kuomba mawasiluano ya muhalifu kwahuyo mjumbe wa tume na ajatafutwa na akapatikana.
Kisha akahojiwa kuhusu barua, muhuri na sign ya katibu wa Chadema alivipata wapi ikiwa wao Chadema wanamkataa. Na wanaweza kuwasiliana na Mwenyekiti wa NEC taifa akatoa maelekezo kwa huyo mteule wake amtaje aliyechukua form na wamtambue chini ya ulinzi wa polisi, na atoe maelezo barua, muhuri na sign ya katibu wa jimbo alivipataje?! Ikiwa alivipata kihalali basi ni mchezo mchafu wa viongozi wa Chadema na ikiwa alighushi basi anachukuliwa hatua, kwanza anairudisha form aliyochukua na anapewa muhusika, yeye polisi wanaendelea naye kwa jaribio la kuhatarisha amani.
Wakishindwa nao Chadema wakachukue form za ccm hata majimbo kumi Wayne cvm kama hawatatoa form nyingine kwa wagombea wao halali?!
Dawa ya moto ni moto.
Mkurugenzi anayehusika na Uchaguzi jimbo la Kibamba amekataa kutoa fomu kwa mgombea wa CHADEMA kwa kile alichodai kuwa kuna mtu aliyedai kuwa Mgombea wa CHADEMA ameichukua fomu husika hivyo hawezi kutoa fomu mara mbili. Hivyo amewataka CHADEMA washirikiane na polisi kumsaka muhusika.
Unaweza kuwa una haki ila ukaikosa/poteza haki yako kwa sababu ya kushindwa kuiomba/kuidai, hicho ndicho kinachoonekana kwa hawa jamaa. Kiasi kwamba napata mashaka labda wao ndio wametengeneza hili zengwe ili watengeneze storyWale hawajui kujieleza.
Wafanye walichoambiwa wakatoe taarifa polisi, wapewe case number, kisha wajiandae kumtafuta, polisi into uwezo kuomba mawasiluano ya muhalifu kwahuyo mjumbe wa tume na ajatafutwa na akapatikana.
Kisha akahojiwa kuhusu barua, muhuri na sign ya katibu wa Chadema alivipata wapi ikiwa wao Chadema wanamkataa. Na wanaweza kuwasiliana na Mwenyekiti wa NEC taifa akatoa maelekezo kwa huyo mteule wake amtaje aliyechukua form na wamtambue chini ya ulinzi wa polisi, na atoe maelezo barua, muhuri na sign ya katibu wa jimbo alivipataje?! Ikiwa alivipata kihalali basi ni mchezo mchafu wa viongozi wa Chadema na ikiwa alighushi basi anachukuliwa hatua, kwanza anairudisha form aliyochukua na anapewa muhusika, yeye polisi wanaendelea naye kwa jaribio la kuhatarisha amani.
Wakishindwa nao Chadema wakachukue form za ccm hata majimbo kumi Wayne cvm kama hawatatoa form nyingine kwa wagombea wao halali?!
Dawa ya moto ni moto.