Msimamo wangu kwa wasaliti wa nchi na mafisadi, dawa ni lisasi tu, hakuna cha Bwana Yesu asifiwe au mswalie mtume, hii iwe kikatiba

Msimamo wangu kwa wasaliti wa nchi na mafisadi, dawa ni lisasi tu, hakuna cha Bwana Yesu asifiwe au mswalie mtume, hii iwe kikatiba

Bulelaa

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2024
Posts
1,342
Reaction score
3,247
Unaposaliti nchi yako, madhumuni yako ni mabaya sana moyoni mwako

Maana yake upo tayari hata Rais wa nchi atekwe kwa sababu ya tamaa yako?

Mtu wa namna hii, ni kivipi aiishi?

2025, kataa ccm, okoa uhai wa rasilimali za nchi na watu wake.
 
Unaposaliti nchi yako, madhumuni yako ni mabaya sana moyoni mwako

Maana yake upo tayari hata Rais wa nchi atekwe kwa sababu ya tamaa yako?

Mtu wa namna hii, ni kivipi aiishi?

2025, kataa ccm, okoa uhai wa rasilimali za nchi na watu wake.
Umefungua mlango kwa mpinzani wako wa kisiasa kukuita wewe msaliti kwa kesi za nchongo na kukupiga risasi.

Utafurahia hiyo risasi?
 
Kusaliti ni kupi? Nachojua sisi watanzania tunasalitiwa na tunaendelea kusalitiwa na serekali yetu. Swala la katiba mpya. Huu ni usaliti kwa wananchi.
Uzaji wa bandari. Huu nao ni usaliti.
Uhamishaji huko ngorongoro huu nao ni usaliti.
Serekali ndio msaliti kwa wananchi wake.
 
Unaposaliti nchi yako, madhumuni yako ni mabaya sana moyoni mwako

Maana yake upo tayari hata Rais wa nchi atekwe kwa sababu ya tamaa yako?

Mtu wa namna hii, ni kivipi aiishi?

2025, kataa ccm, okoa uhai wa rasilimali za nchi na watu wake.
Lisasi
 
Unaposaliti nchi yako, madhumuni yako ni mabaya sana moyoni mwako

Maana yake upo tayari hata Rais wa nchi atekwe kwa sababu ya tamaa yako?

Mtu wa namna hii, ni kivipi aiishi?

2025, kataa ccm, okoa uhai wa rasilimali za nchi na watu wake.
Upigwe risasi wewe katika jina la Yesu unayemdhihaki.
Maisha ni mtazamo wa kila mmoja hapa duniani. Tungekuwa na mtazamo unaofanana, leo hii usingekuwa umevaa nguo. Kuwa na mitazamo tofauti ndiyo hufanya dunia kuwa sehemu salama kwa binadamu kuishi na dunia waliumbiwa binadamu kuikalia na siyo wanyama. Mmalaka yasikufanye uwaze kipumbavu na kudhani utashinda milele.
"No one win forever"
 
Unaposaliti nchi yako, madhumuni yako ni mabaya sana moyoni mwako

Maana yake upo tayari hata Rais wa nchi atekwe kwa sababu ya tamaa yako?

Mtu wa namna hii, ni kivipi aiishi?

2025, kataa ccm, okoa uhai wa rasilimali za nchi na watu wake.
Na iwe juu yako.. kuna mateso yanakuja mbele yako.
 
Unaposaliti nchi yako, madhumuni yako ni mabaya sana moyoni mwako

Maana yake upo tayari hata Rais wa nchi atekwe kwa sababu ya tamaa yako?

Mtu wa namna hii, ni kivipi aiishi?

2025, kataa ccm, okoa uhai wa rasilimali za nchi na watu wake.
Ccm hawatakubali kama hata wasiojulikana wanalindwa kwa nguvu kubwa sana.
 
Unaposaliti nchi yako, madhumuni yako ni mabaya sana moyoni mwako

Maana yake upo tayari hata Rais wa nchi atekwe kwa sababu ya tamaa yako?

Mtu wa namna hii, ni kivipi aiishi?

2025, kataa ccm, okoa uhai wa rasilimali za nchi na watu wake.
Kwa hiyo ccm wote wenye serikali waanze kuwindwa kama digidigi na wachapwe risasi kikatiba (na wenye nchi wanachi) kama Jerry Rawlings wa Ghana alivyo wafanyia si ndio au ? Naiona Hasira yako kwa watawala, siku ikitokea waakanza kuchapwa risasi, haki ya nani siku hiyo utakula mtoli wa nguvu....
 
Unaposaliti nchi yako, madhumuni yako ni mabaya sana moyoni mwako

Maana yake upo tayari hata Rais wa nchi atekwe kwa sababu ya tamaa yako?

Mtu wa namna hii, ni kivipi aiishi?

2025, kataa ccm, okoa uhai wa rasilimali za nchi na watu wake.
Anza, na yule mpangaji wa magogoni, chamwino,harafu afate bepari wa msoga
 
Lisasi ndio nini wewe mwehu shoga mkubwa?
Risasi yenyewe imetengenezwa na watu wenye akili timamu wanaojali haki, sheria na utu.
Wewe hata kiswahili hujui mbwa maskini takataka.
Njaa zitakuua
 
Ndiyo maana picha Yako haieleweki huyu ni mtu au shetani
 
Back
Top Bottom