Kabisa! Kwa sababu wapo watakaokuelewa na wasiokuelewa hawatakosekana ! Thinking capacity siku zote haziko sawasawa baina ya watu na watu it’s normal in life !!Ndio maana serikali duniani uwa zikishatoa elimu, asietaka kuelewa awamsubiri atawakuta wenzake mbele ya safari.
Wewe ndiyo unaleta vitu vya kichwani mwako.Mmeshaambiwa zaidi ya mara mia hakuna mkataba wa kibiashara bado na ndio utakaopanga muda, lakini amtaki kusikia.
IGA ni mkataba wa mualiko kuja kuwekeza Tanzania na unao orodhesha taratibu kadhaa za kutengeneza mikataba ya kibiashara (framework).
Sasa nyie amtaki kuelewa.
Mkataba wa kibiashara lazima uwe na thamani ya kitu mnachobadilishana (consideration), lisipokuwepo hilo; hayo ni makubaliano tu mbele mahakama yoyote lakini sio mkataba wa kibiashara.
Mmeambiwa muda wa mkataba atakaopewa kuendesha bandari unategemea na thamani ya uwekezaji utakaofanywa.
Makubaliano yenyewe msingi wake ni muda wa kurudisha hela ya uwekezaji watakayo toa, kidogo kidogo kulinga na mapato ya maeneo watakayo pewa. Hayo mambo mawili ndio yatakayo amua miaka ya wao kuendesha hiyo bandari mpaka hela yao irudi.
Hayo yatapangwa watakapokutana kujadili mikataba ya concession. Hiyo IGA yenyewe inakwambia huko bado awajifika, serikali inakwambia huko bado awajifikia amtaki kuelewa. Ninyi mmekazana na vitu tu kutoka vichwani kwenu ata mueleweshwe vipi amtaki kusikia.
Dah kazi kweli kweli
Tatizo kiongozi hujaelewa asietakiwa ni muarabu na sio mkataba na tena hawamtaki muarabu kwa maslah yao na sio ya taifaShida ni kwamba watu wametumia muda mwingi kuwaelezea sana maana ya hiyo IGA.
Mfano mkurugenzi wa sheria kutoka wizara ya uchukuzi amedadavua karibu kila kitu hapo kwa lugha nyepesi, ila watu bado tu; awataki kuelewa somo.
Hakuna mtu yeyote anayeweza kudadavua ujambazi halafu ugeuke kuwa ni wema.Shida ni kwamba watu wametumia muda mwingi kuwaelezea sana maana ya hiyo IGA.
Mfano mkurugenzi wa sheria kutoka wizara ya uchukuzi amedadavua karibu kila kitu hapo kwa lugha nyepesi, ila watu bado tu; awataki kuelewa somo.
Na ata sababu pia zinaweza kuwepo za kutotaka kuelewa. Watu ambao maslahi yao yataguswa awawezi kuona bandari mtu atazuia ulaji wao.Kabisa! Kwa sababu wapo watakaokuelewa na wasiokuelewa hawatakosekana ! Thinking capacity siku zote haziko sawasawa baina ya watu na watu it’s normal in life !!
Mbona kwenye kila pesa zikitolewa anatajwa yeye tu utasikia hizi pesa zimetolewa na mama Dr, hospitali ikijengwa utasikia hizi pesa zimetolewa na Dr( utadhani hizo unazitoa za kwakwe wakati ni kodi yetu) kama amekubali kusifiwa kwa mazuri yote basi na akubali kulaumiwa kwa mabaya yoote, yeye ndie kashika mpini hao wengine sisi hatuwajui!Ndugu zangu mengi yameibuka tangu kusainiwa kwa mkataba wa DP World. Hii nchi haiongozwi na kiongozi mmoja. Kuna idadi kubwa sana ya viongozi kuanzia wastaafu na waliopo madarakani.
Uamuzi wa kuwakabidhi DP World hakuufanya mwenyewe, aidha alishinikizwa ama lah. Tunaweza kumnyooshea kidole kumbe wapo waliomsababishia hilo tatizo.
