Msimamo: Napinga Mkapa kupongezwa kwa kuandika kitabu kinachoeleza makandokando yake

Msimamo: Napinga Mkapa kupongezwa kwa kuandika kitabu kinachoeleza makandokando yake

Nilimtegemea kuwa mstari wa mbele kukikuza na kukienzi Kiswahili lakini yeye ndio kwanza anaipamba lugha ya malkia.
Ni bora angekichapisha katika lugha zote mbili ili kuwapa nafasi kubwa walengwa wengi walioishi utawala wake ambao wanajua Kiswahili.
Mie naona kuandika kwa kingereza wakati uliokua unaowaongoza wanaongea Kiswahili si sahihi
 
Ukitaka kusikia mambo yenye soko Afrika hii ni kama hadithi za akina Idd Amin, Bokasa, nk. hao wako safi kwa kuwa historia yao inaandikwa na wengine kiuhalisia, badala ya mapambo haya.

Hivi vyote hakuna jambo la kujifunza. Hata wale wengine walioandika I can .... bhla bhla! wote ni kuigiza. Hawasemi maisha yao hasa ni yapi na wapi walitumia akili ili kuigwa.
 
Mkapa aliamua kuandika kitabu hicho kama njia ya toba kwa maovu mengi aliyoyafanya na ndio maana hata mgeni mwalikwa badala ya kujikita kuelezea hoja angalau chache zilizoainishwa na mtunga kitabu ndio kwanza akaamua kuelezea maisha yake yeye kuwa ilikuwa auliwe kwa kupewa sumu.Hilo linafanya dhana nzima ya uzito wa hoja za Mkapa kuyeyuka huo ni usanii tu.
 
Alisema ataandaa nakala kwa lugha ya Kiswahili ili kila Mtazania anaetaka kukisoma aweze kukisoma kwa urahisi
 
Wanadamu hawatamsaidia kitu , akatubu kwa muumba wake .


Ijapokuwa Mungu anapendezwa na Toba ya binadamu kwa binadamu pia,

Anasema mtu akikosea muonye akitubu msamehe.

Kwa hiyo tusijidanganye kuwatenda watu maovu halafu ujifanye kutubu kwa siri mbele za Mungu.

Kanuni inataka utengeneze yani uwaombe msamaha na kuwasamehe waliokukosea kwa kusema nao ndipo uende mbele za Mungu kuomba msamaha.

Kwenye ile Sara ya Baba yetu uliyembinguni ......

Utusamehe makosa yetu kama sisi tunavyowasamehe waliotukosa ..........
 
Laiti kama Mzee huyu angeandika kitabu cha kufundishia watoto shuleni cha alphabet kama 'a e i o u' au cha hesabu ama kiswahili sanifu basi nisingetia neno lolote, lakini kwa kitabu hiki alichoandika sitathubutu kumpongeza hata chembe.

Benjamini Mkapa mtu aliyeingia madarakani baada ya kuapa kuilinda na kuitetea Katiba ya Tanzania, huku akiwa na akili timamu hawezi kupongezwa na yeyote mwenye akili timamu kwa kuandika kitabu kinachoelezea namna alivyofanya madudu yake ikiwa ni pamoja na mauaji ya wapemba akiwa madarakani jambo ambalo ni kinyume cha Katiba aliyoapa kuilinda, nani aliyekuwa hajui kuhusu yeye kufanya biashara Ikulu, nani hakufahamu kuhusu wizi wa kienyeji wa EPA uliokuja kunufaisha chama chake?

Alipokuwa madarakani mbona hatukumsikia akipigia chapuo Tume huru ya uchaguzi, why now? Amelenga kumdanganya nani na kwanini, ni hofu ya uzee?

Mtu ambaye miaka michache iliyopita aliwaita wapinzani wapumbavu leo amepata wapi huruma ya kuomba washirikishwe kwenye michakato ya nchi?

Ikiwa kama lengo la Mkapa lilikuwa ni kutubu basi ni vema angekutumia njia ya madhabauni lakini si ghiliba hii ya kitabu, ikiwa kama tutamsifia huyu basi bila shaka na hawa wengine watatumia njia hii hii kuja kutung'ong'a ili nao wahurumiwe.

Siungi mkono kitabu cha Mkapa na makandokando yaliyo ndani yake na naomba msimamo wangu uheshimiwe.

Nitasema kweli daima fitina kwangu mwiko.
Napinga bandiko lako..
 
