Msimlaumu kocha Robetinho, hakuna kocha asiyependa kumpanga mchezaji mzuri, Ni maelekezo kutoka juu ya kuyatii bila shuruti

Msimlaumu kocha Robetinho, hakuna kocha asiyependa kumpanga mchezaji mzuri, Ni maelekezo kutoka juu ya kuyatii bila shuruti

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Msimlaumu Robetinho, hakuna kocha asiyependa kumpanga mchezaji mzuri.

kocha anapewa maelekezo anapangiwa kikosi kuna baadhi ya viongozi wana bifu na phiri.

Phiri anakomolewa na Viongozi na ni maksudi kabisa, kinachofanyika ni kumpoteza Phiri akose soko kabisa.
 
Nimesikiliza interview yake ya jana, jibu la swali kuhusu MP limenifikirisha sana.
 
Phili ni No 10 pia ni second straiker na pia False No 9.

Wapinzani wake WAKUBWA ndani ya Simba ni
Jean Baleke, Clatus Chama na Saido ntibazonkiza.

Tangu Enzi za Zolan Mark
Hata Robertinho.
Hawa ni Professional Coaches wote wanamuweka Benchi.

(Jiulize kwanini MAKOCHA wote wawili wakuweke Benchi).

Phiri ni Mshambuliaji WA pili
(Second straiker)
Au false No 9
Uwe na mshambuliaji kamili kama Baleke HALAFU uende na Phiri hili halikubaliki na HAIWEZEKANI.

UDHAIFU WAKE.
1. Anapoteza sana Mipira.

2. Hawezi ku Link up team kutoka chini.

3. Hafai kuwa hata Target man.

4. Anakuwa Off position ya No 10.

5.Mfupi WA kimo na Hana low center of gravity Compare to Saido, KIBU Miquissone na mzamiru.

6.Anaanguka kupita kiasi na ni mwepesi.

7. Huwa anapoteana kwenye michezo mikubwa eg wakati WA Mgunda alicheza Simba na Yanga Ya 1-1 wafungaji Azizi ki na Okrah. Hakuonekana hata kwa Dakika 1

8. Majeraha ya mara kwa mara.


NB.
NILIWAAMBIA mchezaji mzuri Huwa HAUMII (si injury prone otherwise Afanyiwe Upasuaji utakao muweka Nje kwa muda mrefu?)
Phiri anasingizia majeraha tu

UIMARA.
1.Analijua sana Goli
2. Kasi.
3. Uwezo WA kutumia Miguu yote.

JUZI kaingia Dk 89
Anapata kigugumizi na Kutaka kuichomesha Simba mbele ya Alahly.

Phiri si MCHEZAJI MZURI.
Kama Ningukuwa kwenye kamati ya UFUNDI ama usajili, Moja ya Wachezaji wa Kupunguzwa ni Moses phiri.

NIKIONA mtu anamtetea Phiri
najua huyo mtu hamna kitu na hajuhi Mpira.
 
Phili ni No 10 pia ni second straiker na pia False No 9.

Wapinzani wake WAKUBWA ndani ya Simba ni
Jean Baleke, Clatus Chama na Saido ntibazonkiza.

Tangu Enzi za Zolan Mark
Hata Robertinho.
Hawa ni Professional Coaches wote wanamuweka Benchi.

(Jiulize kwanini MAKOCHA wote wawili wakuweke Benchi).

Phiri ni Mshambuliaji WA pili
(Second straiker)
Au false No 9
Uwe na mshambuliaji kamili kama Baleke HALAFU uende na Phiri hili halikubaliki na HAIWEZEKANI.

UDHAIFU WAKE.
1. Anapoteza sana Mipira.

2. Hawezi ku Link up team kutoka chini.

3. Hafai kuwa hata Target man.

4. Anakuwa Off position ya No 10.

5.Mfupi WA kimo na Hana low center of gravity Compare to Saido, KIBU Miquissone na mzamiru.

6.Anaanguka kupita kiasi na ni mwepesi.

