Msimhukumu Rais Samia pasipokuwa na uhakika

Msimhukumu Rais Samia pasipokuwa na uhakika

The Intergovernmental Agreement iliyosainiwa ni bilateral agreement ambayo badala ya concessions imeweka obligations. Haiwezi kuwa commercial agreement kwa sababu both parties sio commercial au business entities.

Kwa hiyo usiyeelewa ni wewe ambae unadhani kwa sababu sio commercial agreement basi sio contract kwa sababu hamna mahali palipotajwa considerations. Mambo ya ku cram siyo mazuri.

Kama upande wowote hautatekeleza kilichoahidi katika IGA ( kwa JMT ni kufacilitate uwekezaji kwa kuingia katika HGA na Emirate ya Dubai kuwekeza), IGA haitakufa kwa sababu ibara ya 23 inasema hilo haliwezekani. Kitakachofanyika ni upande utakaoona kuwa mwenzake hatekelezi wajibu wake atatangaza mgogoro na suala hilo kulipeleka Johannesburg. Bila shaka, kabla ya kufanya hivi suala hilo litakuwa limejadiliwa katika IGA Consultative Committee.

Niliwasahau Tibaijuka na Warioba ( bingwa wa international maritime law) katika vichwa vilivyotilia shaka hiyo IGA.

Amandla...
Ndugu commercial agreement sio lazima iwe biashara na biashara.

Ata wewe na mwanao mnaweza ingia mkataba wa commercial agreement. Mfano unaweza mpa ahadi mtoto wako ukifaulu vizuri nakulipia holiday ya kwenda popote.

Consideration hapo ni yeye kufaulu kwa marks unazotaka na yeye kulipiwa holiday akifika hivyo vigezo.

Sasa akifikia hivyo vigezo usipomlipa ni tosha kukushitaki mahakamani kama mliandikiana.

Commercial agreement kwenye contract ni uwepo wa nguzo tano za mikitaba ya kibiashara, (offer, acceptance, consideration, legal capacity and privity). Aijalishi ni hakina nani wanaingia hayo makubaliano.

Punguza ujuaji

Shida yako unajiandikia tu vitu wakati huna ata foundation ya mambo yenyewe. Halafu unadhani that’s how they work.
 
Framework
Tokea lini bunge letu linaridhia framework na sio MIKATBA ya Serikali .
Na Kwa nini Government of Dubai hakuna mtu yeyote aliyesaini kama Serikali? Wakati Kwa upande wetu tumeona hao wazanzibari Wawili ,Samia ,na waziri wa uchukuzi wamesaini Kwa niaba ya serikali so Kwa nini hilo litakataka liitwe IGA
 
Naona kila wakati unazungumzia sheria. Ni sheria gani ambayo Bunge limeridhia? Ninachojua Bunge limetoa baraka tu kwa mkataba huo kutekelezwa. Unaposema Bunge ndio lenye mamlaka ya juu kuhusu sheria una maana gani wakati Rais bila Rais kusaini kilichopitishwa na Bunge hakiwi sheria.

IGA kutokuwa commercial agreement hakumaanishi kuwa sio enforceable contract maana kila upande una obligations.

Amandla...
Si unaona sasa kumbe ujui kuwa IGA imeshakuwa ni sheria ya nchi ndio maana ikapitishwa bunge.

Au unadhani wabunge walikuwa wanaridhia nini, ilipopelekwa bungeni?
 
Tokea lini bunge letu linaridhia framework na sio MIKATBA ya Serikali .
Na Kwa nini Government of Dubai hakuna mtu yeyote aliyesaini kama Serikali? Wakati Kwa upande wetu tumeona hao wazanzibari Wawili ,Samia ,na waziri wa uchukuzi wamesaini Kwa niaba ya serikali so Kwa nini hilo litakataka liitwe IGA
Lini bunge liliridhia mkataba wowote wa kibiashara unaoujua wewe?

Halafu tuna BIT ngapi zimepitia bungeni, mpaka ushangae IGA.
 
Ndugu commercial agreement sio lazima iwe biashara na biashara.

Ata wewe na mwanao mnaweza ingia mkataba wa commercial agreement. Mfano unaweza mpa ahadi mtoto wako ukifaulu vizuri nakulipia holiday ya kwenda popote.

