Msimamo wa Tanzania kuhusu Korona uliotolewa katika kikao cha Umoja wa Afrika AU ni ubabaishaji

Ndivyo wapinzani walivyo siku hizi. Hata hawajui wanongea nini? SGR ni mradi wa muda mfupi wewe Mindi?
 
Una tatizo Miradi kama barabara na reli na umeme haitatui changamoto ya kilimo ya muda mrefu? Ya mazao ya mkulima kupata soko na kutoharibikia mashambani?

Tatizo la kwanza la kilimo Chetu kubwa ilikuwa soko sio maafisa ugani wavaa suti na tai mashambani

Baada ya miundombinu kukamilika nacsoko kupatikana watu waemeanza sasa kilimo cha mashamba makubwa yaani estates sababu miundo mbinu ipo ikiwemo umeme wa kuchakata mazao huko huko vijijini mfano michele kukobolewa na kufungwa vizuri mahindi pia yna sagwa na kuwa packed nk na kusafirishwa kirahisi .maziwa yanachakatwa huko huko vijijini iwe sababu miundombinu ipo

Una tatizo kwenye uelewa
 
hizo tafiti zimeisaidije dunia? NIMRCAF ilivuka mipaka hata kuuzwa nchi zingine?
 
hizo tafiti zimeisaidije dunia? NIMRCAF ilivuka mipaka hata kuuzwa nchi zingine?
Kuwapa chsllenge kuwa we akso van soble our own problems wakitaka waje wachukue solution

Kenya hapo watu wanajifukizs sana na sokoni ndimu malimao nk vinavyotumika kwenye kujifukiza na Tiba Lishe bei juu watu wanatumia
Kuhusu kipimo iliwapa challenge wakarudi maabara tena kutengeneza new version
 
Sikumsikiliza alichokuwa akiongea kwani akili, mawazo na imagination (sic) zangu zilijikita kwenye sura na mishipa yake ya shingo ilivyoshupaa wakati akiongea.
Yale makasha ya Madagascar alisema ndege ya rais haiwezi kuleta dawa ili wewe unywe! Ni sasa na yule aliyesema mtakula nyasi ili tununue ndege ya rais.
 
Upi kushabiki zaidi

Tanzania muda wote inafanya utafika kupitia taasisi zake kama NIMR na COSTECH kwa kuzitaja chache

Pia Vyuo vinafanya utafiti na Wizara ina kitengo cha Tiba asili kwaajili ya utafiti


Ilan ya sasa imeweka mkazo wa kipekee kwenye Tiba mbadala
 
nchi nyingi wanaweza kusolve their problem. hiyo ni relative case.
hayo malimao sijui kujifukiza.. hizo ni preventives methods tu..
what about cure? tume invest kiasi gani kwenye science mpaka sasa kuja nndawa ya kuaminika?

wataalam wetu tuliowasomesha hadi nchi za nje wanafanya nini?

kenya hawana tofauti na sisi. Nazungumzia Dawa ivuke mipaka kwenda mabara mengine.
hiyo NIMECAF imefika wapi?
 
Achana naye ni chitumbavu
 
We unadhani aliye leta ujinga huu hiyo Ilani anaijua basi!

Yuko kama Lisu aliyekuja Tanzania kavaa Barakoa badae akaivua maana alishangaa kabisa kuona kweli kumbe alikuwa mwenda wazimu.
 
Pia Vyuo vinafanya utafiti na Wizara ina kitengo cha Tiba asili kwaajili ya utafiti
Unanikumbusha kituo cha tiba cha Loliondo. Kwa mbali nakumbuka kikombe cha Babu!.


Je yupo mwenye hakika kama hawa wateka wa Babu walipona kweli?​
 
We are becoming a world skunk.
 
Unanikumbusha kituo cha tiba cha Loliondo. Kwa mbali nakumbuka kikombe cha Babu!.

View attachment 1696446
Je yupo mwenye hakika kama hawa wateka wa Babu walipona kweli?​
Huyo Magufuli alikinywa kikombe cha babu hakukidharau yuko mzima wa afya na ni Raisi wewe ambaye hukukinywa mbona uko choka mbaya tu maisha umepigika
 
Kabudi ni mchekeshaji wa mfalme
Kati ya maprofesa wa hovyo kabisa, wanafiki, wanaopenda kujipendekeza kwaajili ya matumbo yao, huyo ni wa kwanza.

Akiwa huko Chato aliwahi kutamka kuwa Tanzania inatamani Chato uwe kama jiji la Wuhan huko China. Huyu mwehu Tanzania inayoiongelea ni hilo tumbo oake au kuna Tanzania nyingine?
 
Huelewi kitu, barabara unaweza kuanza kujenga leo, na mwakani watu wakaiona barabara. Tafiti za kutatua changamoto mbalimbali zinazohusiana tafiti za kisayansi kuchukua miaka mingi. Kwanza unatakuwa uanze na building capacity, ambayo huhusisha kusomesha watu katika nyanja mbalimbali za utafiti wa kisayansi, kabla hujafikia ujenzi wa miundombinu ya kutumika katika utafiti.

Tafiti za kama chanjo ya ndui, zilichukua zaidi ya miaka 30. Magu hana patience na intelligence inayoweza kusaidia research institutions kumea, kustawi na kuimarika. Tafiti hula matrilioni ya pesa bila kuona matokea.

Mwalimu Nyerere alijua umuhimu wa research institutions mbalimbali. Ndiyo maana alisomesha wataalam mbalimbali nje ya nchi na kisha akajenga institutions za utafiti mbalimbali.

Hakuna awamu hata moja, ikiwa pamoja na hii ya Magufuli, iliyowahii kuanzisha research institution hata 1.
 
Tumekuwa Nchi ya MAJUHA ndani ya miaka mitano tu sijui akikaa hiyo miaka 10 hali itakuwaje.
Magufulification ni Juhalisation, Jingishaization, masikinisation, Pumbafusization, Ukatilism, mauajism, utekajism, na vitu vya aina hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…