Msimhukumu Rais Samia pasipokuwa na uhakika

Msimhukumu Rais Samia pasipokuwa na uhakika

Mkatava huu ndio foundation ya ijayo,haufai.
Sahihi, ila sio kwenye kila aspect isipokuwa zilizotajwa tu, na kwa upande mkubwa ni stabilisation clauses za mkataba. Mainly protection against future political changes and processes of dispute resolution; na ni mambo ya kawaida kwenye BIT yeyote.

Mengine hayapo bado kwenye huo mkataba hasa yale ya kibiashara na muda; mpaka wakae kitako na kuyajadili baina TPA na DPW.
 
Katika jambo la maana atakalo lifanyia Tanzania ni haya makubaliano na DPW yakitekelezwa yote phase 1 & 2, mungu awape akili tu TPA waingie concession agreement zenye maslahi ya taifa.

Watanzania mnaopinga amuoni tu picha kubwa ya huu uwekezaji kabisa.

Binafsi sio shabiki wa huyo mama kabisa, lakini kwenye ili la bandari wasirudi nyuma. Ni yale maamuzi ya watu wengi watamshukuru baadae wakishaanza kuona matokeo.

Mama asiangalie nyuma na kuwa jiwe kwenye hili; yupo sahihi 1000%.

Mpumbavu wewe ! Mbona Zanzibar hajaiingiza kwenye huo utamu ?
 
Katika jambo la maana atakalo lifanyia Tanzania ni haya makubaliano na DPW yakitekelezwa yote phase 1 & 2, mungu awape akili tu TPA waingie concession agreement zenye maslahi ya taifa.

Watanzania mnaopinga amuoni tu picha kubwa ya huu uwekezaji kabisa.

Binafsi sio shabiki wa huyo mama kabisa, lakini kwenye ili la bandari wasirudi nyuma. Ni yale maamuzi ya watu wengi watamshukuru baadae wakishaanza kuona matokeo.

Mama asiangalie nyuma na kuwa jiwe kwenye hili; yupo sahihi 1000%.
Acha kujitoa ufahamu mzee..... unadhanì wanaopinga wanapinga uwekezaji au wanapinga terms??
Ebu nipe.majibu nipate elimu
 
Ndugu zangu mengi yameibuka tangu kusainiwa kwa mkataba wa DP World. Hii nchi haiongozwi na kiongozi mmoja. Kuna idadi kubwa sana ya viongozi kuanzia wastaafu na waliopo madarakani.

Uamuzi wa kuwakabidhi DP World hakuufanya mwenyewe, aidha alishinikizwa ama lah. Tunaweza kumnyooshea kidole kumbe wapo waliomsababishia hilo tatizo.

Nashauri badala ya kumtuhumu tumtafute na kushauriana naye pengine tutaweza kumsaidia kuondokana na kipindi hiki kigumu.
Shida kuna vilaza hapa wameegemea upande mmoja kitu sicho hakuna mtu anakurupuka kufanya maamuzi binadamu ana shukuran
 
Kwanza humo humo ndani ya IGA mara kadhaa wameeleza kutakuwa na mikataba mingine ya HGA na Peoject Agreements, information tosha kukueleza hiyo sio commercial agreement.

Pili umeshaelezwa ili uende mahakamani kushitaki una mkataba lazima uonyeshe value of exchange uliyodhulimiwa (consideration) hayo makubaliano hayapo hapo kwenye IGA kwa ivyo hiyo aiwezi kuwa commercial agreement.

Serikali imekwambia hayo yatafanyika watakapokutana TPA na DPW kujadiliana concession agreements bado awajakaa chini; utaki kuelewa.

Shivji, Lissu, Kabudi na wanasheria wote Tanzania niliowasikia 90% hawana foundation ya contract law; kama umesoma ata introduction module kuweza kubaini uelewa wao ni mdogo mnooo.

Na nina uhakika 100% Tanzania aifundishwi kwa kuwasikiliza wanasheria.