7. Huwa anapoteana kwenye michezo mikubwa eg wakati WA Mgunda alicheza Simba na Yanga Ya 1-1 wafungaji Azizi ki na Okrah. Hakuonekana hata kwa Dakika 1

8. Majeraha ya mara kwa mara.


NB.
NILIWAAMBIA mchezaji mzuri Huwa HAUMII (si injury prone otherwise Afanyiwe Upasuaji utakao muweka Nje kwa muda mrefu?)
Phiri anasingizia majeraha tu

UIMARA.
1.Analijua sana Goli
2. Kasi.
3. Uwezo WA kutumia Miguu yote.

JUZI kaingia Dk 89
Anapata kigugumizi na Kutaka kuichomesha Simba mbele ya Alahly.

Phiri si MCHEZAJI MZURI.
Kama Ningukuwa kwenye kamati ya UFUNDI ama usajili, Moja ya Wachezaji wa Kupunguzwa ni Moses phiri.

NIKIONA mtu anamtetea Phiri
najua huyo mtu hamna kitu na hajuhi Mpira.
Sawa shabiki wa Yanga. Sisi Simba tumekuelewa!
 
Phili ni No 10 pia ni second straiker na pia False No 9.

Wapinzani wake WAKUBWA ndani ya Simba ni
Jean Baleke, Clatus Chama na Saido ntibazonkiza.

Tangu Enzi za Zolan Mark
Hata Robertinho.
Hawa ni Professional Coaches wote wanamuweka Benchi.

(Jiulize kwanini MAKOCHA wote wawili wakuweke Benchi).

Phiri ni Mshambuliaji WA pili
(Second straiker)
Au false No 9
Uwe na mshambuliaji kamili kama Baleke HALAFU uende na Phiri hili halikubaliki na HAIWEZEKANI.

UDHAIFU WAKE.
1. Anapoteza sana Mipira.

2. Hawezi ku Link up team kutoka chini.

3. Hafai kuwa hata Target man.

4. Anakuwa Off position ya No 10.

5.Mfupi WA kimo na Hana low center of gravity Compare to Saido, KIBU Miquissone na mzamiru.

6.Anaanguka kupita kiasi na ni mwepesi.

7. Huwa anapoteana kwenye michezo mikubwa eg wakati WA Mgunda alicheza Simba na Yanga Ya 1-1 wafungaji Azizi ki na Okrah. Hakuonekana hata kwa Dakika 1

8. Majeraha ya mara kwa mara.


NB.
NILIWAAMBIA mchezaji mzuri Huwa HAUMII (si injury prone otherwise Afanyiwe Upasuaji utakao muweka Nje kwa muda mrefu?)
Phiri anasingizia majeraha tu

UIMARA.
1.Analijua sana Goli
2. Kasi.
3. Uwezo WA kutumia Miguu yote.

JUZI kaingia Dk 89
Anapata kigugumizi na Kutaka kuichomesha Simba mbele ya Alahly.

Phiri si MCHEZAJI MZURI.
Kama Ningukuwa kwenye kamati ya UFUNDI ama usajili, Moja ya Wachezaji wa Kupunguzwa ni Moses phiri.

NIKIONA mtu anamtetea Phiri
najua huyo mtu hamna kitu na hajuhi Mpira.
Wakati mlifanya usijali wa mapema kabisa akiwavumilia mlikuwa hamjui hilo
 
Msimlaumu Robetinho, hakuna kocha asiyependa kumpanga mchezaji mzuri.

kocha anapewa maelekezo anapangiwa kikosi kuna baadhi ya viongozi wana bifu na phiri.

Phiri anakomolewa na Viongozi na ni maksudi kabisa, kinachofanyika ni kumpoteza Phiri akose soko kabisa.
Sema na Kocha wa Simba Robertinho ana zingua sana , kikosi chale kile like tu, hata timu pinzani inaweza kujua kikosi chako, hao wachezaji wengine hadi viwango vitashuka.

Nadhan Robertinho ni muoga sana kufungwa anaamini hiko kikosi ndo hakiwezi fungwa.
Wachezaji kama Chilunda, miquison, Phiri, hata mabeki lazma wakitoka bench viwango vyao vitakuwa viko chini ,coz hawatokuwa na Match fitness
 
Roberthino sio tu kocha Bali ni mkufunzi wa makocha. Kama anapokea maelekezo anajiaibisha mwenyewe na taaluma take. Angejitengenezea soko kubwa Kama angejisimamia mwenyewe lakini matokeo take analaumiwa kwa makosa ya kina Ally Salim.
 
