mtanzania1989
JF-Expert Member
- May 20, 2010
- 4,068
- 6,758
Umeona CCM wamekosa coverage kwa tukio lolote? Chanel 10 na Uhuru ni vyombo rasmi vinavyomilikiwa na CCM, bado kuna vyombo mamluki vilivyo na uhusiano wa chini kurusha propaganda za CCM, halafu nyumbu wa CDM anaikataa TBC anasubiria Global Tv na Ayo ndio warushe hizo habari Tz nzima, kuwa nyumbu ni hasara kwa Taifa...Wewe "ni kina nani" kwani? Ni CCM siyo?
Nyie mnayo TV Channel ya kurusha matangazo "live?"
Inaitwaje? Iko wapi?
Nina wasiwasi mambo yatakayowagusa wananchi na kuwatoa usingizini ,kutatokea hitilafu kwenye mitambo au tanesco watakata umeme. Adui yako usimwamini sn hasa anapojifanya rafiki yako ghafla bin vuu.Tbc siyo kwa ajili ya wanasiasa tu, hata wasio wanasiasa wanalipa kodi na wana haki ya kuwasikiliza wagombea wote ili wafanye maamuzi sahihi.
Cha kufanya wewe pinga nyumbani kwako kutazama TBC, usiwaze kichadema chadema muda wote.
Hata mimi binafsi nasubili kwa hamu nifuatilie mkutano huo kupitia TBC.
Wenzenu ccm wana Channel ten nyinyi sijui mtaamka lini kujuwa umuhimu wa kumiliki tv station yenu, yani mnazidiwa maarifa hatanna wahuni tu kama kina Majizo?
Umejuaje TBC inatangaza wakati tulikubaliane tusiiangale?Kwa miaka mingi sana tangu kuondolewa kwa Tido Mhando kwenye uongozi wa TBC , Channel hii imejipambanua bila kificho wala uoga wowote kama channel ya ccm , kwa kuonyesha kila kinachofanywa na ccm hata mambo ya hovyo na yasiyo na tija kwa Taifa hili , imewapuuza wapinzani katika kipindi chote hicho huku ikiwanyima hata nafasi ya kukohoa tu kwenye mic zao , Watangazaji wake wamekuwa makada halisi wa ccm wenye kusifia hata ukandamizaji , hoja zote zenye tija hazijawahi kupewa nafasi kwenye TV hii .
Kwa tabia hii TBC imepoteza kabisa watazamaji katika nchi hii baada ya wananchi kwa umoja wao kuidharau moja kwa moja , nini kimetokea leo kwa TBC kutangaza mkutano wa Chadema , Je TBC inatafuta umaarufu kupitia mgongo wa Chadema baada ya wananchi kuipuuza ?
Napinga jambo hili na sitakubali Chadema itumike kama ngazi , waendelee kuifagilia ccm sisi tutapita nyumba kwa nyumba .
Naomba kuwasilisha .
Tibisi ni television ya taifa,wanaruhusiwa kufanya jambo lolote......hebu tuache wafanye yale tuliyokuwa tunayalalamikia kuwa hawako fea.
wew ni bure kabisaKweli urais ni kuandaa maandamano, kuhakikisha maslai mapana ya mabebelu anayalindwa na kuhakikisha fujo ndio mpanga mzima katika taifa na si ujezi wa mihundo mbinu, maji, umeme na vingine
Na vilevile taasisi ya uraisi si utetezi wa wanyonge bali ni utetezi wa mapenzi ya jinsia moja
Kwa miaka mingi sana tangu kuondolewa kwa Tido Mhando kwenye uongozi wa TBC , Channel hii imejipambanua bila kificho wala uoga wowote kama channel ya ccm , kwa kuonyesha kila kinachofanywa na ccm hata mambo ya hovyo na yasiyo na tija kwa Taifa hili , imewapuuza wapinzani katika kipindi chote hicho huku ikiwanyima hata nafasi ya kukohoa tu kwenye mic zao , Watangazaji wake wamekuwa makada halisi wa ccm wenye kusifia hata ukandamizaji , hoja zote zenye tija hazijawahi kupewa nafasi kwenye TV hii .
Kwa tabia hii TBC imepoteza kabisa watazamaji katika nchi hii baada ya wananchi kwa umoja wao kuidharau moja kwa moja , nini kimetokea leo kwa TBC kutangaza mkutano wa Chadema , Je TBC inatafuta umaarufu kupitia mgongo wa Chadema baada ya wananchi kuipuuza ?
