Hii ina Ukweli kwa asilimia zote, anasaka uteuzi kwa mgongo wa chademaWasimamzi Wameanza kutumika vibaya,
aone aibu, hakuna form iliotolewa hapo, anatafuta tu kuonekana kwa Magufuli kua anaweza kuwasumbua CHADEMA ili apate Ubunge wa kuteuliwa. .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ina Ukweli kwa asilimia zote, anasaka uteuzi kwa mgongo wa chademaWasimamzi Wameanza kutumika vibaya,
aone aibu, hakuna form iliotolewa hapo, anatafuta tu kuonekana kwa Magufuli kua anaweza kuwasumbua CHADEMA ili apate Ubunge wa kuteuliwa. .
Usikute anawazia kupata ubunge na uwaziri
Hapo ukisema Chadema wasubiri mpaka arudishe form watakuwa wanajidanganya kamwe hatorudisha na hapo ndio lengo la Msimamizi na Mgembea wa CCM litakuwa limefanikiwa,Yaani msimamizi wa uchaguzi yeye akipelekewa barua tu anakubali pasipo hata kujiridhisha kama aliyekuja ni mtu sahihi au lah.Binafsi sioni kama kuna ugumu wowote hapo. Ningemshauri na kumsihi msimamizi atoe form nyingine mana kimsingi yeye ndio katapeliwa.
Then kama wagombea wote wawili watarudisha form si Tume itachambua hizo form za maombi na kumtoa mgombea aliyefanya utapeli?
Kukataa kutoa form nyingine Kwa wagombea halali ni dosari isiyo ya lazima mana kama nchi mzima wakifanya uhuni kama huo si itakuwa ni chanzo cha vurugu?
Pia ushauri wa Mwanasheria unapotosha. Anaonyesha kama vile mgombea akirudisha form automatically anakuwa mgombea rasmi. Hiyo ni form ya maombi ya kuteuliwa/kupitishwa na Tume kuwa Mgombea rasmi, na kwenye maombi kuna kukubaliwa au kukataliwa/kuwekewa pingamizi. So hapo hakuna ugumu wowote hapo.
Video imesambaa lazima sana Lazima ataiona tuHapo ukisema Chadema wasubiri mpaka arudishe form watakuwa wanajidanganya kamwe hatorudisha na hapo ndio lengo la Msimamizi na Mgembea wa CCM litakuwa limefanikiwa,Yaani msimamizi wa uchaguzi yeye akipelekewa barua tu anakubali pasipo hata kujiridhisha kama aliyekuja ni mtu sahihi au lah.
Hizi issue aambiwe Tundu lissu tu ndio dawa yake atatoa ufafanuzi kitu gani kifanyike.
Yes, sasa huoni chadema wanakuwa Keyboard worriers, wewe na akili zako unadhani huyo mtu watampta wapi?A
Buku 7
Na nani, si wewe ungeenda kuonesha mfanoHuyo auwawe kabla hata kampeni hazijaanza
Uo co ujanja ni ujinga msimamiz anatumika apo nyuma ya pazia kuna movie linachezwa ndio maana nasema bila katiba mpya uchaguzi ni kupoteza mdaYes, sasa huoni chadema wanakuwa Keyboard worriers, wewe na akili zako unadhani huyo mtu watampta wapi?
Kwaiyo apa unaamini kabisa umetumia akili kufikiri?Ila Chadema watoto kwenye Siasa. Anayejua chuo cha Figisu cha CCM anitajie, jamaa wanajua.
Chadema wanaishia kusema sawa 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀
Mkurugenzi anayehusika na uchaguzi jimbo la Kibamba amekataa kutoa fomu kwa mgombea wa CHADEMA kwa kile alichodai kuwa kuna mtu aliyedai kuwa mgombea wa CHADEMA ameichukua fomu husika hivyo hawezi kutoa fomu mara mbili. Hivyo amewataka CHADEMA washirikiane na polisi kumsaka muhusika.
Huyu ni zaidi ya kada muaminifu.Huyu mama hata akitoa barua hawezi kumtangaza mgombea wa chadema kama atashinda anaoneka mbabe na mkorofi sana
Mkurugenzi anayehusika na uchaguzi jimbo la Kibamba amekataa kutoa fomu kwa mgombea wa CHADEMA kwa kile alichodai kuwa kuna mtu aliyedai kuwa mgombea wa CHADEMA ameichukua fomu husika hivyo hawezi kutoa fomu mara mbili. Hivyo amewataka CHADEMA washirikiane na polisi kumsaka muhusika.
Fomu imetolewa kabla ya majina ya wagombea wa Chadema kutangazwa na halmashauri kuu.Huu ni uzembe wa hali ya juu wa tume ya uchaguzi unaopelekea unyanyasai wa kisiasa.
Inakuwaje wewe unadai umetoa form kwa mtu asiyejulikana halafu unadai watu ambao hawakumwona wala kushuhudia tukio hilo wakamtafute? Siyo kwamba wewe uliyetoa form kwa mtu asiyefahamika ndiye umtafute?
Na kwa nini anakataa kuwapa hata barua ya utambulisho aliiyotumia kumtambua huyo mgushi?
Ina maana sheria imeegemea upande mmoja tu kwamba makosa yote yanayotokea katika mchakato yawe ya chama kinacholalamika na kwamba ofisi ya tume inasimamiwa na malaika ambao hawawezi kufanya makosa?
Kutoa form ya pili kwa malalamiko kama haya yeye kunamgharimu nini?
Hapa kuna tatizo.
Hawa watendaji wawe na uwezo wa kutumia akili na utashi wa uaminifu kwa Watanzania.
Ninaomba mamlaka iingilie hili suala ili wapewe form na siku ya kurejesha form sharti liwekwe kwamba zote zirejeshwe kwa wakati mmoja ili suala limalizike.
Hakuna utukufu katika kumtumikia shetani. Maisha haya yanaishia hapa na baada ya kifo ni hukumu.
CCM jiangalieni.
Inabidi kutumia busara sana uchaguzi huu maana watu wana ari sana kuliko ilivyo fikiriwaHuyu ni zaidi ya kada muaminifu.
Fomu imetolewa kabla ya majina ya wagombea wa Chadema kutangazwa na halmashauri kuu.
Fomu hawajakabidhiwa mkononi iweje kosa liwe la makamanda wa Chadema.