Consideration hapo ni yeye kufaulu kwa marks unazotaka na yeye kulipiwa holiday akifika hivyo vigezo.

Sasa akifikia hivyo vigezo usipomlipa ni tosha kukushitaki mahakamani kama mliandikiana.

Commercial agreement kwenye contract ni uwepo wa nguzo tano za mikitaba ya kibiashara, (offer, acceptance, consideration, legal capacity and privity). Aijalishi ni hakina nani wanaingia hayo makubaliano.

Punguza ujuaji
Sawa usie mjuaji lakini unawadharau wakina Shivji, Warioba, Lissu, Tibaijuka, Lipumba, Slaa.
Mikataba yote sio lazima iwe commercial. Bilateral Agreements mara nyingi zinakuwa na obligations badala ya consideration.

Kwa mfano wako huo huo, unaweza kuingia mkataba na mtoto wako kuwa yeye anatakiwa ajisomee ili afaulu mtihani wa form six na wewe utamuwekea mazingira mazuri ya yeye kujisomea ili afaulu. Ukifungua baa nyumbani, ukakataa kumpatia chakula, mahali mazuri pa kulala na nyenzo zote za yeye kuweza kujisomea ataweza kukushitaki kwa kutotimiza obligation zako. Vile vile wewe utaweza kumshitaki kama pamoja na kumwekea mazingira bora ya kujisomea yeye anashinda klabu na kwenye baa na hivyo kutotimiza obligations zake. Hiyo ni bilateral agreement maana hamna financial considerations bali obligations.

Ni hivyo hivyo kwa hii IGA. Kila upande una obligations zake za kutekeleza hata kabla ya HGAs.
Kama hata hii haujaelewa basi tufunge tu huu mjadala kati yangu na wewe maana hatutakuja kukubaliana.

Amandla...
 
Ndugu zangu mengi yameibuka tangu kusainiwa kwa mkataba wa DP World. Hii nchi haiongozwi na kiongozi mmoja. Kuna idadi kubwa sana ya viongozi kuanzia wastaafu na waliopo madarakani.

Uamuzi wa kuwakabidhi DP World hakuufanya mwenyewe, aidha alishinikizwa ama lah. Tunaweza kumnyooshea kidole kumbe wapo waliomsababishia hilo tatizo.

Nashauri badala ya kumtuhumu tumtafute na kushauriana naye pengine tutaweza kumsaidia kuondokana na kipindi hiki kigumu.
Kwani yeye anasemaje?
Au wewe ndiye mama?
 
Si unaona sasa kumbe ujui kuwa IGA imeshakuwa ni sheria ya nchi ndio maana ikapitishwa bunge.

Au unadhani wabunge walikuwa wanaridhia nini, ilipopelekwa bungeni?
Kwa hiyo Bunge walipelekewa sheria ya nchi ili waipitishe. Mimi nilidhani sheria inatokana na mapendekezo ( sio lazima yatoke serikalini) na Bungeni likiyaridhia yanapelekwa kwa Rais ili ayasaini ili yawe sheria. Kumbe Rais akisaini Mkataba unakuwa tayari sheria na Bunge wanapelekewa kutimiza wajib tu.

Kuishi sana kweli ni kujifunza. Asante kwa darsa hilo muhimu.

Amandla....
 
Lini bunge liliridhia mkataba wowote wa kibiashara unaoujua wewe?

Halafu tuna BIT ngapi zimepitia bungeni, mpaka ushangae IGA.
 
Lini bunge liliridhia mkataba wowote wa kibiashara unaoujua wewe?

Halafu tuna BIT ngapi zimepitia bungeni, mpaka ushangae IGA.
nashanga ni IGA ya naamna gani SERIKALI inaonekana upande mmoja tu wa Tanzania upande wa SERIKALI YA DUBAI hakuna mtu yeyote wa serikali yao aliyesaini
 
Sawa usie mjuaji lakini unawadharau wakina Shivji, Warioba, Lissu, Tibaijuka, Lipumba, Slaa.
Mikataba yote sio lazima iwe commercial. Bilateral Agreements mara nyingi zinakuwa na obligations badala ya consideration.

