Mmelipa madeni ya watu????[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yanga hakunaga Janja Janja.
Mabo yako wazi.
Angekuwa yule aliyesema amewekeza Bilioni 20 angekuwa tushamfukuza huku...Maana wahuni wangetaka kuona ziko wapi!
Kongole kwa Dar es salaam Young Africans SC kwa
kuonyesha njia ya uwazi ktk Mapato na. matumizi.
Una tarajia Klabu ya kwanza Tanzania kumake profit thruogh football bussines waweze kulipa mishahara ya Diarra, Mayele, Aziz Ki....Mmelipa madeni ya watu????[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Timu ya wanawake inawadai mishahara hapo hatuoni katika taarifa[emoji23][emoji23][emoji23]
Nakuunga mkono.Alianzisha tabia ya uchawa Tanzania alaaniwe milele na kama ameshakufa afukuliwe maiti yake icharazwe viboko. Nchi hii imekuwa ni vijana wa hovyo
The club above allNaanza kuona matunda ya Uongozi wa Eng Hersi Saidi. Alipoingia Yanga alikuta timu iko kwenye bajeti ya Bil 6. Kwa uongozi wake mathubuti jamaa ameweze kuibua vyanzo lukuki vya mapato.
Mpaka sasa Yanga ina wafadhili 9. Idadi kubwa ya independent sponsors kuliko klavu yeyote hapa Afrika Mashariki.
Kupitia hapo Yanga sasa inaweza kugenerate fund ambayo ni sawa na asilimia 70% ya thamani ya hisa za timu ya Simba SC, tena kwa msimu na wala sio lifetime.
Wakati Simba SC ikiwa na Matarajio ya Bajeti ya Tsh Bilion 13 katika msimu ujao, wenzako wameandaa Bilion 20 kama Bajeti. Hapa tunazungumzia Bilion 7 zaidi.
Yanga inaendelea kuchochora mawinguni in terms of mapato, taarifa zinaonyesha Gate collection Yanga imeongoza kwa msimu wa 3 mfululizo, kwenye upande wa sponsorship deals ndio usiseme, huko kwenye prize money ndio wameziokota vibaya mno.
Naiona Yanga SC ikifikia ndoto za kuwa Klabu ya Millenium mapema zaidi kuliko klabu yeyote ile kusini mwa Jangwa la sahara.
Shukrani ziwafikie Viongozi wote wa klabu kwa kutufikisha hatua hii ya mfano ambayo inatamaniwa na walio wenye, mmepambana kwenye kila idara kuhakikisha mambo yako perfect.
(Pichani ni Genius Eng Hersi Said)View attachment 2668171
Icho kichwa ni balaa, kina mangungu wanatafutana uko, kuiga mazuri sio dhambi viongozi wa yanga wanaendelea kutoa somo zuri kwa vilabu vyote kuwa enzi za propaganda tupu zimekwisha na sasa ni vitendo tu, uhalisia unaonekana kwa kila timu inachokifanya mwenye macho aambiwi tazama!Naanza kuona matunda ya Uongozi wa Eng Hersi Saidi. Alipoingia Yanga alikuta timu iko kwenye bajeti ya Bil 6. Kwa uongozi wake mathubuti jamaa ameweze kuibua vyanzo lukuki vya mapato.
Mpaka sasa Yanga ina wafadhili 9. Idadi kubwa ya independent sponsors kuliko klavu yeyote hapa Afrika Mashariki.
Kupitia hapo Yanga sasa inaweza kugenerate fund ambayo ni sawa na asilimia 70% ya thamani ya hisa za timu ya Simba SC, tena kwa msimu na wala sio lifetime.
Wakati Simba SC ikiwa na Matarajio ya Bajeti ya Tsh Bilion 13 katika msimu ujao, wenzako wameandaa Bilion 20 kama Bajeti. Hapa tunazungumzia Bilion 7 zaidi.
Yanga inaendelea kuchochora mawinguni in terms of mapato, taarifa zinaonyesha Gate collection Yanga imeongoza kwa msimu wa 3 mfululizo, kwenye upande wa sponsorship deals ndio usiseme, huko kwenye prize money ndio wameziokota vibaya mno.
