Uchaguzi 2020 Msimamizi wa Uchaguzi awanyima fomu CHADEMA Jimbo la Kibamba, adai fomu yao imeshachukuliwa

Uchaguzi 2020 Msimamizi wa Uchaguzi awanyima fomu CHADEMA Jimbo la Kibamba, adai fomu yao imeshachukuliwa

Wapinzani ni vilaza sana, yani mother kawazidi hoja na akili... Yaani hata kama kuna ujanja chadema hawawezi kuukwepa hapo.

Yaani kama wanataka namba ya simu kwa msimamizi mbona hawakumuomba ya Boni
Huyo mama mkurugenziccm alishajiandaa kufanya ubabe wa kijinga mda mrefu hata angeombwa namba ya nani asingetoa, tayari anafanya kazi kwa zidumu fikra za mwenyekiti wa CCM siyo kwa mihimu wa Sheria na katiba ya Nchi.
 
Akipata matatizo yeye binafsi,amlaumu sijui nani...?
 
Wakurugenziccm wote Nchini wamejipanga kuwapora majimbo wapinzani kwa kutumia njia haramu za kishetani, ni vyema wapinzani wapige kelele mapema Duniani kote wajue kuwa uchaguzi hautakuwa huru na haki kutokana na wakurugenziccm kufanya uchakachuaji kuishi kwa zidumu fikra za mwenyekiti wa CCM kitu ambacho ni hatari kwa usitawa wa demokrasia Tanzania
 
Very f*king yaani Hanna hata sehemu ya kujaza namba ya mida? Hivi huyo mtu angeenda kuchukua fomu kwa tikiti ya ccm angempatia kweli? Siamini Kama ccm inaiogopa CDM to this extent! Lmfao
 
Mkurugenzi anayehusika na uchaguzi jimbo la Kibamba amekataa kutoa fomu kwa mgombea wa CHADEMA kwa kile alichodai kuwa kuna mtu aliyedai kuwa mgombea wa CHADEMA ameichukua fomu husika hivyo hawezi kutoa fomu mara mbili. Hivyo amewataka CHADEMA washirikiane na polisi kumsaka muhusika.

Nyakati hizi ukiingia tu ofisi za serikali kama TRA, unaandika utambulisho wako mpaka namba za simu. Hivi form kubwa ya kutafuta nafasi kwenda kutunga Sheria za nchi inakosa option ya kumtambulisha mtu anakokaa, anafanya shughuli gani, namba zake za simu? Viambatanishi vya vitambulisho vyake kama driving license, kitambulisho cha mpiga kura ama namba ya NIDA, ili wao tume pia wajiridhishe kuwa huyu ni raia wa Tanzania maana jinai mgombea asipokua Raia.

Hii ni aibu kubwa sana, sana tena sana. Yapaswa kujitazama tena na tena.
 
Nchi ina miaka 59 haina maendeleo licha ya kuwa na rasilimali nyingi kuliko mataifa mengi Duniani, pesa nyingi inapotelea kwenye kudhoofisha kuihujumu chadema akina cyprian Musiba na Le mutuz wanalipwa mabilioni kutengeneza propaganda za kijinga jinga kuandika uzushi ufala mtupu kwenye vijarida vyao, hizo pesa ni nyingi zingeweza kujenga viwanda vyuo vikuu Hosptal za rufaa barabara kila mtaa kijiji wilaya mkoa na CCM wangepata kura kiulaini pasipo kutumia niia haramu za kuibia kura wapinzani.
 
Nyakati hizi ukiingia tu ofisi za serikali kama TRA, unaandika utambulisho wako mpaka namba za simu. Hivi form kubwa ya kutafuta nafasi kwenda kutunga Sheria za nchi inakosa option ya kumtambulisha mtu anakokaa, anafanya shughuli gani, namba zake za simu? Viambatanishi vya vitambulisho vyake kama driving license, kitambulisho cha mpiga kura ama namba ya NIDA, ili wao tume pia wajiridhishe kuwa huyu ni raia wa Tanzania maana jinai mgombea asipokua Raia.

Hii ni aibu kubwa sana, sana tena sana. Yapaswa kujitazama tena na tena.
Watanzania wamegeuzwa watumwa Nchini mwao wenyewe , mda wa kudai uhuru kama ule wa 1961 umewadia
 
Mkurugenzi anayehusika na uchaguzi jimbo la Kibamba amekataa kutoa fomu kwa mgombea wa CHADEMA kwa kile alichodai kuwa kuna mtu aliyedai kuwa mgombea wa CHADEMA ameichukua fomu husika hivyo hawezi kutoa fomu mara mbili. Hivyo amewataka CHADEMA washirikiane na polisi kumsaka muhusika.


Huyo muuweni hapohapo. Huo ni ujinga kulea watu kama hao. Uwa wengine wataheshimu
 
Exactly, labda kama walipewa fomu moja moja kwa kila chma. Lakini yeye ndiye anayetakiwa kuwajibishwa kwa kutoa fomu kwa mtu ambaye hakupitishwa na CHAMA kilichosajiriwa kisheria.
Lakini upande mwingine hao chadema wanajichimbia kaburi haiwezekani mtu ambaye hakuchaguliwa na chama aende akachukue form implications hapa ni uchu wa madaraka, kutokuridhika lakini pia ndani ya chama inaonekana kabisa hakuna maamuzi sahihi yaliyofanyika wakati wa kuchagua wapeperusha bendera katika Jimbo la kibamba. Mbona hii kitu haitokei upande wa CCM, chadema itabidi wajiangalie Sana. October is around the corner ohooo!.
 
Mbinu za kijima zimeanza kutumika?!? Hana familia huyo kiongozi!?
huyu hapa
2244685_Mkurugenzi_wa_manispaa_ya_Ubungo_Beatrice_Dominic__amekiandikia_barua_chama_cha__640_X...jpg
 
Back
Top Bottom