Laiti kama Mzee huyu angeandika kitabu cha kufundishia watoto shuleni cha alphabet kama 'a e i o u' au cha hesabu ama kiswahili sanifu basi nisingetia neno lolote, lakini kwa kitabu hiki alichoandika sitathubutu kumpongeza hata chembe.

Benjamini Mkapa mtu aliyeingia madarakani baada ya kuapa kuilinda na kuitetea Katiba ya Tanzania, huku akiwa na akili timamu hawezi kupongezwa na yeyote mwenye akili timamu kwa kuandika kitabu kinachoelezea namna alivyofanya madudu yake ikiwa ni pamoja na mauaji ya wapemba akiwa madarakani jambo ambalo ni kinyume cha Katiba aliyoapa kuilinda, nani aliyekuwa hajui kuhusu yeye kufanya biashara Ikulu, nani hakufahamu kuhusu wizi wa kienyeji wa EPA uliokuja kunufaisha chama chake?

Alipokuwa madarakani mbona hatukumsikia akipigia chapuo Tume huru ya uchaguzi, why now? Amelenga kumdanganya nani na kwanini, ni hofu ya uzee?

Mtu ambaye miaka michache iliyopita aliwaita wapinzani wapumbavu leo amepata wapi huruma ya kuomba washirikishwe kwenye michakato ya nchi?

Ikiwa kama lengo la Mkapa lilikuwa ni kutubu basi ni vema angekutumia njia ya madhabauni lakini si ghiliba hii ya kitabu, ikiwa kama tutamsifia huyu basi bila shaka na hawa wengine watatumia njia hii hii kuja kutung'ong'a ili nao wahurumiwe.

Siungi mkono kitabu cha Mkapa na makandokando yaliyo ndani yake na naomba msimamo wangu uheshimiwe.

Nitasema kweli daima fitina kwangu mwiko.


Some how you have a point.. ila dah we jamaa huwapend sana wakijan... kila title yako inawakaanga viongoz wakeInaelekea umewachoka had basi... any way kumpa benefit of the doubt Mkapa.. labda alipokuwa madarakan alikuwa namihemko ya kiuongoz.. baada ya kutoka nje ya picha ndo akaona demage alioifanya... labda alishatubu madhabahun ila nafs ikamsuta nankuamua kutumia professional yake ya kalamu kuyaweka hadharan.. si unajua when the bad deed is hunting you ... kwa hiyo akaamua kuweka kumbukumbu kwa kuandika kitabu ili iwe reference ya viongoz wajao kuwa in the end nothing Good came out of it.... i am just trying to paint him rainbow colors ili kuwa fair. [emoji1]
 
Laiti kama Mzee huyu angeandika kitabu cha kufundishia watoto shuleni cha alphabet kama 'a e i o u' au cha hesabu ama kiswahili sanifu basi nisingetia neno lolote, lakini kwa kitabu hiki alichoandika sitathubutu kumpongeza hata chembe.

Benjamini Mkapa mtu aliyeingia madarakani baada ya kuapa kuilinda na kuitetea Katiba ya Tanzania, huku akiwa na akili timamu hawezi kupongezwa na yeyote mwenye akili timamu kwa kuandika kitabu kinachoelezea namna alivyofanya madudu yake ikiwa ni pamoja na mauaji ya wapemba akiwa madarakani jambo ambalo ni kinyume cha Katiba aliyoapa kuilinda, nani aliyekuwa hajui kuhusu yeye kufanya biashara Ikulu, nani hakufahamu kuhusu wizi wa kienyeji wa EPA uliokuja kunufaisha chama chake?

Alipokuwa madarakani mbona hatukumsikia akipigia chapuo Tume huru ya uchaguzi, why now? Amelenga kumdanganya nani na kwanini, ni hofu ya uzee?

Mtu ambaye miaka michache iliyopita aliwaita wapinzani wapumbavu leo amepata wapi huruma ya kuomba washirikishwe kwenye michakato ya nchi?

Ikiwa kama lengo la Mkapa lilikuwa ni kutubu basi ni vema angekutumia njia ya madhabauni lakini si ghiliba hii ya kitabu, ikiwa kama tutamsifia huyu basi bila shaka na hawa wengine watatumia njia hii hii kuja kutung'ong'a ili nao wahurumiwe.

Siungi mkono kitabu cha Mkapa na makandokando yaliyo ndani yake na naomba msimamo wangu uheshimiwe.

Nitasema kweli daima fitina kwangu mwiko.
Jikague kama unazo akili kwenye ubongo wako kwa kutembelea Mirembe Hospital.

Kitabu cha Mkapa ni masterpiece
 
Back
Top Bottom