Nashauri badala ya kumtuhumu tumtafute na kushauriana naye pengine tutaweza kumsaidia kuondokana na kipindi hiki kigumu.
Sasa hapo ndio umeandika nini zaidi ya kupinga tu bila ya sababu za msingi.Hakuna mtu yeyote anayeweza kudadavua ujambazi halafu ugeuke kuwa ni wema.
Watu wengi wanaelewa ni nini kilichomo kwenye mkataba. Hatuhitaji ufafanuzi. Ufafanuzi wa nini kwenye kitu kinachoeleweka na kilicho wazi?
Wewe na Prof. Shivji nani ana akili kujua mikataba, Toka hapa unatupigia kelele tu.Mmeshaambiwa zaidi ya mara mia hakuna mkataba wa kibiashara bado na ndio utakaopanga muda, lakini amtaki kusikia.
IGA ni mkataba wa mualiko kuja kuwekeza Tanzania na unao orodhesha taratibu kadhaa za kutengeneza mikataba ya kibiashara (framework).
Sasa nyie amtaki kuelewa.
Mkataba wa kibiashara lazima uwe na thamani ya kitu mnachobadilishana (consideration), lisipokuwepo hilo; hayo ni makubaliano tu mbele mahakama yoyote lakini sio mkataba wa kibiashara.
Mmeambiwa muda wa mkataba atakaopewa kuendesha bandari unategemea na thamani ya uwekezaji utakaofanywa.
Makubaliano yenyewe msingi wake ni muda wa kurudisha hela ya uwekezaji watakayo toa, kidogo kidogo kulinga na mapato ya maeneo watakayo pewa. Hayo mambo mawili ndio yatakayo amua miaka ya wao kuendesha hiyo bandari mpaka hela yao irudi.
Hayo yatapangwa watakapokutana kujadili mikataba ya concession. Hiyo IGA yenyewe inakwambia huko bado awajifika, serikali inakwambia huko bado awajifikia amtaki kuelewa. Ninyi mmekazana na vitu tu kutoka vichwani kwenu ata mueleweshwe vipi amtaki kusikia.
Dah kazi kweli kweli
Wamepigwa upo na kiburi cha mamlaka ili washuhudie maanguko yao.TLS, Shivji, Slaa, Lipumba, Lissu wote ni mbumbu kiasi cha kutokumuelewa Mkurugenzi huyo wa Sheria? Hauoni kuwa yeye ndie asiyekuwa na uelewa ( au anafanya makusudi) ndio maana maelezo yake hayana mashiko.
Mara IGA sio Mkataba ni Makubaliano kwa vile inaitwa Agreement. Lakini mkatu assure kuwa tutakapoingia mikataba inayoitwa HGA ( ambayo nayo ni agreements) mambo yote yatakuwa mazuri bila kutueleza kwa nini Agreement inayoitwa HGA ni Mkataba na imayoitwa IGA sio Mkataba. Mlipoona hamna logic, ndio mnakuja na hii Invitation to Treat! Inasikitisha kwa kweli unapoona Fundi Mchundo anaelewa mambo ya mkataba kuliko Learned Person.
Hiki kitu IGA ni flawed. The sooner we address the flaws, the better for all of us.
Amandla....
Unatakiwa unikosoe kwa kanuni za sheria za mikataba na useme Shivji yupo sahihi kwa kanuni hizo hizo.Wewe na Prof. Shivji nani ana akili kujua mikataba, Toka hapa unatupigia kelele tu.
Ungetaja hivyo vifungu vinavyosema ivyo ili twende sawa.Wewe ndiyo unaleta vitu vya kichwani mwako.
Wenzio wanaongelea mambo ambayo yapo kwenye mkataba mama, wewe unaongelea hisia. Mkataba mama umekwishatamka kuwa mwisho wa mkataba ni pale ambapo mikataba midogo.midogo yote itakapoisha.
