Uchaguzi 2020 Msimamizi wa Uchaguzi awanyima fomu CHADEMA Jimbo la Kibamba, adai fomu yao imeshachukuliwa

Uchaguzi 2020 Msimamizi wa Uchaguzi awanyima fomu CHADEMA Jimbo la Kibamba, adai fomu yao imeshachukuliwa

Mkurugenzi anayehusika na Uchaguzi jimbo la Kibamba amekataa kutoa fomu kwa mgombea wa CHADEMA kwa kile alichodai kuwa kuna mtu aliyedai kuwa Mgombea wa CHADEMA ameichukua fomu husika hivyo hawezi kutoa fomu mara mbili. Hivyo amewataka CHADEMA washirikiane na polisi kumsaka muhusika.


Huyo mwanamke ni mjinga sana. Anajua kabisa ni uongo anakaza macho tu.
 
Mkurugenzi anayehusika na Uchaguzi jimbo la Kibamba amekataa kutoa fomu kwa mgombea wa CHADEMA kwa kile alichodai kuwa kuna mtu aliyedai kuwa Mgombea wa CHADEMA ameichukua fomu husika hivyo hawezi kutoa fomu mara mbili. Hivyo amewataka CHADEMA washirikiane na polisi kumsaka muhusika.


Ila kweli chama hiki kimekuwa hopeless kabisa!
Hivi intelligensia ya chama ya enzi zile za Dr Slaa iliendaga wapi?
Hivi mwenye akili CHADEMA alikuwaga Dr tu?
Yaani kweli wameshindwa kumtrace huyo aliyechukua form na kumpeleka kwenye vyombo vya sheria?

Huyo mama yupo vizuri saana! anawaelekeza vizuri lakini hao jamaa sijui kama wanaelewa chochote.
 
Mwenyekiti na Katibu wamezungukana, wao wasubiri kama huyo mgombea hatarudisha form. Mkurugrnzi anamwambia huyo mburura awasiliane na katibu wake yeye anangangania aonyeshwe barua, muda bado siakafungue kesi mahakamani
Hakuna cha kuzungukana amini kuwa yule mama shetani hakutoa form kwa yeyote bali kaamua kuwakomoa chadema akiamini mtukufu akiona atamzawadia uteuzi viti maalum toka kwa mtukufu
 
Ila kweli chama hiki kimekuwa hopeless kabisa!
Hivi intelligensia ya chama ya enzi zile za Dr Slaa iliendaga wapi?
Hivi mwenye akili CHADEMA alikuwaga Dr tu?
Yaani kweli wameshindwa kumtrace huyo aliyechukua form na kumpeleka kwenye vyombo vya sheria?

Huyo mama yupo vizuri saana! anawaelekeza vizuri lakini hao jamaa sijui kama wanaelewa chochote.
Hopeless ni wewe mwenyewe uliyeshindwa kujua kuwa yule mama anawahadaa chadema hajatoa form kokote labda kampa hawala yake cyprian Musiba akazani kawapa Chadema, Dr Slaa hakuwa na Akili angekuwa na akili asingekubali kununulia kiwepesi vile.
 
Acha uongo na propaganda sizizo na mashiko. Usimsingizie Mkurugenzi, HAJAKATAA KUTOA FOMU. Alishatoa fomu moja au SETI MOJA YA FOMU kwa mgombea wa CHADEMA aliyetambulishwa na kwa barua na kiongozi wenu wa ngazi ya Mkoa. Huyo Mkurugenzi siyo mjinga kiasi hicho eti cha kuwanyima fomu CHADEMA, anajipenda au hajipendi? Anapenda kazi yake au haipendi? CHADEMA siku zote mnachezeana rafu wenyewe ndani kwa ndani. Kwa nini lakini hamna umoja hata kipindi hiki cha uchaguzi?
Mama shetani kajitoa fahamu zote hajatoa form yeyote kaamua kutengeneza kisingizio cha uongo kuharalisha njama zake za kuwahujumu chadema
 
Mama shetani kajitoa fahamu zote hajatoa form yeyote kaamua kutengeneza kisingizio cha uongo kuharalisha njama zake za kuwahujumu chadema
Act acheni kulalamika na kuleta vijisababu on this issue. Mwenyekiti anasema nini on this?
 
