Msimamo: Napinga TBC kurusha Live Mkutano wa uzinduzi wa kampeni za mgombea Urais wa CHADEMA

Msimamo: Napinga TBC kurusha Live Mkutano wa uzinduzi wa kampeni za mgombea Urais wa CHADEMA

Status
Not open for further replies.
Wewe "ni kina nani" kwani? Ni CCM siyo?

Nyie mnayo TV Channel ya kurusha matangazo "live?"

Inaitwaje? Iko wapi?
Umeona CCM wamekosa coverage kwa tukio lolote? Chanel 10 na Uhuru ni vyombo rasmi vinavyomilikiwa na CCM, bado kuna vyombo mamluki vilivyo na uhusiano wa chini kurusha propaganda za CCM, halafu nyumbu wa CDM anaikataa TBC anasubiria Global Tv na Ayo ndio warushe hizo habari Tz nzima, kuwa nyumbu ni hasara kwa Taifa...
 
Tbc siyo kwa ajili ya wanasiasa tu, hata wasio wanasiasa wanalipa kodi na wana haki ya kuwasikiliza wagombea wote ili wafanye maamuzi sahihi.

Cha kufanya wewe pinga nyumbani kwako kutazama TBC, usiwaze kichadema chadema muda wote.

Hata mimi binafsi nasubili kwa hamu nifuatilie mkutano huo kupitia TBC.

Wenzenu ccm wana Channel ten nyinyi sijui mtaamka lini kujuwa umuhimu wa kumiliki tv station yenu, yani mnazidiwa maarifa hatanna wahuni tu kama kina Majizo?
Nina wasiwasi mambo yatakayowagusa wananchi na kuwatoa usingizini ,kutatokea hitilafu kwenye mitambo au tanesco watakata umeme. Adui yako usimwamini sn hasa anapojifanya rafiki yako ghafla bin vuu.
 
Kwa miaka mingi sana tangu kuondolewa kwa Tido Mhando kwenye uongozi wa TBC , Channel hii imejipambanua bila kificho wala uoga wowote kama channel ya ccm , kwa kuonyesha kila kinachofanywa na ccm hata mambo ya hovyo na yasiyo na tija kwa Taifa hili , imewapuuza wapinzani katika kipindi chote hicho huku ikiwanyima hata nafasi ya kukohoa tu kwenye mic zao , Watangazaji wake wamekuwa makada halisi wa ccm wenye kusifia hata ukandamizaji , hoja zote zenye tija hazijawahi kupewa nafasi kwenye TV hii .

Kwa tabia hii TBC imepoteza kabisa watazamaji katika nchi hii baada ya wananchi kwa umoja wao kuidharau moja kwa moja , nini kimetokea leo kwa TBC kutangaza mkutano wa Chadema , Je TBC inatafuta umaarufu kupitia mgongo wa Chadema baada ya wananchi kuipuuza ?

Napinga jambo hili na sitakubali Chadema itumike kama ngazi , waendelee kuifagilia ccm sisi tutapita nyumba kwa nyumba .

Naomba kuwasilisha .
Umejuaje TBC inatangaza wakati tulikubaliane tusiiangale?
...kumbe huwa unaichunguliaga?
Msaliti wewe!
 
Tibisi ni television ya taifa,wanaruhusiwa kufanya jambo lolote......hebu tuache wafanye yale tuliyokuwa tunayalalamikia kuwa hawako fea.

Hawawezi tangaza mpaka mwisho

Wanaenda ku establish uzushi hapo

Wataibuka na propaganda kwamba Tulikata matangazo sababu TL alitumia lugha chafu, hakuwa na nidhamu, nk

Nondo na hoja za Lisu TBC, ccm hawawezi kurusha live wala kustahimili ni mizinga na makombora ya masafa marefu ICBM. Wanatafuta pa kumchafulia MH Lisu.
 
Kweli urais ni kuandaa maandamano, kuhakikisha maslai mapana ya mabebelu anayalindwa na kuhakikisha fujo ndio mpanga mzima katika taifa na si ujezi wa mihundo mbinu, maji, umeme na vingine

Na vilevile taasisi ya uraisi si utetezi wa wanyonge bali ni utetezi wa mapenzi ya jinsia moja
wew ni bure kabisa
 
Cjajua Sana co
Kwa miaka mingi sana tangu kuondolewa kwa Tido Mhando kwenye uongozi wa TBC , Channel hii imejipambanua bila kificho wala uoga wowote kama channel ya ccm , kwa kuonyesha kila kinachofanywa na ccm hata mambo ya hovyo na yasiyo na tija kwa Taifa hili , imewapuuza wapinzani katika kipindi chote hicho huku ikiwanyima hata nafasi ya kukohoa tu kwenye mic zao , Watangazaji wake wamekuwa makada halisi wa ccm wenye kusifia hata ukandamizaji , hoja zote zenye tija hazijawahi kupewa nafasi kwenye TV hii .