Msimlaumu Robetinho, hakuna kocha asiyependa kumpanga mchezaji mzuri.

kocha anapewa maelekezo anapangiwa kikosi kuna baadhi ya viongozi wana bifu na phiri.

Phiri anakomolewa na Viongozi na ni maksudi kabisa, kinachofanyika ni kumpoteza Phiri akose soko kabisa.
Wataje viongozi hao mkuu
 
Sema na Kocha wa Simba Robertinho ana zingua sana , kikosi chale kile like tu, hata timu pinzani inaweza kujua kikosi chako, hao wachezaji wengine hadi viwango vitashuka.

Nadhan Robertinho ni muoga sana kufungwa anaamini hiko kikosi ndo hakiwezi fungwa.
Wachezaji kama Chilunda, miquison, Phiri, hata mabeki lazma wakitoka bench viwango vyao vitakuwa viko chini ,coz hawatokuwa na Match fitness
Hii ni marathon, Kaja kuchukua Ubingwa sio kukuza viwango vya wachezaji.
 
Phili ni No 10 pia ni second straiker na pia False No 9.

Wapinzani wake WAKUBWA ndani ya Simba ni
Jean Baleke, Clatus Chama na Saido ntibazonkiza.

Tangu Enzi za Zolan Mark
Hata Robertinho.
Hawa ni Professional Coaches wote wanamuweka Benchi.

(Jiulize kwanini MAKOCHA wote wawili wakuweke Benchi).

Phiri ni Mshambuliaji WA pili
(Second straiker)
Au false No 9
Uwe na mshambuliaji kamili kama Baleke HALAFU uende na Phiri hili halikubaliki na HAIWEZEKANI.

UDHAIFU WAKE.
1. Anapoteza sana Mipira.

2. Hawezi ku Link up team kutoka chini.

3. Hafai kuwa hata Target man.

4. Anakuwa Off position ya No 10.

5.Mfupi WA kimo na Hana low center of gravity Compare to Saido, KIBU Miquissone na mzamiru.

6.Anaanguka kupita kiasi na ni mwepesi.

7. Huwa anapoteana kwenye michezo mikubwa eg wakati WA Mgunda alicheza Simba na Yanga Ya 1-1 wafungaji Azizi ki na Okrah. Hakuonekana hata kwa Dakika 1

8. Majeraha ya mara kwa mara.


NB.
NILIWAAMBIA mchezaji mzuri Huwa HAUMII (si injury prone otherwise Afanyiwe Upasuaji utakao muweka Nje kwa muda mrefu?)
Phiri anasingizia majeraha tu

UIMARA.
1.Analijua sana Goli
2. Kasi.
3. Uwezo WA kutumia Miguu yote.

JUZI kaingia Dk 89
Anapata kigugumizi na Kutaka kuichomesha Simba mbele ya Alahly.

Phiri si MCHEZAJI MZURI.
Kama Ningukuwa kwenye kamati ya UFUNDI ama usajili, Moja ya Wachezaji wa Kupunguzwa ni Moses phiri.

NIKIONA mtu anamtetea Phiri
najua huyo mtu hamna kitu na hajuhi Mpira.
Si ndy unaambiwa maagizo toka kwa viongozi?
Makocha wote wanapewa maagizo toka juu.
Hivi bocco ndy wa kumuweka benchi General Phili?
 
Phiri Hana mpira wowote kama walivyo wachezaji wengine wote wa Simba hii mbovu, Phiri akija Yanga anapelekwa Yanga B! Jana kafunga goli kindondokela tu kwa papara za kipa wa Ihefu kuwahi kutoka bila akili maana Kuna mabeki wawili wa Ihefu walikuwa wakimkaba na asingepiga! Diarra humfungi magoli ya kijinga ya short range kama lile, hutulia na kumsoma mfungaji! Mwaka huu Diarra ataongoza kwa clean sheet Duniani!

Goli la Phiri Jana halikuwa goli la kiufundi kama yalivyo Yale magoli ya Max Nzengeli au Mayele!!

