mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Polepole ni muumini mwenzangu wa kutokuvaa barakoa. Amenifurahisha kutunza msimamo wake mbele ya wenyeji wake wote waliovaa barakoa. Safi sana!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thubutu!! achanje nani? siyo Polepole ninayemfahamu!! Katikati ya watu wote wenye barakoa anadunda kwa uhuru bila barakoa na ana haki na uhuru wote!!Ameshachanja anatudanganya, asubirie Bajaj za kwenda weekend Mbeya
Labda kwenye ukoo wake tu. Lkn siyo Tanzania.Naniliu ajaye 2030
Kachanja, unadhani uwe balozi unayeweza kukutana na Rais afu hujachanjwa? Huko kwa wenzetu haya mambo yalikua sio voluntary hasa kwa wageni.Thubutu!! achanje nani? siyo Polepole ninayemfahamu!! Katikati ya watu wote wenye barakoa anadunda kwa uhuru bila barakoa na ana haki na uhuru wote!!
Barakoa sio uoga, hata licha ya Covid kuna magonjwa ya kupumuliana kama Homa ya ini au kifua kikuu. Mbona wewe unatumia neti au Condom kwani ni muoga?? Kujikinga sio uoga ni kuwalinda wengine tu ambao unaweza waambukiza magonjwa.Msimamo hadi raha!! Siyo yule akitishiwa kidogo analazimisha watu wote kwenye vikao vyake wavae barakoa!!. Kakuta waarabu hawavai naye anaacha kuvaa!!
Mbona alikua anatumia moyo wa bandia tena umetengenezwa na Beberu!! Kwanini asingeacha uoga na kutegemea moyo wake pekee ujisukume?Hivi unafikiri jitu kama lile jasusi la mbinguni saa ngapi utweza kulifanya likavaa barakoa au kulichanja!
Siwezi kubisha ila pia siwezi kukubaliThubutu!! achanje nani? siyo Polepole ninayemfahamu!! Katikati ya watu wote wenye barakoa anadunda kwa uhuru bila barakoa na ana haki na uhuru wote!!
Mimi ni Kichuguu ! Je nina mapungufu gani kutokana na jina langu hilo? Prove!Ukipewa jina basi linaathiri sana maisha yako. Huwezi mkuta mtu anaitwa TATU akawa wa kwanza hata siku moja.
Sifa za kijinga hizi.Polepole ni muumini mwenzangu wa kutokuvaa barakoa. Amenifurahisha kutunza msimamo wake mbele ya wenywji wake wote waliovaa barakoa. Safi sana!!
View attachment 2263246
Tumeshajifunza hatupeleki washamba na malimbukeni ikulu tenaNaniliu ajaye 2030
Wewe huna ubavu wa kupeleka mtu IkuluTumeshajifunza hatupeleki washamba na malimbukeni ikulu tena
Hata mimi nashangaa balozi anavunja protokali za kidiplomasia. Inaelekea hajui wajibu na kazi za balozi.Tumeshajifunza hatupeleki washamba na malimbukeni ikulu tena
Kuchanja ishu nyingine na kutovaa barakoa mbele ya watu waliovaa tena ukiwakagua na upo kwenye nchi yao ni suala jingine.Ameshachanja anatudanganya, asubirie Bajaj za kwenda weekend Mbeya