Napinga jambo hili na sitakubali Chadema itumike kama ngazi , waendelee kuifagilia ccm sisi tutapita nyumba kwa nyumba .
Naomba kuwasilisha .
[/QUOT
Cjajua Sana commitment ya TBC juu ya kurusha mkutano huo mwanzo Mwisho. Nina wasiwasi matangazo yanaweza katwa ghafla kwa sababu uzoefu unaoonyesha hapa kwetu hatuna uwezo wa kuckia Mambo magumu na hasa yanapogusa high profile people. Nijuavyo kampeni kwa namna yoyote ina Mambo magumu. Je watarusha mpaka Mwisho kweli?
Tena muhimu kweli. Tusije kuzika wagombea kabla ya oktoba 28hili ni muhimu sana
Nina wasiwasi mambo yatakayowagusa wananchi na kuwatoa usingizini ,kutatokea hitilafu kwenye mitambo au tanesco watakata umeme. Adui yako usimwamini sn hasa anapojifanya rafiki yako ghafla bin vuu.Tbc siyo kwa ajili ya wanasiasa tu, hata wasio wanasiasa wanalipa kodi na wana haki ya kuwasikiliza wagombea wote ili wafanye maamuzi sahihi.
Cha kufanya wewe pinga nyumbani kwako kutazama TBC, usiwaze kichadema chadema muda wote.
Hata mimi binafsi nasubili kwa hamu nifuatilie mkutano huo kupitia TBC.
Wenzenu ccm wana Channel ten nyinyi sijui mtaamka lini kujuwa umuhimu wa kumiliki tv station yenu, yani mnazidiwa maarifa hatanna wahuni tu kama kina Majizo?
ahahahaaaa . . .Wee unafikiri Ayubu rioba hapendi ugali wake?
utoto
Wewe jamaa sijawahi kukuelewa sijui kwa sababu ya utiro wako, kamanda wewe ni wa tiro kweli kweli unashindwa ata na Mmawia 🤣 .Kwa miaka mingi sana tangu kuondolewa kwa Tido Mhando kwenye uongozi wa TBC , Channel hii imejipambanua bila kificho wala uoga wowote kama channel ya ccm , kwa kuonyesha kila kinachofanywa na ccm hata mambo ya hovyo na yasiyo na tija kwa Taifa hili , imewapuuza wapinzani katika kipindi chote hicho huku ikiwanyima hata nafasi ya kukohoa tu kwenye mic zao , Watangazaji wake wamekuwa makada halisi wa ccm wenye kusifia hata ukandamizaji , hoja zote zenye tija hazijawahi kupewa nafasi kwenye TV hii .
Kwa tabia hii TBC imepoteza kabisa watazamaji katika nchi hii baada ya wananchi kwa umoja wao kuidharau moja kwa moja , nini kimetokea leo kwa TBC kutangaza mkutano wa Chadema , Je TBC inatafuta umaarufu kupitia mgongo wa Chadema baada ya wananchi kuipuuza ?
Napinga jambo hili na sitakubali Chadema itumike kama ngazi , waendelee kuifagilia ccm sisi tutapita nyumba kwa nyumba .
Naomba kuwasilisha .
Hujanielewa wapi ili usaidiwe ?Wewe jamaa sijawahi kukuelewa sijui kwa sababu ya utiro wako, kamanda wewe ni wa tiro kweli kweli unashindwa ata na Mmawia 🤣 .
Huu ndio unyumbu sasa, CDM iwe kiki kwa TBC wakati hamna hata channel moja inayo onyesha matukio yenu live, huu ujinga unapatikana Ufipa tu.
Wewe ndio hujatuelewaYani Chadema hamueleweki mnataka nini wasipoonyesha kilio,wakionyesha kilio!
Mmm! Kweli una hasira. Nahisi watakuwa wanaonyesha mahala ambapo hakuna watu ili wapiga kura wafikirie kuwa mkutano uko "poorly attended".Siangaliagi hilo lichaneli.
I hope Azam watarusha. Nitaangalia huko labda.
Umechuja sana Kamanda jiongeze kipindi hiki cha kampeni, tegemeo langu kukuona unakuwa kipropagada sio kuja na vinyuzi kama vya chekechea.Hujanielewa wapi ili usaidiwe ?