Paul Makonda
Member
- Jul 8, 2011
- 97
- 186
- Thread starter
-
- #21
Nadhani sijakuelewa sawasawa nini nakimaanisha katika post yako hii.Kunya anye kuku akinya bata, kahara, sasa matamko uliyotoa hivi karibuni ukimshambulia mtu ambaye unaweza kuzama kabisa katika viatu vyake na bado akavivaa na isionekane kama umo ndani yake na akaendelea na safari zake ulikuwa unaongea au unaropoka?
,
hoja yako nimeipokea ingawa haijazingatia vigezo vingi katika ufikishaji wake, lakini ni hoja na nimeizingatia.makonda mimi nashauri posho ya laki3 yenyewe ni kubwa mno, hoteli ya southern sun iliyoko city cetre dar es salaam ni kuwa ina vyumba mpaka dola 55,apo breakfast bure , arusha naura spring hotel bei sh dola 90, je maisha ya dodoma ni ghali zaidi ya miji hii?je mnatafuta hela ya kuponda maisha? binafsi sitarajii kupata katiba bora kwa ufisadi wenu wa bunge ili...nasubiri tu muilete tuipigie kura ya kuikataa then tuendelee na ile yenye viraka.
Mwl na sekretari mnakula mshahara wake kwa siku,yeye anacheza na chaki mwezi mzima.,kweli jaman? hii katiba ni ya matajiri tu sisi maskini kuna siku tutaunda ya kwetu....cha ajabu aliyewachagua amesema wale walioajiriwa taasisi zao ziendelee kuwajali, je sheria za nchi yenu zinaruhusu double salary????
Yaani mimi najikunja mwezi mzima then nalipa PAYE ela iyo inachukuliwa anapewa Paul Makonda na Hamis Mgeja kwa ujira wa siku moja!!! Nadhani kama nyie kweli ni wazarendo ,tafadhari pendekeza iyo posho ipunguzwe walau iwe laki moja mpaka laki na sitini, tofauti nauko sisi tutawaona watunga katiba wote ni wezi tu!
kijana haujui unachokizungumza..,ni bora ungekaa kimya tu.
Kunya anye kuku akinya bata, kahara, sasa matamko uliyotoa hivi karibuni ukimshambulia mtu ambaye unaweza kuzama kabisa katika viatu vyake na bado akavivaa na isionekane kama umo ndani yake na akaendelea na safari zake ulikuwa unaongea au unaropoka?
,
Kijana ni vyema ungekaa kimya kuliko kuja hapa JF na andiko lako hili jepesi.
Ni nani asiyejua kuwa mmetumia nguvu nyingi kuzipata hizo nafasi za ujumbe kwa matarajio ya kuneemeka?, ila sasa imekuwa tofauti kabisa na matarajio yenu.
Sasa hivi ndivyo itakavyo kuwa, utaki laki 3 kama posho, basi funga virago uende zako. Hiyo kamati iliyoundwa itakuja na mapendekezo haya haya. Hakuna nyongeza ya posho hapa.
By the way; kama Lowassa angekuwa rais hata huu mzozo usingekuwepo, zamani angeshatolea maamuzi kuwa posho HAIONGEZWI. Period.
Kijana ni vyema ungekaa kimya kuliko kuja hapa JF na andiko lako hili jepesi.
Ni nani asiyejua kuwa mmetumia nguvu nyingi kuzipata hizo nafasi za ujumbe kwa matarajio ya kuneemeka?, ila sasa imekuwa tofauti kabisa na matarajio yenu.
Sasa hivi ndivyo itakavyo kuwa, utaki laki 3 kama posho, basi funga virago uende zako. Hiyo kamati iliyoundwa itakuja na mapendekezo haya haya. Hakuna nyongeza ya posho hapa.
By the way; kama Lowassa angekuwa rais hata huu mzozo usingekuwepo, zamani angeshatolea maamuzi kuwa posho HAIONGEZWI. Period.
