Msimamo wa Polepole: Sitavaa barakoa hata kama nyie wote mnavaa barakoa

Msimamo wa Polepole: Sitavaa barakoa hata kama nyie wote mnavaa barakoa

Barakoa sio uoga, hata licha ya Covid kuna magonjwa ya kupumuliana kama Homa ya ini au kifua kikuu. Mbona wewe unatumia neti au Condom kwani ni muoga?? Kujikinga sio uoga ni kuwalinda wengine tu ambao unaweza waambukiza magonjwa.
We tumia kiswahili vizuri sa "kupumuliana" ndo nini khaa!!?

Kwahyo hayo magonjwa mengine yamekuja baada ya covid??

Kujikinga ni uoga hujui?, Unajikinga ili usipate au usiwape wengine

Hapo huoni kilichoogopwa nini??

IQ yako inafanana na wale wanaotafuta utajiri waliopo kwenye #ripotimaalum# huko ITV.
 
Barakoa sio uoga, hata licha ya Covid kuna magonjwa ya kupumuliana kama Homa ya ini au kifua kikuu. Mbona wewe unatumia neti au Condom kwani ni muoga?? Kujikinga sio uoga ni kuwalinda wengine tu ambao unaweza waambukiza magonjwa.
You are talking to the fool minds followers, I pray that they may understand you.
 
We tumia kiswahili vizuri sa "kupumuliana" ndo nini khaa!!?

Kwahyo hayo magonjwa mengine yamekuja baada ya covid??

Kujikinga ni uoga hujui?, Unajikinga ili usipate au usiwape wengine

Hapo huoni kilichoogopwa nini??

IQ yako inafanana na wale wanaotafuta utajiri waliopo kwenye #ripotimaalum# huko ITV.
JPM si ndio alipinga barakoa mbona hamjiulizi kwanini alitumia moyo bandia wa mzungu?? Kwanini asingemtegemea Mungu ama atumie mitishamba??

Au Barakoa ya mzungu ndio feki ila moyo wa plastic ndio sahihi?? Hivi mnajitambua kweli?
 
Hayo magonjwa unayosema yalikuwepo siku zote. Kisha kuvaa kondom na kutumia neti ni uoga unaoletwa na maradhi husika, kama isingekuwa hivyo hizi net na condom zisingetumika.
Ndio nakuuliza mbona msiache kutumia condom au net maana zote zinatoka kwa mabeberu!! Au Barakoa na chanjo ni hatari kuliko ARV za mabeberu??

Kinachofurahisha JPM alitumia moyo wa bandia wa Beberu ila Bado mkamuita mzalendo kwa kupinga chanjo hiyo hiyo ya Beberu
 
Huyu dogo umpende usimpende lakini calibre yake ndio inayomlinda. Vijana kama hawa wanatunzwa kwa kazi za baadae! Ukiona ukiharibu unatupwa hata machakani ujue you are not "one of them".

Huyu usikute hata wakubwa wakisema hawamtaki huko kwenye corridor wanaweka viunzi muacheni! Pamoja na spana zake lakini "hasugui benchi".
He's overrated, Hana consistency kabisa. Issue ya katiba ilikua credibility yake kabisa haiwezekani upinge cheo Cha DC afu ukiteuliwa ukubali kuwa DC. Alisema katiba mpya ni lazima ila baada ya uteuzi akasema sio kipaumbele ni makaratasi tu!!

Mtu kama huyu ni consistent? Bora JPM alikua consistent tokea akiwa waziri mpaka Rais
 
Tumeshajifunza hatupeleki washamba na malimbukeni ikulu tena
Nchi iligeuka ya kijima, eti wakuu wakawa wanaamini ushirikina badala ya science, kiongozi wao baada ya kupigwa nayo karibu wote wakageukia science na kuanza kuvaa barakoa
 
Elimu nchi hii inahitajika zaidi. Mtu anashangilia mtu mwingine kutovaa barakoa. Seriously…
Ni hatari kweli kweli, Lakini haya yalianzishwa mwendazake kipindi kile cha giza
 
Duuh jf Ina watu ..!!kwahiyo yeye anajifunza polepole ikifika 2030 ndo atagundua corona ipo na kuvaa barakoa sio suala la kuwa na msimamo wa kijinga..
Hata madaktari wanavaa barakoa inapobidi? Sio kila jambo la ubishi. Michael Jackson wore barakoa in 1980s people though he was insane, sadly he isnt alive to witness this.

Si mpaka afike 2030 aelewa anaweza give up hata kabla hajafika kama akishika mawili, au umeahau alikataa teuzi? si ali give up. Je online youtube darasa? si akaishia njiani
 
Back
Top Bottom