vexozanzhu
JF-Expert Member
- Mar 1, 2019
- 503
- 615
nani anaangalia TBC nchi hii , umewahi kufanya utafiti wowote , unadhani wafanyabiashara kutopeleka matangazo ya biashara zao TBC ni wajinga ? mtabaki kutangaza dawa za nguvu za kiume za kigogo mbuyuni tu .Chief sasa iv TBC ndio talk of the town, habar zao wana andaa kwa kiwango cha juu sanaa yaan ITV siku izi kwa TBC ni teke la mtu mzimaa na teke la mtoto. ...
nani anaangalia TBC nchi hii , umewahi kufanya utafiti wowote , unadhani wafanyabiashara kutopeleka matangazo ya biashara zao TBC ni wajinga ? mtabaki kutangaza dawa za nguvu za kiume za kigogo mbuyuni tu .
"Ongeza sauti"Chadema ni mali ya umma!
Chadema muwe makini msitumie mic za TBC 1.Hata mimi binafsi nasubili kwa hamu nifuatilie mkutano huo kupitia TBC.
Nguvu gani wakati mmeshindwa kupata coverage yoyote, mnajipiga vifua halafu mfukoni watupu, kwa ujinga huu CCM watawacharaza sana, ni sawa na anafurahia alimsumbua bwana wake kabla ya kuvuliwa chupxx.Chadema inafahamika na ina nguvu kubwa kuliko TBC
Ni msimamo wangu , hayo mengine sijayasema , wakati ukilaumu Chadema kutokuwa na Channel yake jiulize walikopotelea Tanzania Daima , Mawio na MwanaHalisiTbc siyo kwa ajili ya wanasiasa tu, hata wasio wanasiasa wanalipa kodi na wana haki ya kuwasikiliza wagombea wote ili wafanye maamuzi sahihi.
Cha kufanya wewe pinga nyumbani kwako kutazama TBC, usiwaze kichadema chadema muda wote.
Hata mimi binafsi nasubili kwa hamu nifuatilie mkutano huo kupitia TBC.
Wenzenu ccm wana Channel ten nyinyi sijui mtaamka lini kujuwa umuhimu wa kumiliki tv station yenu, yani mnazidiwa maarifa hatanna wahuni tu kama kina Majizo?
Huu ndio unyumbu sasa, CDM iwe kiki kwa TBC wakati hamna hata channel moja inayo onyesha matukio yenu live, huu ujinga unapatikana Ufipa tu.
hili ni muhimu sanaChadema muwe makini msitumie mic za TBC 1.
Shwain wewe ,Tbc siyo kwa ajili ya wanasiasa tu, hata wasio wanasiasa wanalipa kodi na wana haki ya kuwasikiliza wagombea wote ili wafanye maamuzi sahihi.
Cha kufanya wewe pinga nyumbani kwako kutazama TBC, usiwaze kichadema chadema muda wote.
Hata mimi binafsi nasubili kwa hamu nifuatilie mkutano huo kupitia TBC.
Wenzenu ccm wana Channel ten nyinyi sijui mtaamka lini kujuwa umuhimu wa kumiliki tv station yenu, yani mnazidiwa maarifa hatanna wahuni tu kama kina Majizo?
umefanya ile kitu lakini?ππππ
Ni wewe au!! Viongozi wako wapo upande wako!!! πππ
Mliwasema sana.. sasa wamewasikia.. si mufurahie mnasaidiwa kupata wapiga kura au!!.. TCRA nayo inawasaidia kwa wale wanyonge.. wasio weza kusikiliza tena vipindi vyao kwenye radio yao pendwa.. wamekasirika.. na wanafikiria wali wa Rungwe na wengine.. wawape kura.. kisa TCRA kuruka wengine na kuadhibu Clouds Media.
Kwanini wabadilike wakati huu wa kampeni? wanatafuta kura za huruma wale, kama sio hivyo TBC wakimaliza kuonesha huo mkutano nao wafungiwe kama wengine wanavyofanyiwa.Duh, sijaelewa bado...kwani kubadilika in dhambi?
Waliona wamekosa watazaamaji, sasa wanataka kunyanyua namba ya watazamaji wake, na njia pekee ya kunyanyua namba ya watazamaji ni Lissu na ChademaKwa miaka mingi sana tangu kuondolewa kwa Tido Mhando kwenye uongozi wa TBC , Channel hii imejipambanua bila kificho wala uoga wowote kama channel ya ccm , kwa kuonyesha kila kinachofanywa na ccm hata mambo ya hovyo na yasiyo na tija kwa Taifa hili , imewapuuza wapinzani katika kipindi chote hicho huku ikiwanyima hata nafasi ya kukohoa tu kwenye mic zao , Watangazaji wake wamekuwa makada halisi wa ccm wenye kusifia hata ukandamizaji , hoja zote zenye tija hazijawahi kupewa nafasi kwenye TV hii .
Kwa tabia hii TBC imepoteza kabisa watazamaji katika nchi hii baada ya wananchi kwa umoja wao kuidharau moja kwa moja , nini kimetokea leo kwa TBC kutangaza mkutano wa Chadema , Je TBC inatafuta umaarufu kupitia mgongo wa Chadema baada ya wananchi kuipuuza ?
Napinga jambo hili na sitakubali Chadema itumike kama ngazi , waendelee kuifagilia ccm sisi tutapita nyumba kwa nyumba .
Naomba kuwasilisha .
kubadilika ? wameanza lini ?Duh, sijaelewa bado...kwani kubadilika in dhambi?