Msimamo wa Polepole: Sitavaa barakoa hata kama nyie wote mnavaa barakoa

Msimamo wa Polepole: Sitavaa barakoa hata kama nyie wote mnavaa barakoa

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Polepole ni muumini mwenzangu wa kutokuvaa barakoa. Amenifurahisha kutunza msimamo wake mbele ya wenyeji wake wote waliovaa barakoa. Safi sana!!

1655408815166.png
 
Ameshachanja anatudanganya, asubirie Bajaj za kwenda weekend Mbeya
Thubutu!! achanje nani? siyo Polepole ninayemfahamu!! Katikati ya watu wote wenye barakoa anadunda kwa uhuru bila barakoa na ana haki na uhuru wote!!
 
Msimamo hadi raha!! Siyo yule akitishiwa kidogo analazimisha watu wote kwenye vikao vyake wavae barakoa!!. Kakuta waarabu hawavai naye anaacha kuvaa!!
 
Hivi unafikiri jitu kama lile jasusi la mbinguni saa ngapi utweza kulifanya likavaa barakoa au kulichanja!
 
Msimamo hadi raha!! Siyo yule akitishiwa kidogo analazimisha watu wote kwenye vikao vyake wavae barakoa!!. Kakuta waarabu hawavai naye anaacha kuvaa!!
Barakoa sio uoga, hata licha ya Covid kuna magonjwa ya kupumuliana kama Homa ya ini au kifua kikuu. Mbona wewe unatumia neti au Condom kwani ni muoga?? Kujikinga sio uoga ni kuwalinda wengine tu ambao unaweza waambukiza magonjwa.
 
Huyu kweli alikuwa mwanafunzi mzuri wa Magufuli, anaweza kufanana nae mpaka kifo.

Nimeona picha akikabidhi hati ya utambulisho kwa Rais wa Malawi, Chakwera, hata Rais mwenyewe hajavaa barakoa.

Hii Corona imebakia kama sababu tu ya kuombea misaada.
 
Back
Top Bottom