Msimamo wangu kuhusu Ongezeko la Posho kwa wabunge wa Bunge Maalum la Katiba - Makonda

Its welcome news, wengine tulishaanza kurusha madongo tukijiuliza huyu Paul makonda ndiye, au siye?
Tunashukuru kwa ufafanuzi.
 
mbona mnaandika na kujijibu wenye makonda anatafuta cheap pop. kwa kick ya posho
 
Mi naona kunavijana wameenda kuleta comedy ndani ya Bunge, hawajui wajibu wa kilichowapeleka pale zaidi ya kutafta kick za kisiasa!
 
Huyu bwana amezoea kuhongwa na akina membe sasa anataka leta njaa zake huku kwenye umma kaumbuka sasa anakanusha..jambazi mkubwa huyu
 
Bora umewaeleza mwenyewe,kuna mtu anaitwa mussa Abdallah aliandika hiyo habari katika facebook nikamjibu kama ifuatavyo:najua paul makonda hawezi kusema hataki posho ya laki tatu(300,000/=),mleta mada najua ni mfuasi wa ....... ambaye makonda ameeleza ukweli wa utumbo anaoufanya. yeye akanijibu kwa kuniambia napiga ramli,nikamjibu tena:sijui ramli ni nini ila nimesema makonda hawezi kukataa posho hiyo,kama hiyo ni kupiga ramli basi sawa. napenda uhalisia zaidi ya ushabiki@Mussa Abdallah

RAI yangu: Fanya kazi kama unavyofanya.
 

Chukua LIKE ya simu kiroho safi kabisa.
 
Pmakonda,
Hii post yako iko shallow sana, hujawa muwazi kana kwamba upo kambi ya fulani, hutaki kuwa muwazi zaidi kwakuwa unaweza kuwa kambi nyingine vile vile. Kuparaganyia kwa chama chako kunakunyima fursa ya kuwa huru
 
Last edited by a moderator:
Cheap politics,,, msimamo hapo ni nini? ? Unatafuta attention ya watu,,, kwan wew utakuwaje tofauti na wenzako? ??kama kwel ulikuwa na nia nzuri na hutaki posho kwa nini uanze kuzungumzia posho kabla ya Rasimu? ??

Uko hapo for posho,,, full stop!
 

Makonda nenda taratibu,,umechelewa kukanusha ulikua unasoma upepo hakuna atakae kuamini,,Rais atawaumiza wanyonge akikubali matakwa haya ya mbweha wasio na huruma kwa taifa,umemuangusha hata aliyekuamini na kukuteua,,,inashikitisha eti mada kuu kutaka posho,upumbavu huu hauvumiliki,wabunge wote mnaotaka kuongezewa posho peweni na mama zenu sio pesa za walipa kodi,msitake kumchonganisha Kikwete na umma,,manina
 
Ni yule wa ccj?
Mkuu unarudisha mapigo kutaka kumsaidia mzee mzima aliyeanza safari ya matumaini ya ndoto zake kutokana na sucker punch ya huyu kijana week chache zilizopita!.

Inavyoonekana mpaka tufike kwenye chaguzi za kitaifa mtakuwa mmeisha toana macho kwa sababu ya uongozi ambao pia hamfahamu kama wananchi watawapa ridhaa ya uongozi kitaifa.


Mtu unapotumia nguvu nyingi katika promotions lazima kuna malipo mazuri kwa sababu ukubwa wa investment unaendana na mtaji wake.

Kwa sasa makundi na uhasama umepelekwa mpaka kwenye Bunge la Katiba. Now things are getting serious!.

Huyu Makonda naye anakuja na andiko la kudonoa donoa kama wanasiasa wengine bila hata kusema msimamo wake halisi.

Wanasiasa wetu ni majanga tupu.

Mantiki inaniambia ukimuona mwanasiasa ameacha wazi katika maneno au maandishi yake upande wa hili sakata la posho, basi kuna uwezekano mkubwa anapenda posho ziongezwe.
 
Kuna mgombea mmoja ambae Makonda ni swshiba wake huyu ni Sitta,juzi anaomba kuungwa mkono ktika uenyekiti akiwaahidi wajumbe. Kuwa atapandisha posho hadi laki saba Makonda jitokeze ubishe nikupe za uso,nawewe kwa kuwa unatumikia tumbo ukawa unamuunga mkono...wote tuko dodoma hapa kawadanganye wajinga,..juzi kwa macho yangu nikiwa na waandishi wenzangu nimemsikia baba yako sitta akijigamba kupandisha posho,mnachoangalia ni maslahi yenu ya kisiasa hata kama taifa litaumia,mmesoma upepo mmeguguka hatutaki huu ushenzi.msimchonganishe Rais na wananchi manina kabisa.

mwalimu analipwa laki tatu kwa mwezi.anawstoto na anaishije,Udom watoto wetu wanapata 7500 manina.

Jana nimepita hotel zote nzuri 30000 unalala chumba cha heshima pumbafu zenu,ifike wakati tuwaheshimu wananchi
 

Mimi nilikuwa Dodoma kikazi hivi karibuni nilikuwa nalala hoteli moja nzuri self contained na huduma za kifungua kinywa kwa Sh. 15,000/= Hivyo hawa wajumbe hata wakikaa kwenye hoteli za 30,000/- inatosha waache tamaa. Kwa mahesabu rahisi kwa mtu asiyependa anasa kwa siku anaweza kutumia kati ya Sh. 45,000/= hadi 60,000/= kwa siku ikiwa ni pamoja na kulipia chumba. Kwa maana hiyo kwa wastani mjumbe anaweza kuwa anabaki na kati ya 230,000/= na 250,000/= kama net profit! Bado haziwatoshi? Mimi naona wote wanaopinga 300,000/= ni hayawani washindwe, walegee na wanyong'onyee kabisa. Lakini linalonishangaza mimi ni kuwa huko kwenye bunge la katiba kuna viongozi wa dini pia. Mbona hatuwasikii kututetea sisi wanakondooo wao? Au nao wanaona ni ndogo?
 
Kibaraka mkubwa wa riz huyu dogo, kati ya janga katika taifa ni huyu jamaa, alipoteuliwa tu juzi nilikuwa nae mlimani city hapo hapo akaongea na sita then sita akamuelekeza showroom ile ya karibu na shoperz kwenda kuchukua gari ya mkopo kwa makubaliano kuwa atakuwa analipa kila wiki kumbe ni ela za posho, pumba.........f kabisa
 

Yani we kiazi kweli haki ya Mungu!!!
Umeenda bungeni hujui hata ni rasimu ipi inaenda kujadiliwa?!
Bora usingeweka huo utumbo ulioongea kwenye youtube...
 
We makonda mnafiki mkubwa unazipenda saaana unajishaua tu hapa.
Ccj inaendeleaje?
 
Du!bora ungekaa kimya mkuu makondeko!nani asiejua jinsi makada wa CCM walivyo vigeugeu?
 
Upuuzi wako uliozoea kuandika kwenye Uhuru na Startv leo umeuleta huku kwenye great thinkers,kijana mdogo unakuwa na siasa za kizee hivi ni aibu,JF sio hadhi yako tafuta pa kwenda kuandika huu ----- wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…