So Kwa nini huo uchafu umepelekwa Bungeni?
Kwa uelewa wangu Bunge linatakiwa kuridhia Mikataba na sio huo uchafu IGA.
Halafu mbona hao Government of Dubai hawajasaini popote wala hawakumpa Power of Attorney huyo mwarabu aliyesaini Kwa niaba ya DP World
 
Mmeshaambiwa zaidi ya mara mia hakuna mkataba wa kibiashara bado na ndio utakaopanga muda, lakini amtaki kusikia.

IGA ni mkataba wa mualiko kuja kuwekeza Tanzania na unao orodhesha taratibu kadhaa za kutengeneza mikataba ya kibiashara (framework).

Sasa nyie amtaki kuelewa.

Mkataba wa kibiashara lazima uwe na thamani ya kitu mnachobadilishana (consideration), lisipokuwepo hilo; hayo ni makubaliano tu mbele mahakama yoyote lakini sio mkataba wa kibiashara.

Mmeambiwa muda wa mkataba atakaopewa kuendesha bandari unategemea na thamani ya uwekezaji utakaofanywa.

Makubaliano yenyewe msingi wake ni muda wa kurudisha hela ya uwekezaji watakayo toa, kidogo kidogo kulinga na mapato ya maeneo watakayo pewa. Hayo mambo mawili ndio yatakayo amua miaka ya wao kuendesha hiyo bandari mpaka hela yao irudi.

Hayo yatapangwa watakapokutana kujadili mikataba ya concession. Hiyo IGA yenyewe inakwambia huko bado awajifika, serikali inakwambia huko bado awajifikia amtaki kuelewa. Ninyi mmekazana na vitu tu kutoka vichwani kwenu ata mueleweshwe vipi amtaki kusikia.

Dah kazi kweli kweli
Bungeni waliridhia nini??
 
Uamuzi wa kuwakabidhi DP World hakuufanya mwenyewe, aidha alishinikizwa ama lah. Tunaweza kumnyooshea kidole kumbe wapo waliomsababishia hilo tatizo.
Kwanini umsemee? Kwanini hataki kujitokeza hadharani kujibu maswali ya anaowatarajia kumpigia kura 2025?
 
Katika jambo la maana atakalo lifanyia Tanzania ni haya makubaliano na DPW yakitekelezwa yote phase 1 & 2, mungu awape akili tu TPA waingie concession agreement zenye maslahi ya taifa.

Watanzania mnaopinga amuoni tu picha kubwa ya huu uwekezaji kabisa.

Binafsi sio shabiki wa huyo mama kabisa, lakini kwenye ili la bandari wasirudi nyuma. Ni yale maamuzi ya watu wengi watamshukuru baadae wakishaanza kuona matokeo.

Mama asiangalie nyuma na kuwa jiwe kwenye hili; yupo sahihi 1000%.
hata wakati wa Mkataba wa TICTS watu walipiga kelele sana wakaambiwa wataona Matunda yake badala yake tunaona matundu badala ya matunda
 
Dawa ya DPW ni kuvunja muungano, hawa wazanzibari warudi kwao watuachie bandari zetu
 
So Kwa nini huo uchafu umepelekwa Bungeni?
Kwa uelewa wangu Bunge linatakiwa kuridhia Mikataba na sio huo uchafu IGA.
Halafu mbona hao Government of Dubai hawajasaini popote wala hawakumpa Power of Attorney huyo mwarabu aliyesaini Kwa niaba ya DP World
Kwenye huo mkataba power of attorney doesn’t matter, kwa sababu aliekuwa na mamlaka ya juu kwenye huo mkataba ni Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania sio mwingine yeyote.

Na bunge limepitisha hiyo sheria na kutambulika rasmi.

Hiyo sheria ni implied term ya mkataba, na hakuna sheria bila ya bunge (unless bylaws na zenyewe msingi wake ni sheria ya bunge).

Kwa hivyo bunge lilikuwa na ulazima wa kuridhia, ili baadhi ya terms zilizopo kwenye IGA zitambulike katika mikataba ya baadae.

