Msimamo: Napinga Mkapa kupongezwa kwa kuandika kitabu kinachoeleza makandokando yake

Kupongeza au kuponda ni haki yetu kikatiba ambayo wewe Erythrocyte huwezi kuipokonya. Ungetutendea haki kama na wewe ungeandika kitabu chako kuponda other wise acha kulia Lia hapa.

BWM ndiye baba wa uchumi wa wa kisasa Tanzania. Misingi aliyoiweka ndiyo JK, JPM na Samia wanatembelea
 
Angalau Nyerere hawa wengine ni balaa tupu na aibu hakuna cha maana walichofanya zaidi ya kutafuna mali za nchi
 
Huna mvuto tena
 
Ukiona mtu anaandika memoir bas jua anakaribia kukata moto so ni namna flani ya kuomba radhi na kujipatanisha na anaowaacha ili safari yake iwe njema huko aendapo.
We jamaa uko wapi siku hizi ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…