Na mkataba mama umekwishatamka kuwa hatutaruhusiwa kuwakaribisha wawekezaji wengine kwenye sekta ya bandari wakati IGA ikiwa hai. Unaelewa maana yake?
Maana yake ni kwamba, hata kama HGA ya Dar port ikawa imeisha muda wake, lakini mwaka huo inapoisha, kuna HGA nyingine bado ina miaka 5 kwisha, IGA itakuwa bado inafanya. Na IGA ina kipengere kinachokuzuia kualika wawekezaji wengine kuwekeza kwenye sekta ya bandari. Yaani mkataba wa HGA na hao DP umeisha, lakini bado unaendelea kulazimika kutii masharti ya IGA kwa sababu kuna miradi ambayo HGA zake bado zinaishi.
Ni mkataba wa kishenzi, wa kijinga na wa hovyo kupindukia.
Sahihi kabisa !!Na ata sababu pia zinaweza kuwepo za kutotaka kuelewa. Watu ambao maslahi yao yataguswa awawezi kuona bandari mtu atazuia ulaji wao.
Kiongozi haongozwi bali anaongoza. Ata kama kuna mashauriano, mwisho wa siku lazima aongoze kwa kuchukua maamuzi. Kabla ya kuchukua maamuzi lazima apime kila jambo aliloshauriwa na kuamua. Vinginevyo atakuwa si kiongozi anayejua anachotakiwa kufanyaNdugu zangu mengi yameibuka tangu kusainiwa kwa mkataba wa DP World. Hii nchi haiongozwi na kiongozi mmoja. Kuna idadi kubwa sana ya viongozi kuanzia wastaafu na waliopo madarakani.
Uamuzi wa kuwakabidhi DP World hakuufanya mwenyewe, aidha alishinikizwa ama lah. Tunaweza kumnyooshea kidole kumbe wapo waliomsababishia hilo tatizo.
Nashauri badala ya kumtuhumu tumtafute na kushauriana naye pengine tutaweza kumsaidia kuondokana na kipindi hiki kigumu.
Loh! 'Eti wataalam wa Serikali wakiwaeleza'. Serikali hii inayoshindwa kuendesha hata biashara ya genge la nyanya, eti ina wataalam wa kuwaelekeza watu.Nadhani umeshawai kukutana na hii phrase before ‘a contract is an agreement, but not all agreements are contracts’.
Kwanini, hapo mkataba unaozungumziwa ni commercial agreement. Ili uitwe commercial agreement (contract, kuna test zake na ya msingi ni consideration). Ambayo kwenye hiyo IGA aipo.
View attachment 2678450
Hiyo article kwanza kabisa aizungumzii IGA per se, inachozungumzia ni HGA and project activities/agreements. Kwamba wakisha ingia hiyo mikataba (commercial agreements) huko mbele ndio aiwezi vunjwa kiholela.
Kwa hivyo hiyo framework ya IGA itatumika mpaka taratibu za kuisha kwa hayo makubaliano watakayoingia kwenye commercial agreement. Kwanini hiko kipengele kimewekwa kwasababu ndani ya IGA article 20 imeelezea namna ya kutatua dispute resolution.
Sasa basi mkataba wa kibiashara (hizo agreements) watakazo ingia baadae una implied terms kadhaa ambazo ata usipoziweka kwenye hiyo mikataba zinatumika mahakamani; laws za nchi husika, precedence’s (case laws) and industry customs.
Hiyo IGA imepitishwa na bunge ni sheria (moja kwa moja inakuwa implied term) ata mambo yake usipoweka kwenye mikataba ya baadae wanasisitiza hiyo sheria itatumika mpaka commercial agreements zote zitakapoisha.
Na hakuna commercial agreement inakufa kishamba ata mzazi akipangisha nyumba akifa kesho, watoto awawezi kwenda kuwatoa wapangaji kiholela kabla ya muda wa mkataba kuisha ndio kinachoongelewa hapo kwenye 23 (4) sentensi ya kwanza. Na ya pili inakwambia ukitaka kufanya mabadiliko yoyote lazima ufuate taratibu walizojiwekea article 20.