Bunge aliridhii mikataba ya kibiashara (IGA sio mkataba wa kibiashara) unless kuna sheria mahususi inayoelezea ivyo.
 
Time frame ni miezi 12 baada ya kusainiwa kwa IGA.

Kwanza kabisa unatakiwa utoe assumption ulizojijengea kuwa IGA ni commercial agreement. Hiyo ni communication barrier kwenye huu mjadala kwa upande wako.

Ukishatoa IGA sio commercial agreement, kilichopewa muda wa miezi kumi na mbili baada ya kusaini IGA ni hiyo mikataba ya HGA na Project Agreement ambayo kama kutakuwa hakuna hatua zozote hii sheria ya IGA inakufa.

Baada ya miezi 12 kupita serikali inaweza jadiliana na mtu yeyote kama hakuna mazungumzo yeyote na DPW, kwanza na sheria yenyewe inakuwa aina nguvu tena.
The Intergovernmental Agreement iliyosainiwa ni bilateral agreement ambayo badala ya concessions imeweka obligations. Haiwezi kuwa commercial agreement kwa sababu both parties sio commercial au business entities.

Kwa hiyo usiyeelewa ni wewe ambae unadhani kwa sababu sio commercial agreement basi sio contract kwa sababu hamna mahali palipotajwa considerations. Mambo ya ku cram siyo mazuri.

Kama upande wowote hautatekeleza kilichoahidi katika IGA ( kwa JMT ni kufacilitate uwekezaji kwa kuingia katika HGA na Emirate ya Dubai kuwekeza), IGA haitakufa kwa sababu ibara ya 23 inasema hilo haliwezekani. Kitakachofanyika ni upande utakaoona kuwa mwenzake hatekelezi wajibu wake atatangaza mgogoro na suala hilo kulipeleka Johannesburg. Bila shaka, kabla ya kufanya hivi suala hilo litakuwa limejadiliwa katika IGA Consultative Committee.

Niliwasahau Tibaijuka na Warioba ( bingwa wa international maritime law) katika vichwa vilivyotilia shaka hiyo IGA.

Amandla...
 
Kwenye huo mkataba power of attorney doesn’t matter, kwa sababu aliekuwa na mamlaka ya juu kwenye huo mkataba ni Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania sio mwingine yeyote.

Na bunge limepitisha hiyo sheria na kutambulika rasmi.

Hiyo sheria ni implied term ya mkataba, na hakuna sheria bila ya bunge (unless bylaws na zenyewe msingi wake ni sheria ya bunge).

Kwa hivyo bunge lilikuwa na ulazima wa kuridhia, ili baadhi ya terms zilizopo kwenye IGA zitambulike katika mikataba ya baadae.

Bunge aliridhii mikataba ya kibiashara (IGA sio mkataba wa kibiashara) unless kuna sheria mahususi inayoelezea ivyo.
Naona kila wakati unazungumzia sheria. Ni sheria gani ambayo Bunge limeridhia? Ninachojua Bunge limetoa baraka tu kwa mkataba huo kutekelezwa. Unaposema Bunge ndio lenye mamlaka ya juu kuhusu sheria una maana gani wakati Rais bila Rais kusaini kilichopitishwa na Bunge hakiwi sheria.

IGA kutokuwa commercial agreement hakumaanishi kuwa sio enforceable contract maana kila upande una obligations.

Amandla...
 
Sasa mimi nitajuaje?

Wewe umesema watu wanapinga terms nakuuliza zipi unasema nitafute kwa wanaopinga.

Like seriously 😳
Sikiza nikutolee mfano wa maamuzi ya serikali yako ya ki mangungo na bwana wake Dp ilivyo
Yaani wewe ni mzazi upo tayari kumuoza binti yako kwa tajiri mchawi mtoa kafara na muathirika wa ukimwi kwakua tuu mwanaume ni tajiri ataishi maisha mazuri...
Kama utanielewa ubarikiwe
 
Back
Top Bottom