Uchaguzi 2020 Msimamizi wa Uchaguzi awanyima fomu CHADEMA Jimbo la Kibamba, adai fomu yao imeshachukuliwa

Uchaguzi 2020 Msimamizi wa Uchaguzi awanyima fomu CHADEMA Jimbo la Kibamba, adai fomu yao imeshachukuliwa

Wakamtafute kwani wao ndio waliomkabidhi form, ana akili lakini huyo? Ina maana bank akienda mtu kuhushi cheque yangu benki watasema hawahusiki wao? Kwenye video huyu mtu hayumo? Hajatowa National ID kama kitambulisho akafuatiliwa kwenye mawssillianonl yake na kupatikana?
Mkurugenzi hajakataa hayo yote kufanyika, lakini amewataka kufuata utaratibu. Kwasababu hata yeye hana uhakika hata kama huyo aliekuja ni mgombea halali kwahiyo asingeweza ku disclose information zote hizo. Ndo maana akawataka waende polisi wakatoe taarifa kwanza, halafu kama kuna taarifa zozote zingehitajika angezitoa huko. Kumbuka hiyo ni ofisi ya Serikali, nyaraka zozote zilizopo hapo ambazo zimewasilishwa zinakua mali ya Serikali kwahiyo haziwezi kutolewa kwa mtu yoyote tu isipokua kwa Mamlaka zinazohusika ikiwemo mahakama n.k
 
Chadema Taifa hili ni la kufuatilia tume ya taifa ya uchaguzi mapema kabla ya uhuni huu haujafanikiwa.
 
Binafsi sioni kama kuna ugumu wowote hapo. Ningemshauri na kumsihi msimamizi atoe form nyingine mana kimsingi yeye ndio katapeliwa.

Then kama wagombea wote wawili watarudisha form si Tume itachambua hizo form za maombi na kumtoa mgombea aliyefanya utapeli?

Kukataa kutoa form nyingine Kwa wagombea halali ni dosari isiyo ya lazima mana kama nchi mzima wakifanya uhuni kama huo si itakuwa ni chanzo cha vurugu?

Pia ushauri wa Mwanasheria unapotosha. Anaonyesha kama vile mgombea akirudisha form automatically anakuwa mgombea rasmi. Hiyo ni form ya maombi ya kuteuliwa/kupitishwa na Tume kuwa Mgombea rasmi, na kwenye maombi kuna kukubaliwa au kukataliwa/kuwekewa pingamizi. So hapo hakuna ugumu wowote, Mkurugenzi anatengeneza tension isiyo ya lazima.

Kwann form iwe mojamoja? Kwan zinashushwa toka Mbinguni?
Ukada wa CCM unawasumbua. Huyo akomaliwe tu atoe fomu. Ujinga huo haukubaliki.
 
Mkurugenzi anayehusika na Uchaguzi jimbo la Kibamba amekataa kutoa fomu kwa mgombea wa CHADEMA kwa kile alichodai kuwa kuna mtu aliyedai kuwa Mgombea wa CHADEMA ameichukua fomu husika hivyo hawezi kutoa fomu mara mbili. Hivyo amewataka CHADEMA washirikiane na polisi kumsaka muhusika.


Swali fikirishi je chadema wakienda polisi watafanikiwa?
 
Mkurugenzi anayehusika na Uchaguzi jimbo la Kibamba amekataa kutoa fomu kwa mgombea wa CHADEMA kwa kile alichodai kuwa kuna mtu aliyedai kuwa Mgombea wa CHADEMA ameichukua fomu husika hivyo hawezi kutoa fomu mara mbili. Hivyo amewataka CHADEMA washirikiane na polisi kumsaka muhusika.


Duuh majina si yalishaenda tume na wakurugenzi kupewa nakala,kuna baadhi ya mambo ni yakijinga sana,hizi ni siasa za gizani kabisa.......
 
Sioni kama hili swala uongozi wa CHADEMA ukilishughulikia kwa ukaribu hii ni kutokana na viongozi wote wa juu wanagombea hivyo kila mtu yupo busy, kuanzia Mbowe,lissu, Salum mwalimu bawacha bavicha sijui mrema nk kila mtu anapambania jimbo kwa mfano leo pale makao makuu aliyepo labda Mnyika tu, naye hawezi kufanya kila kitu, leo Mbowe yupo zake hai anachukua fomu
 
Huyu Mama mjinga sana hapa anatuharibia sisi CCM. Mahakama itazuia uchaguzi kwa Kibamba anatucheleweshea ushindi Bwana. Piga ua Kibamba ni Kijani tu. Hata asimame Lissu .
 
