Shida ni kwamba Lissu ataanza kusema ukweli wa Yesu wa Lumumba alaf watzima sauti au matangazo ndio maana ni bora wasioneshe.Huu ndio unyumbu sasa, CDM iwe kiki kwa TBC wakati hamna hata channel moja inayo onyesha matukio yenu live, huu ujinga unapatikana Ufipa tu.
Gazeti la Tanzania daima lilifanywa nn?Tbc siyo kwa ajili ya wanasiasa tu, hata wasio wanasiasa wanalipa kodi na wana haki ya kuwasikiliza wagombea wote ili wafanye maamuzi sahihi.
Cha kufanya wewe pinga nyumbani kwako kutazama TBC, usiwaze kichadema chadema muda wote.
Hata mimi binafsi nasubili kwa hamu nifuatilie mkutano huo kupitia TBC.
Wenzenu ccm wana Channel ten nyinyi sijui mtaamka lini kujuwa umuhimu wa kumiliki tv station yenu, yani mnazidiwa maarifa hatanna wahuni tu kama kina Majizo?
sikuingia jf kufurahisha watu , nilikuja hapa kuweka facts tu , ipo option ya ku ignore usiyemtaka , fanya hivyo haraka maana ni bure tuUmechuja sana Kamanda jiongeze kipindi hiki cha kampeni, tegemeo langu kukuona unakuwa kipropagada sio kuja na vinyuzi kama vya chekechea.
Bavicha at their best...hypocrysy at its purest level...Kwa miaka mingi sana tangu kuondolewa kwa Tido Mhando kwenye uongozi wa TBC , Channel hii imejipambanua bila kificho wala uoga wowote kama channel ya ccm , kwa kuonyesha kila kinachofanywa na ccm hata mambo ya hovyo na yasiyo na tija kwa Taifa hili , imewapuuza wapinzani katika kipindi chote hicho huku ikiwanyima hata nafasi ya kukohoa tu kwenye mic zao , Watangazaji wake wamekuwa makada halisi wa ccm wenye kusifia hata ukandamizaji , hoja zote zenye tija hazijawahi kupewa nafasi kwenye TV hii .
Kwa tabia hii TBC imepoteza kabisa watazamaji katika nchi hii baada ya wananchi kwa umoja wao kuidharau moja kwa moja , nini kimetokea leo kwa TBC kutangaza mkutano wa Chadema , Je TBC inatafuta umaarufu kupitia mgongo wa Chadema baada ya wananchi kuipuuza ?
Napinga jambo hili na sitakubali Chadema itumike kama ngazi , waendelee kuifagilia ccm sisi tutapita nyumba kwa nyumba .
Naomba kuwasilisha .
Shukrani kwa ushahidi mwananaGrace kingalame mtangazaji wa TBC ni mjumbe wa mkutano mkuu wa UWT, Enock Bwigane ni mwana CCM, alienda kugombea ubunge huko kwao maporini ....almanusra afe kwa ajali, ila akamtoa ndagu dereva wake
Waendelee vile vileBavicha at their best...hypocrysy at its purest level...
Hivi si nyie ndio huwa mnapiga kelele jamaa hawako fair...
Hilo nalo neno!Duh, sijaelewa bado...kwani kubadilika in dhambi?
Fact my @ss F*ckn weirdo .sikuingia jf kufurahisha watu , nilikuja hapa kuweka facts tu , ipo option ya ku ignore usiyemtaka , fanya hivyo haraka maana ni bure tu
mwanachama haiWewe ni nani kwenye chama?
Mpiga deki na mpuliza vuvuzela hapa JF si haba ana kibarua.Wewe ni nani kwenye chama?
mwanachama hai
una akili timamu ?Mamlaka hiyo ya kuchagua TV ya kuturushia matangazo umepewa na nani?
Hujui.....Aliyewaloga baadhi ya waTZ hajazaliwa!.......Sijui.......Mmh! TBC wanatafuta umaarufu siyo!! Binadamu msiyokuwa na soni, sasa hata hiyo Katiba mpya na Tume huru mnazodai nazo si mzitafute nyumba kwa nyumba? Maana msije kutumika kama ngazi......!!!Kwa miaka mingi sana tangu kuondolewa kwa Tido Mhando kwenye uongozi wa TBC , Channel hii imejipambanua bila kificho wala uoga wowote kama channel ya ccm , kwa kuonyesha kila kinachofanywa na ccm hata mambo ya hovyo na yasiyo na tija kwa Taifa hili , imewapuuza wapinzani katika kipindi chote hicho huku ikiwanyima hata nafasi ya kukohoa tu kwenye mic zao , Watangazaji wake wamekuwa makada halisi wa ccm wenye kusifia hata ukandamizaji , hoja zote zenye tija hazijawahi kupewa nafasi kwenye TV hii .
Kwa tabia hii TBC imepoteza kabisa watazamaji katika nchi hii baada ya wananchi kwa umoja wao kuidharau moja kwa moja , nini kimetokea leo kwa TBC kutangaza mkutano wa Chadema , Je TBC inatafuta umaarufu kupitia mgongo wa Chadema baada ya wananchi kuipuuza ?
Napinga jambo hili na sitakubali Chadema itumike kama ngazi , waendelee kuifagilia ccm sisi tutapita nyumba kwa nyumba .
Naomba kuwasilisha .
Wanaruhusiwa hata kutukana on air?Tibisi ni television ya taifa,wanaruhusiwa kufanya jambo lolote......hebu tuache wafanye yale tuliyokuwa tunayalalamikia kuwa hawako fea.