Msimamo wangu kuhusu Ongezeko la Posho kwa wabunge wa Bunge Maalum la Katiba - Makonda


Hapa ndio umeandika nini sasa? Jikite kwenye point, acha Siasa Uchwara!
 
Kijana umejitahidi kupata ulichokua unakitafuta "umaarufu" kwani sikua nafahamu kama kuna mtu anaeitwa Paul Makonda dunia hii..sasa natambua
 
Achen kuwakandamiza wavuja jasho fanyen kilichowapeleka au ndio kusema mmepata ulaji huko na ndio maana kila kukicha kila mtu analalamika ooh mm nilipeleka jina langu kama mwakilishi fulan lkn halijatoka kuna hujuma. ..labda mtuambia mnawakilisha nn...kujaza matumbo? Au kero za wananchi..pigen kaz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…