Wanasaccos kama wewe ni mbumbumbu wa kutosha tu. Ndiyo maana watz hawana imani na nyinyi na dawa yenu ni tarehe 28/10/2020. Midomo yenu itaziba na mtakuwa mabubu sana sana mtaanza kusema mmeibiwa kura wakati maandalizi zero!! Mliwaaminisha wanasaccos wenzenu kuwa uchaguzi hautafanyika bila Katiba Mpya sasa cha kushangaza mmeshaingia kwenye kampeni wakati hakuna Katiba Mpya sasa nyinyi tuwaiteje??!!
Wewe binafsi ndiyo mbumbumbu juha zuzu kilaza, watanzania wa wapi hawana imani na wapinzani? Watanzania wa hapo ghato kwa cyprian Musiba mnaposhinda mkivuta Bangi? Chadema ungekuwa saccos mngehangaika kuwabambikia kesi kuwapiga risasi ? si mgeacha ijifie yenyewe tu, tarehe 28-10- CCM inakuwa chama cha upinzani kama KANU ya kenya
 
Sioni kama hili swala uongozi wa CHADEMA ukilishughulikia kwa ukaribu hii ni kutokana na viongozi wote wa juu wanagombea hivyo kila mtu yupo busy, kuanzia Mbowe,lissu, Salum mwalimu bawacha bavicha sijui mrema nk kila mtu anapambania jimbo kwa mfano leo pale makao makuu aliyepo labda Mnyika tu, naye hawezi kufanya kila kitu, leo Mbowe yupo zake hai anachukua fomu
Kuna sekretarieti ya chama hizi ndio kazi zake.
 
Mkurugenzi anayehusika na Uchaguzi jimbo la Kibamba amekataa kutoa fomu kwa mgombea wa CHADEMA kwa kile alichodai kuwa kuna mtu aliyedai kuwa Mgombea wa CHADEMA ameichukua fomu husika hivyo hawezi kutoa fomu mara mbili. Hivyo amewataka CHADEMA washirikiane na polisi kumsaka muhusika.

Huyu Bimkubwa Anatakiwa Alambwe makofi Mawili Ya mashavu, Atanyosha Maelezo Vizuri
 
Mkurugenzi anayehusika na Uchaguzi jimbo la Kibamba amekataa kutoa fomu kwa mgombea wa CHADEMA kwa kile alichodai kuwa kuna mtu aliyedai kuwa Mgombea wa CHADEMA ameichukua fomu husika hivyo hawezi kutoa fomu mara mbili. Hivyo amewataka CHADEMA washirikiane na polisi kumsaka muhusika.


Lakini upande mwingine hao chadema wanajichimbia kaburi haiwezekani mtu ambaye hakuchaguliwa na chama aende akachukue form implications hapa ni uchu wa madaraka, kutokuridhika lakini pia ndani ya chama inaonekana kabisa hakuna maamuzi sahihi yaliyofanyika wakati wa kuchagua wapeperusha bendera katika Jimbo la kibamba. Mbona hii kitu haitokei upande wa CCM, chadema itabidi wajiangalie Sana. October is around the corner ohooo!.
Naona Chadema wanaleta suala ambalo halina mantiki kabisa. Afisa mtoa fomu ameonyesha barua iliyotoka kwa Katibu wa Chadema ikimtambulisha huyo aliyechukua fomu. Yeye akatoa hiyo fomu kwa uzito wa barua hiyo, na kikatiba anaruhusiwa kutoa fomu moja tu kwa kila chama. Katibu aliyeandika hiyo barua ya utambulisho anajulikana, na mtu aliyepewa fomu ametajwa hapo. Hakuna mantiki kumlalamikia mtoa fomu aende polisi. Hiyo ni kazi ya chama chenyewe kama wanashuku barua ya utambulisho ilikuwa ya kugushi, na hilo ni kosa la jinai. Hata mtoa fomu akionekana naye alihusika katika uhalifu huo, naye atachukuliwa hatua zipaswazo. Kwa hiyo kama chama kinamshuku alihusika katika uhalifu huo, hakuna mantiki kumwambia yeye ndiye aende polisi kujishtaki mwenyewe. Ni kitu gani kigumu kinachowafanya Chadema wasite kuenda polisi? Haiingii kabisa akilini mwangu.
 
Ohh! that's not a point mkuu! kuna sehemu nyingine ya kujipendekeza lakini siyo kwenye delicate issue Kama hii bhana!

And yet you and I we have got no proof if that mama is guilty or not.
Delicate issue unaijua wewe; inaelekea mambo ya politics huyafahamu vizuri.
 
mbokooooooo mbokoo mcham kikongwe duniani chama cha amani...
 

Attachments

  • mbokooooo.mp4
    2.7 MB
Mkurugenzi hajakataa hayo yote kufanyika, lakini amewataka kufuata utaratibu. Kwasababu hata yeye hana uhakika hata kama huyo aliekuja ni mgombea halali kwahiyo asingeweza ku disclose information zote hizo. Ndo maana akawataka waende polisi wakatoe taarifa kwanza, halafu kama kuna taarifa zozote zingehitajika angezitoa huko. Kumbuka hiyo ni ofisi ya Serikali, nyaraka zozote zilizopo hapo ambazo zimewasilishwa zinakua mali ya Serikali kwahiyo haziwezi kutolewa kwa mtu yoyote tu isipokua kwa Mamlaka zinazohusika ikiwemo mahakama n.k
Hujasikia kuwaambia wailete hiyo fomu?
 
Back
Top Bottom