Kwa mfano wako huo huo, unaweza kuingia mkataba na mtoto wako kuwa yeye anatakiwa ajisomee ili afaulu mtihani wa form six na wewe utamuwekea mazingira mazuri ya yeye kujisomea ili afaulu. Ukifungua baa nyumbani, ukakataa kumpatia chakula, mahali mazuri pa kulala na nyenzo zote za yeye kuweza kujisomea ataweza kukushitaki kwa kutotimiza obligation zako. Vile vile wewe utaweza kumshitaki kama pamoja na kumwekea mazingira bora ya kujisomea yeye anashinda klabu na kwenye baa na hivyo kutotimiza obligations zake. Hiyo ni bilateral agreement maana hamna financial considerations bali obligations.

Ni hivyo hivyo kwa hii IGA. Kila upande una obligations zake za kutekeleza hata kabla ya HGAs.
Kama hata hii haujaelewa basi tufunge tu huu mjadala kati yangu na wewe maana hatutakuja kukubaliana.

Amandla...
Mimi nimekuwa open the thing with knowledge kanuni zake ukisikiliza hoja za mtu kama una abc unaweza kujua huyu ana foundation ya kujengea hoja au la.

Hao wote unaowataja hawana foundation za maswala ya mikataba lipo wazi kama ilivyo wewe; japo unakadhana na kufanya ligi isiyo na kichwa wala miguu.

Lengo hapa ni kuelimishana sio kubishana alimradi.

Nimekueleza awali ‘a contract is an agreement, but not all agreements are contracts’. Nikakupa sababu ili agreement iwe commercial kuna nguzo tano; crucial katika hizo nguzo tano ni consideration.

Uwezi kwenda kushitaki mahakamani mkataba wa kibiashara kama hakuna consideration. Na kwenye IGA hilo jambo halipo so hiyo ni agreement tu ya kawaida ina mambo mengine ya terms za mikataba ya baadae lakini peke yake kama ilivyo hiyo sheria uwezi mshitaki nayo mtu.

Unajua ni Tanzania tu lakini nchi nyingine yeyote kunapokuwa na sheria hiyo ni term tayari ya mkataba. Mfano nchi nyingi unakuta ukinunua kitu una muda wa kurudisha dukani na online mpaka miezi mitatu saa zingine. Usidhani ni takwa lao wafanyabiashara, mara nyingi kuna sheria hizo ambazo wewe consumer huzijui zinazotumika kama automatic term. Lakini bei ya kununua bidhaa ni kitu ambacho anapanga muuzaji na unaweza bargain vilevile.

Same IGA inatengeneza terms hizo za consumer rights yaani jinsi ya kushitakiana, kumaliza mkataba na mambo mengine; lakini hadi kuwe na mkataba wa biashara na hizo terms ziwe applicable lazima uwekezaji uanze au makubaliano hayo yawepi hiko kitu hakipo mpaka sasa.

Sasa Hayo mengine sijui unayatoa wapi, ukipewa mfano mdogo, unaenda unauchanganua mpaka dah; unajichanganya mwenyewe.
 
Ikulu sio mahali rahisi, utakuwa Raisi lakini utakuwa ukisemeshwa na viongozi wasiohesabika, huwezi kufanya uamuzi peke yako, wapo wengi watakusemesha kuanzia chama kilichokupa hicho kiti. Kumbuka chama hakina mtu mmoja, kina maelfu ya viongozi ambao lazima utawasikiliza ili wasikunyang'anye kiti. Kumbuka raisi yupo chini ya chama, anaweza kunyang'anywa madaraka na chama chake
Nipeni ikulu , alafu muone , ndio lazima rais shirikisha wazee na watu mbalimbali ili kutenda vizuri katika kazi yake , ila hawezi mpelekesha ,zipo njia nyingi moja si unasimama kama kuhutubia taifa na unamchambua kama karanga ,shida nini hapa ,tatizo upo mfumo wa wa kusema usifanye vile kisa yule mtu flani , ndo upumbavu watuangusha

We kama rais unawezaje na utetezi kwamba unashauriwa na mtu flani nje ya utawala wako akulazimishe fanya kile waona wataka ,uhuni ,
 
Kwa hiyo Bunge walipelekewa sheria ya nchi ili waipitishe. Mimi nilidhani sheria inatokana na mapendekezo ( sio lazima yatoke serikalini) na Bungeni likiyaridhia yanapelekwa kwa Rais ili ayasaini ili yawe sheria. Kumbe Rais akisaini Mkataba unakuwa tayari sheria na Bunge wanapelekewa kutimiza wajib tu.