Naiona Yanga SC ikifikia ndoto za kuwa Klabu ya Millenium mapema zaidi kuliko klabu yeyote ile kusini mwa Jangwa la sahara.
Shukrani ziwafikie Viongozi wote wa klabu kwa kutufikisha hatua hii ya mfano ambayo inatamaniwa na walio wenye, mmepambana kwenye kila idara kuhakikisha mambo yako perfect.
(Pichani ni Genius Eng Hersi Said)View attachment 2668171
[emoji3578]Icho kichwa ni balaa, kina mangungu wanatafutana uko, kuiga mazuri sio dhambi viongozi wa yanga wanaendelea kutoa somo zuri kwa vilabu vyote kuwa enzi za propaganda tupu zimekwisha na sasa ni vitendo tu, uhalisia unaonekana kwa kila timu inachokifanya mwenye macho aambiwi tazama!
hisa za simba 2015/16 ndio zilikua na thamani hio ya 20bil kwa 49%, thamani ya club ilikua almost 40b.....Yanga siwapendi Tena nawachukia ila Kuna mambo wanafanya wanafumbua macho wanasimba ambao ni bendera fata upepo.
Hiyo bajeti ni sawa na hisa walizouza Simba kwa mwekezaj wa mchongo
Chanzo chako cha taarifa ni kipi kwa msimu wa 2023/24?Wakati Simba SC ikiwa na Matarajio ya Bajeti ya Tsh Bilion 13 katika msimu ujao, wenzako wameandaa Bilion 20 kama Bajeti. Hapa tunazungumzia Bilion 7 zaidi.
Wamepindua meza kwa bil 11 zaidi. Najiuliza, nani kapitisha bajeti hii?Naanza kuona matunda ya Uongozi wa Eng Hersi Saidi. Alipoingia Yanga alikuta timu iko kwenye bajeti ya Bil 6. Kwa uongozi wake mathubuti jamaa ameweze kuibua vyanzo lukuki vya mapato.
Mpaka sasa Yanga ina wafadhili 9. Idadi kubwa ya independent sponsors kuliko klavu yeyote hapa Afrika Mashariki.
Kupitia hapo Yanga sasa inaweza kugenerate fund ambayo ni sawa na asilimia 70% ya thamani ya hisa za timu ya Simba SC, tena kwa msimu na wala sio lifetime.
Wakati Simba SC ikiwa na Matarajio ya Bajeti ya Tsh Bilion 13 katika msimu ujao, wenzako wameandaa Bilion 20 kama Bajeti. Hapa tunazungumzia Bilion 7 zaidi.
Yanga inaendelea kuchochora mawinguni in terms of mapato, taarifa zinaonyesha Gate collection Yanga imeongoza kwa msimu wa 3 mfululizo, kwenye upande wa sponsorship deals ndio usiseme, huko kwenye prize money ndio wameziokota vibaya mno.
Naiona Yanga SC ikifikia ndoto za kuwa Klabu ya Millenium mapema zaidi kuliko klabu yeyote ile kusini mwa Jangwa la sahara.
Shukrani ziwafikie Viongozi wote wa klabu kwa kutufikisha hatua hii ya mfano ambayo inatamaniwa na walio wenye, mmepambana kwenye kila idara kuhakikisha mambo yako perfect.
(Pichani ni Genius Eng Hersi Said)View attachment 2668171
Simba haijawahi kuthaminishwa hii ni kwa mujibu WA wajumbe waliosimamia mchakato WA mabadilikohisa za simba 2015/16 ndio zilikua na thamani hio ya 20bil kwa 49%, thamani ya club ilikua almost 40b.....
ukienda leo kuuliza usishangae thamani ya simba ikawa ni zaidi ya bil 80.......
Watu wengi wanachukulia thamani ya Simba wakati huu ambapo tayari watu wametoa pesa zao na kusababisha ingae zaidi.hisa za simba 2015/16 ndio zilikua na thamani hio ya 20bil kwa 49%, thamani ya club ilikua almost 40b.....
ukienda leo kuuliza usishangae thamani ya simba ikawa ni zaidi ya bil 80.......
Unateseka ukiwa wapi ewe kolo?Wewe ni Hersi mwenyewe au mchepuko wake? Muwe mnajitangaza mapema