Hata goli la Baleke la kwanza Jana Simba vs Ihefu halikuwa la kiufundi! Na dizaini kama vile magoli ya Simba ni magoli ya kichawi! Magoli ya kichawi Huwa hayafuati formula ya goli linapatikanaje!! We utashtukia tu gooooal!! Mnabaki mnaulizana nani kafunga wakati wote mmetumbua macho mkiangalia mpira!

Simba imeshuka kiwango na kuwa sawa na timu zingine ndogo za ligi kuu, kinachoibeba ni juhudi binafsi za mchezaji mmoja mmoja, marefa na uchawi basi, ushindi wa Simba kwasasa ni wa tabu na kulazimisha. Timu zikikomaa kuifunga Simba mbovu marefa wanazilegeza mfano Singida Big Star walipiga goli safi la kideoni, goli halali muda ukiwa umeenda refa na kibendera wakalikataa kwa kujaa ujinga eti kuibeba Ili Simba ishinde na ndo maana marefa wa bongo hawaitwi kuchezesha michuano ya CAF na Fifa!!

Ukitaka kujua mpira wa miguu ni kibarua kizito angalia mechi za Simba hii mbovu wanahaha majasho kama yote haijulikani wanacheza fomesheni gani, ukitaka kujua mpira wa miguu ni rahisi sana na ni burudani basi angalia Yanga ikicheza na uhakikishe Skudu Makudubela yuko uwanjani!!

Simba hii inapuliza kweli kweli japo haitasaidia kipigo Derby Kiko pale pale maana Yanga ni haki yetu kukaa kileleni na kubeba Tena kombe msimu wa tatu!!

Kama wewe ni mbumbumbu kolowizard na hujakereka na hii comment from utopolo og basi piga piga makofi uende peponi ila pia now now nikurushie vocha ya kujaza bando la kuingia JF!
 
Phili ni No 10 pia ni second straiker na pia False No 9.

Wapinzani wake WAKUBWA ndani ya Simba ni
Jean Baleke, Clatus Chama na Saido ntibazonkiza.

Tangu Enzi za Zolan Mark
Hata Robertinho.
Hawa ni Professional Coaches wote wanamuweka Benchi.

(Jiulize kwanini MAKOCHA wote wawili wakuweke Benchi).

Phiri ni Mshambuliaji WA pili
(Second straiker)
Au false No 9
Uwe na mshambuliaji kamili kama Baleke HALAFU uende na Phiri hili halikubaliki na HAIWEZEKANI.

UDHAIFU WAKE.
1. Anapoteza sana Mipira.

2. Hawezi ku Link up team kutoka chini.

3. Hafai kuwa hata Target man.

4. Anakuwa Off position ya No 10.

5.Mfupi WA kimo na Hana low center of gravity Compare to Saido, KIBU Miquissone na mzamiru.

6.Anaanguka kupita kiasi na ni mwepesi.

7. Huwa anapoteana kwenye michezo mikubwa eg wakati WA Mgunda alicheza Simba na Yanga Ya 1-1 wafungaji Azizi ki na Okrah. Hakuonekana hata kwa Dakika 1

8. Majeraha ya mara kwa mara.


NB.
NILIWAAMBIA mchezaji mzuri Huwa HAUMII (si injury prone otherwise Afanyiwe Upasuaji utakao muweka Nje kwa muda mrefu?)
Phiri anasingizia majeraha tu

UIMARA.
1.Analijua sana Goli
2. Kasi.
3. Uwezo WA kutumia Miguu yote.

JUZI kaingia Dk 89
Anapata kigugumizi na Kutaka kuichomesha Simba mbele ya Alahly.

Phiri si MCHEZAJI MZURI.
Kama Ningukuwa kwenye kamati ya UFUNDI ama usajili, Moja ya Wachezaji wa Kupunguzwa ni Moses phiri.

NIKIONA mtu anamtetea Phiri
najua huyo mtu hamna kitu na hajuhi Mpira.
Tumechoka na hili licoment lako kila mara
Mbona sasa match muhimu anawabeba
Vs singida na hii ihefu?

Mimi ni yanga ila jamaa amekamilika .

Unalazjmisha maoni yako ya kiboya tuamini
 
Back
Top Bottom