Kuishi sana kweli ni kujifunza. Asante kwa darsa hilo muhimu.

Amandla....
Usichanganye mambo, shida unapenda ku complicate issues sana.

IGA imeenda bungeni ili iwe sheria, acha kufukiria vitu unavyotaka wewe.

Baada ya kuwa sheria inakuwa implied term kwenye mikataba ya utekelezaji.

Hayo mengine mnayalazimisha ndio maana mnachanganya mambo na conclusions zenu.
 
Hiyo ndio BIT yenyewe huo sio mkataba wa kibiashara ndugu.

Kilichopitishwa hakina tofauti na IGA
 
nashanga ni IGA ya naamna gani SERIKALI inaonekana upande mmoja tu wa Tanzania upande wa SERIKALI YA DUBAI hakuna mtu yeyote wa serikali yao aliyesaini
Angalia vizuri utaona sign zao zimo humo upande wa pili.
 
Shida ni kwamba watu wametumia muda mwingi kuwaelezea sana maana ya hiyo IGA.

Mfano mkurugenzi wa sheria kutoka wizara ya uchukuzi amedadavua karibu kila kitu hapo kwa lugha nyepesi, ila watu bado tu; awataki kuelewa somo.
Katika hili raia wengi wameamua kuwasikiliza wanasheria wabobezi wa kaliba za juu kabisa .
 
Mimi nimekuwa open the thing with knowledge kanuni zake ukisikiliza hoja za mtu kama una abc unaweza kujua huyu ana foundation ya kujengea hoja au la.

Hao wote unaowataja hawana foundation za maswala ya mikataba lipo wazi kama ilivyo wewe; japo unakadhana na kufanya ligi isiyo na kichwa wala miguu.

Lengo hapa ni kuelimishana sio kubishana alimradi.

Nimekueleza awali ‘a contract is an agreement, but not all agreements are contracts’. Nikakupa sababu ili agreement iwe commercial kuna nguzo tano; crucial katika hizo nguzo tano ni consideration.

Uwezi kwenda kushitaki mahakamani mkataba wa kibiashara kama hakuna consideration. Na kwenye IGA hilo jambo halipo so hiyo ni agreement tu ya kawaida ina mambo mengine ya terms za mikataba ya baadae lakini peke yake kama ilivyo hiyo sheria uwezi mshitaki nayo mtu.

Unajua ni Tanzania tu lakini nchi nyingine yeyote kunapokuwa na sheria hiyo ni term tayari ya mkataba. Mfano nchi nyingi unakuta ukinunua kitu una muda wa kurudisha dukani na online mpaka miezi mitatu saa zingine. Usidhani ni takwa lao wafanyabiashara, mara nyingi kuna sheria hizo ambazo wewe consumer huzijui zinazotumika kama automatic term. Lakini bei ya kununua bidhaa ni kitu ambacho anapanga muuzaji na unaweza bargain vilevile.

Same IGA inatengeneza terms hizo za consumer rights yaani jinsi ya kushitakiana, kumaliza mkataba na mambo mengine; lakini hadi kuwe na mkataba wa biashara na hizo terms ziwe applicable lazima uwekezaji uanze au makubaliano hayo yawepi hiko kitu hakipo mpaka sasa.

Sasa Hayo mengine sijui unayatoa wapi, ukipewa mfano mdogo, unaenda unauchanganua mpaka dah; unajichanganya mwenyewe.
Sio mikataba yote ina consideration. Mingine ina obligations tu. Kwa mantik hiyo siyo mikataba yote ni commercial. Mkataba wa ndoa hauna consideration bali una obligation. Upande mmoja usipotimiza hizo obligation, upande wa pili unaweza kumpeleka mahakamani ili uvunjwe na apewe relief.
Unajichanganya mwenyewe. IGA hamna consumer rights maana hamna consumer. Ume cram commercial agreement kiasi kwamba unataka kulazimisha kila kitu kitimize masharti yake ama kipoteze haki ya kuwa mkataba.
Bahati mbaya uko arrogant wakati haujui kitu.

Amandla...
 
Tatizo kiongozi hujaelewa asietakiwa ni muarabu na sio mkataba na tena hawamtaki muarabu kwa maslah yao na sio ya taifa
Huwaoni Waarabu wamejaa tele nchi hii wewe kilaza?
 
Back
Top Bottom