Mkurugenzi anayehusika na Uchaguzi jimbo la Kibamba amekataa kutoa fomu kwa mgombea wa CHADEMA kwa kile alichodai kuwa kuna mtu aliyedai kuwa Mgombea wa CHADEMA ameichukua fomu husika hivyo hawezi kutoa fomu mara mbili. Hivyo amewataka CHADEMA washirikiane na polisi kumsaka muhusika.

Issue hapo CHADEMA waende mahakamani wakazuie uchaguzi jimbo la Kibamba usifanyike.
Halafu tuone kama huyo mkurugenzi atakuwa na kazi..
 
Watetezi wa CCM mitandaoni wamemaliza kuvuta Bangi kule gheto kwa cyprian Musiba ambaye ni hawala wa mama shetani anayewahujumu chadema, kaeni kwa umakini maana wanaanza usumbufu mitandaoni
 
Kuna watendaji wengine wa NEC, hawastahili hata kupoteza muda kuwapeleka mahakamani. Huko ni kupoteza muda, na kutenda kama yeye alivyotarajia.

Wakurugenzi kama huyu, wakitandikwa vibao vya nguvu hata 3 tu, huko mbeleni hutawasikia wengine wakifanya mambo yenye ujuha unaofanana na huo.

Hawa watendaji wa NEC na serikali, kuna wakati wanabembelezwa mno.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Issue hapo CHADEMA waende mahakamani wakazuie uchaguzi jimbo la Kibamba usifanyike.
Halafu tuone kama huyo mkurugenzi atakuwa na kazi..
Tatizo mahakamaccm lazima itaegemea upande wa mkurugenziccm mama shetani au unataka waende mahakama za kimataifa?
 
Kuna watendaji wengine wa NEC, hawastahili hata kupoteza muda kuwapeleka mahakamani. Huko ni kupoteza muda, na kutenda kama yeye alivyotarajia.

Wakurugenzi kama huyu, wakitandikwa vibao vya nguvu hata 3 tu, huko mbeleni hutawasikia wengine wakifanya mambo yenye ujuha unaofanana na huo.

Hawa watendaji wa NEC na serikali, kuna wakati wanabembelezwa mno.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wakurugenziccm huwakomoa chadema makusudi ili wakidai haki wapate kisingizio cha kuwabambikia kesi
 
Mama shetani kaamua kuwakomoa chadema kwa njia za kishamba pasipo kusoma nyakati pasipo kujua kuwa watanzania wana Akili nyingi kuliko watesi wa CCM
Wanasaccos kama wewe ni mbumbumbu wa kutosha tu. Ndiyo maana watz hawana imani na nyinyi na dawa yenu ni tarehe 28/10/2020. Midomo yenu itaziba na mtakuwa mabubu sana sana mtaanza kusema mmeibiwa kura wakati maandalizi zero!! Mliwaaminisha wanasaccos wenzenu kuwa uchaguzi hautafanyika bila Katiba Mpya sasa cha kushangaza mmeshaingia kwenye kampeni wakati hakuna Katiba Mpya sasa nyinyi tuwaiteje??!!
 
Kuna watu wana roho mbaya sana hapa duniani... na tusione watu wanaishi kwa shida au wanakumbwa na majanga makubwa uzeeni wakati mwingine huwa ni malipizo ya roho mbaya wakati walipokuwa na nafasi au vyeo
 
Kuna watendaji wengine wa NEC, hawastahili hata kupoteza muda kuwapeleka mahakamani. Huko ni kupoteza muda, na kutenda kama yeye alivyotarajia.

Wakurugenzi kama huyu, wakitandikwa vibao vya nguvu hata 3 tu, huko mbeleni hutawasikia wengine wakifanya mambo yenye ujuha unaofanana na huo.

Hawa watendaji wa NEC na serikali, kuna wakati wanabembelezwa mno.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe mwenye uthubutu huo NENDA kisha utuletee feedback humu JF. Halafu huu ndio wakati muafaka kwani ndio jamii inakutana na Wakurugenzi ana kwa ana.
 
Back
Top Bottom