Kwa tabia hii TBC imepoteza kabisa watazamaji katika nchi hii baada ya wananchi kwa umoja wao kuidharau moja kwa moja , nini kimetokea leo kwa TBC kutangaza mkutano wa Chadema , Je TBC inatafuta umaarufu kupitia mgongo wa Chadema baada ya wananchi kuipuuza ?

Napinga jambo hili na sitakubali Chadema itumike kama ngazi , waendelee kuifagilia ccm sisi tutapita nyumba kwa nyumba .

Naomba kuwasilisha .
[/QUOT
Cjajua Sana commitment ya TBC juu ya kurusha mkutano huo mwanzo Mwisho. Nina wasiwasi matangazo yanaweza katwa ghafla kwa sababu uzoefu unaoonyesha hapa kwetu hatuna uwezo wa kuckia Mambo magumu na hasa yanapogusa high profile people. Nijuavyo kampeni kwa namna yoyote ina Mambo magumu. Je watarusha mpaka Mwisho kweli?
 
Tbc siyo kwa ajili ya wanasiasa tu, hata wasio wanasiasa wanalipa kodi na wana haki ya kuwasikiliza wagombea wote ili wafanye maamuzi sahihi.

Cha kufanya wewe pinga nyumbani kwako kutazama TBC, usiwaze kichadema chadema muda wote.

Hata mimi binafsi nasubili kwa hamu nifuatilie mkutano huo kupitia TBC.

Wenzenu ccm wana Channel ten nyinyi sijui mtaamka lini kujuwa umuhimu wa kumiliki tv station yenu, yani mnazidiwa maarifa hatanna wahuni tu kama kina Majizo?
Nina wasiwasi mambo yatakayowagusa wananchi na kuwatoa usingizini ,kutatokea hitilafu kwenye mitambo au tanesco watakata umeme. Adui yako usimwamini sn hasa anapojifanya rafiki yako ghafla bin vuu.
 
Yani Chadema hamueleweki mnataka nini wasipoonyesha kilio,wakionyesha kilio!
 
Kwa miaka mingi sana tangu kuondolewa kwa Tido Mhando kwenye uongozi wa TBC , Channel hii imejipambanua bila kificho wala uoga wowote kama channel ya ccm , kwa kuonyesha kila kinachofanywa na ccm hata mambo ya hovyo na yasiyo na tija kwa Taifa hili , imewapuuza wapinzani katika kipindi chote hicho huku ikiwanyima hata nafasi ya kukohoa tu kwenye mic zao , Watangazaji wake wamekuwa makada halisi wa ccm wenye kusifia hata ukandamizaji , hoja zote zenye tija hazijawahi kupewa nafasi kwenye TV hii .

Kwa tabia hii TBC imepoteza kabisa watazamaji katika nchi hii baada ya wananchi kwa umoja wao kuidharau moja kwa moja , nini kimetokea leo kwa TBC kutangaza mkutano wa Chadema , Je TBC inatafuta umaarufu kupitia mgongo wa Chadema baada ya wananchi kuipuuza ?

Napinga jambo hili na sitakubali Chadema itumike kama ngazi , waendelee kuifagilia ccm sisi tutapita nyumba kwa nyumba .

Naomba kuwasilisha .
Wewe jamaa sijawahi kukuelewa sijui kwa sababu ya utiro wako, kamanda wewe ni wa tiro kweli kweli unashindwa ata na Mmawia 🤣 .
 
Miaka 5 hatujawahi kuonyesha na bado tupo na wanachama kibao tbc isitafute kiki kwa chadema
Huu ndio unyumbu sasa, CDM iwe kiki kwa TBC wakati hamna hata channel moja inayo onyesha matukio yenu live, huu ujinga unapatikana Ufipa tu.
 
TBC kuonyesha mikutano ya chadema ni njama chafu ,wanataka vyombo vingine visirushe warushe wao tu na wateke watu wanaofuatilia chadema kupitia tbc ,wameona bila kuonyesha chadema hamna anayewafuatilia
 
Mic kabla ya kuziweka huwa zinatestiwa na anayeweka?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom