Msimu ujao 2023/2024 Simba tunahitaji sajili hizi ili tuwe imara

Msimu ujao 2023/2024 Simba tunahitaji sajili hizi ili tuwe imara

Salaam wakuu, hapa nataka mapendekezo ya wana michezo ni wachezaji gani SIMBA unahisi inawahitaji ili iwe bora zaidi msimu ujao,

Binafsi napendekeza
1. Feisal Salum (feitoto)
2. Singano claude MIDFIELDER wa Al Hilal
3. Makabi lilepo STRIKER Al Hilal.

Fikria kwa muono wako na taja nani unahisi anatufaa pale msimbazi, tujenge hoja na sio ajabu tuka influence usajili kwa asilimia fulani.
Viungo wakabaji, winger, beki kati
 
Yanga huwa wanajilipua ndio maana wana wachezaji wazuri.
MO ana kaubahiri fulani, anapenda cheap players.
Huwezi kumwacha Adebayo unaenda kumsajiri Okwa, halafu unataka kushindana na Mamelodi.
Nimepata za ndani kabisa, hakuna mchezaji anayekuja Simba bila idhini ya MO.

Nawapongeza sana wachezaji wa Simba wanajituma sana ingawa viwango vyao ni vya chini.
Tunashindana na wachezaji wanaosajiriwa kwa mabilioni ya pesa na mishahala ya mamilioni. Yaani mchezaji wa mshahara wa milioni kumi anacheza na mchezaji analipwa zaidi ya milioni mia kwa mwezi.

Kuna wachezaji wazuri hapa kati Kariba ya Adebayo, hawaitaji pesa ndefu sana na wanakiwango kizuri sana cha kushindania kombe la Afrika.

Lingine Simba iache kuchukua vichezaji vidogo vidogo kwa ndoto za kufanana na Luiz miquessoni.

Simba inahitaji wachezaji wenye Bodi kubwa pia. Tuachane na kuchukua vichezaji kama vitoto vya shule vikina Banda, Sackho, Okwa, nk.
I second you bro
 
Itakua ike yanga ya dk Mshindo Msola.
Hii yanga ya watoto wa mjini usitegemee hilo kutokea. Huoni sakata la Feisali mlivyokwaa kisiki.

Interception mmefanyiwa nyie usajili wa Aziz Ki. Na bado mtaendelea kufanyiwa.
Inawezekana feisal kucheza simba
 
Nina mashaka na wapigaji, watatuletea kina Sawadogo wengine
Mo sasa abadilike....billion 2 wachezaji watano 5 wa kiwango cha juu huko nje unawapata....wanatosha kuibadilisha simba, lkn sharti scouting team iwe nzur na azimbe upigaji kama ambavyo yanga wapo sasa hivi.... tuingie TP mazembe tumlete Kizumbi ni bonge la winger kisha tutafute wengne, mbona wachezaji wapo wengi tu
 
KILA SIKU TUNAWAAMBIA ACHENI KULATA WACHEZAJI MIZIGO. TIMU INATAKIWA IFANYE MABADIRIKO. VIONGOZI WANAPASWA WAJIUZURU NA WACHEZAJI WAONDOSHWE.


1. Mohamed Ottara.
2. Joash Onyango.
3. Ismail sawadogo.
4.Peter Banda.
5. Pape Sackho.
6.Agustine Okrah.

WACHEZAJI WAZAWA WA KUACHWA.

1.John Boko.
2.Jonas Mkude.
3. GADIEL Michael.
4. Nassor Kapama.
5.Habib Kyombo.

NAFASI MUHIMU ZA KUJAZA.

1.Golikipa nambari Mbili.
2. Beki wa kushoto.
3. Mabeki wa kati .
4. Kiungo mkabaji ,, 6 ,, 8.
5. Mshambuliaji wa KIGENI futi sita.
6. Winga wa kushoto.

ZINGATIENI SANA VIMO VYA WACHEZAJI WALAU 6 FEET.

BORA KUSAJILI WACHEZAJI WACHACHE KULIKO KUWA NA RUNDO LA WACHEZAJI MIZIGO.
MOHAMED DEWJI.
TRY AGAIN.
MANGUNGO.
BODI YA WAKURUGENZI.
 