Huko nyuma niliwahi kutoa maelezo kuwa kazi tuliyopewa ni ya watanzania na inahitaji muafaka wa kitaifa ili tupate Katiba itakayokidhi mahitaji na matarajio ya watanzania,Katiba bora itakayojali haki na usawa kwa ustawi wa Taifa letu kwa zaidi ya miaka 50 ijayo.
Kuna baadhi ya watu wameanza kujivika uwakala wa kuwa wasemaji wangu, tena kwa nia ya kutaka kuniondoa katika ajenda hii ya msingi kwa maslahi ya watanzania. Nimekuwa nikipigiwa simu na kupokea meseji kuhoji juu ya taarifa zinazosambazwa kwenye mitandao kuwa ninadai ongezeko la POSHO. Naomba ieleweke kwamba sijazungumza na chombo chochote cha habari wala kuandika kwenye mitandao ya kijamii kuhusu suala la posho. Taarifa zilizosambazwa kuhusu mimi sio sahihi.
Najitambua na natambua wajibu wangu kwa taifa na kwa watanzania wote katika mchakato huu. Natambua hali ya maisha ya watanzania na natambua matarajio yao kwetu, sijateuliwa kuwa mjumbe ili nipate maslahi binafsi ya kiuchumi bali kushiriki katika kuamua mustakabali wa Tanzania tunayotaka kuijenga. Hatuwezi kuwa na azma ya kupunguza pengo kati ya walionacho na wasionacho, huku tukiendelea kudai maslahi makubwa zaidi kwa WABUNGE na wawakilishi na kusahau maslahi ya wanyonge walio wengi.
Nawaomba vijana wenzangu na wale wote wanaosambaza taarifa hizo, badala ya kutumia muda mwingi kuandaa majungu na fitina, tumieni muda vizuri kutushauri mambo ambayo sote kwa pamoja tunadhani yatasaidia kuliendeleza Taifa letu kiuchumi, kisiasa na kijamii.
Mchango wangu ambao nimewahi kuchangia bungeni ni huu.
Sakata la posho kwa wajumbe wa bunge la katiba laundiwa kamati. - YouTube
Duh,mkuu leo upo pamoja na wapenda haki..!? Salute kwako mkuu..!
hoja yako nimeipokea ingawa haijazingatia vigezo vingi katika ufikishaji wake, lakini ni hoja na nimeizingatia.
Mbona kila mtu anajifanya hajadai ongezeko la posh? Hata asubuhi Star Tv nimewaona Mnyika na Kigwangala akiruka kuhusu madai ya posho, sasa hiyo kamati imeundwa ya nini?
kijana haujui unachokizungumza..,ni bora ungekaa kimya tu.
hoja yako nimeipokea ingawa haijazingatia vigezo vingi katika ufikishaji wake, lakini ni hoja na nimeizingatia.
Kwa mara ya kwanza nimeilike post yako!!!Kijana ni vyema ungekaa kimya kuliko kuja hapa JF na andiko lako hili jepesi.
Ni nani asiyejua kuwa mmetumia nguvu nyingi kuzipata hizo nafasi za ujumbe kwa matarajio ya kuneemeka?, ila sasa imekuwa tofauti kabisa na matarajio yenu.
Sasa hivi ndivyo itakavyo kuwa, utaki laki 3 kama posho, basi funga virago uende zako. Hiyo kamati iliyoundwa itakuja na mapendekezo haya haya. Hakuna nyongeza ya posho hapa.
By the way; kama Lowassa angekuwa rais hata huu mzozo usingekuwepo, zamani angeshatolea maamuzi kuwa posho HAIONGEZWI. Period.
na ikipitiswa wanaigonga....ah aha ah hao ndo wanasiasa wetu mkuu
hoja yako nimeipokea ingawa haijazingatia vigezo vingi katika ufikishaji wake, lakini ni hoja na nimeizingatia.
Ahsante, tz inaangamizwa na wanafiki. Heading yake haiwiani na na hzo ndarandira alizoandika, otherwise anataka kutuambia kuwa ndio uzao wa shule zetu za kata. Thenk yu sana!....punguza porojo na ujielekeze kwenye hoja ya msingi,uko upande gani? (a).upande wa wanaotaka posho iongezwe (b).wanaopinga posho kuongezwa...