Shida yenu ata abc ya contract law amna, wataalamu wa serikali wakiwaelezea amtaki mmekazana tu. Mnasoma vitu amuelewi their legal meaning nyie mnatoa tafsiri kutoka vichwani kwenu.
Na hiyo ndio point yenye nguvu !!Tatizo kiongozi hujaelewa asietakiwa ni muarabu na sio mkataba na tena hawamtaki muarabu kwa maslah yao na sio ya taifa
Duh !Loh! 'Eti wataalam wa Serikali wakiwaeleza'. Serikali hii inayoshindwa kuendesha hata biashara ya genge la nyanya, eti ina wataalam wa kuwaelekeza watu.
Kwa Tanzamia, wataalam wapo kwenye sekta binafsi, siyo serikalini. Ndiyo maana baadhi ya multinational companies, ukiomba kazi halafu ukasema unafanya kazi Serikalini, inakuwa ni disqualification.
Ndio maana akatafutwa mwekezaji aende kuongeza ufanisi port.Loh! 'Eti wataalam wa Serikali wakiwaeleza'. Serikali hii inayoshindwa kuendesha hata biashara ya genge la nyanya, eti ina wataalam wa kuwaelekeza watu.
Kwa Tanzamia, wataalam wapo kwenye sekta binafsi, siyo serikalini. Ndiyo maana baadhi ya multinational companies, ukiomba kazi halafu ukasema unafanya kazi Serikalini, inakuwa ni disqualification.
Kwa hiyo argument yako, my learned friend, ni kuwa bila HGA hakuna IGA? Kama ni hivyo, IGA ni ya nini? Si wangeingia tu kwenye HGA baada ya MoU?Nadhani umeshawai kukutana na hii phrase before ‘a contract is an agreement, but not all agreements are contracts’.
Kwanini, hapo mkataba unaozungumziwa ni commercial agreement. Ili uitwe commercial agreement (contract, kuna test zake na ya msingi ni consideration). Ambayo kwenye hiyo IGA aipo.
View attachment 2678450
Hiyo article kwanza kabisa aizungumzii IGA per se, inachozungumzia ni HGA and project activities/agreements. Kwamba wakisha ingia hiyo mikataba (commercial agreements) huko mbele ndio aiwezi vunjwa kiholela.
Kwa hivyo hiyo framework ya IGA itatumika mpaka taratibu za kuisha kwa hayo makubaliano watakayoingia kwenye commercial agreement. Kwanini hiko kipengele kimewekwa kwasababu ndani ya IGA article 20 imeelezea namna ya kutatua dispute resolution.
Sasa basi mkataba wa kibiashara (hizo agreements) watakazo ingia baadae una implied terms kadhaa ambazo ata usipoziweka kwenye hiyo mikataba zinatumika mahakamani; laws za nchi husika, precedence’s (case laws) and industry customs.
Hiyo IGA imepitishwa na bunge ni sheria (moja kwa moja inakuwa implied term) ata mambo yake usipoweka kwenye mikataba ya baadae wanasisitiza hiyo sheria itatumika mpaka commercial agreements zote zitakapoisha.
Na hakuna commercial agreement inakufa kishamba ata mzazi akipangisha nyumba akifa kesho, watoto awawezi kwenda kuwatoa wapangaji kiholela kabla ya muda wa mkataba kuisha ndio kinachoongelewa hapo kwenye 23 (4) sentensi ya kwanza. Na ya pili inakwambia ukitaka kufanya mabadiliko yoyote lazima ufuate taratibu walizojiwekea article 20.
Shida yenu ata abc ya contract law amna, wataalamu wa serikali wakiwaelezea amtaki mmekazana tu. Mnasoma vitu amuelewi their legal meaning nyie mnatoa tafsiri kutoka vichwani kwenu.