MO nae awe tayari kutoa hela.
MO si mmiliki wa Simba

MO ana 49% pekee na madeni kibao ambayo anaidai Simba, na ndo maana hasiti kutoa pesa za usajili, anajua ndo analipa pesa zake hivyo. mwisho wa siku Simba itazilipa
 
Yanga huwa wanajilipua ndio maana wana wachezaji wazuri.
MO ana kaubahiri fulani, anapenda cheap players.
Huwezi kumwacha Adebayo unaenda kumsajiri Okwa, halafu unataka kushindana na Mamelodi.
Nimepata za ndani kabisa, hakuna mchezaji anayekuja Simba bila idhini ya MO.

Nawapongeza sana wachezaji wa Simba wanajituma sana ingawa viwango vyao ni vya chini.
Tunashindana na wachezaji wanaosajiriwa kwa mabilioni ya pesa na mishahala ya mamilioni. Yaani mchezaji wa mshahara wa milioni kumi anacheza na mchezaji analipwa zaidi ya milioni mia kwa mwezi.

Kuna wachezaji wazuri hapa kati Kariba ya Adebayo, hawaitaji pesa ndefu sana na wanakiwango kizuri sana cha kushindania kombe la Afrika.

Lingine Simba iache kuchukua vichezaji vidogo vidogo kwa ndoto za kufanana na Luiz miquessoni.

Simba inahitaji wachezaji wenye Bodi kubwa pia. Tuachane na kuchukua vichezaji kama vitoto vya shule vikina Banda, Sackho, Okwa, nk.
MO anaonewa tu, hana umiliki wa Simba kwa 100% yeye ana 49% pekee, hao wengine wenye 51% wajitokeze wagharamike
 
Kufa kiume cup
AddText_05-07-05.55.40.jpg
 
MO afanye business, bajeti ya simba haina uhalisia....bajeti ya usajili ni billion 3 lakini wachezaji wa million 300 tunashindwa kuwachukua
 
Mo aweke watu wake, ili hela iwe salama na usajili uwe wa kweli sio sasa upigaji kila sehemu
 
Salaam wakuu, hapa nataka mapendekezo ya wana michezo ni wachezaji gani SIMBA unahisi inawahitaji ili iwe bora zaidi msimu ujao,

Binafsi napendekeza
1. Feisal Salum (feitoto)
2. Singano claude MIDFIELDER wa Al Hilal
3. Makabi lilepo STRIKER Al Hilal.

Fikria kwa muono wako na taja nani unahisi anatufaa pale msimbazi, tujenge hoja na sio ajabu tuka influence usajili kwa asilimia fulani.
Defence
1.Attohoulla Yao/Abdulaziz/ Kayondo/ Charles Manyama/Osman Sane
2.Livingston Mulondo/ Ndasi/

Midfield.
Mohamed Zoungrana/ Zemanga Soze/Osmane Kane.

Attacking midfield
Maarouf Tchakei, Disan Galiwango / Edmund John/ Hassan Dilunga/Marvel Youngman/ Allan Okelo

Wings.
Luis Miquissone/ Kipre Junior/ Phillipe Kinzumbi/ Milton Karissa

Centerforward.
Paul Aquah, Jailes Ngombe jr/ Boyel/ Ranga Chivaviro/ Benson Omala/ Agoro/ Victorien Adebayo
 
Salaam wakuu, hapa nataka mapendekezo ya wana michezo ni wachezaji gani SIMBA unahisi inawahitaji ili iwe bora zaidi msimu ujao,

Binafsi napendekeza
1. Feisal Salum (feitoto)
2. Singano claude MIDFIELDER wa Al Hilal
3. Makabi lilepo STRIKER Al Hilal.

Fikria kwa muono wako na taja nani unahisi anatufaa pale msimbazi, tujenge hoja na sio ajabu tuka influence usajili kwa asilimia fulani.
Feitoto ana mkataba na Yanga mpaka May 2024
 
Defence
1.Attohoulla Yao/Abdulaziz/ Kayondo/ Charles Manyama/Osman Sane
2.Livingston Mulondo/ Ndasi/

Midfield.
Mohamed Zoungrana/ Zemanga Soze/Osmane Kane.

Attacking midfield
Maarouf Tchakei, Disan Galiwango / Edmund John/ Hassan Dilunga/Marvel Youngman/ Allan Okelo

Wings.
Luis Miquissone/ Kipre Junior/ Phillipe Kinzumbi/ Milton Karissa

Centerforward.
Paul Aquah, Jailes Ngombe jr/ Boyel/ Ranga Chivaviro/ Benson Omala/ Agoro/ Victorien Adebayo
Hapa unyama, tatzo mo hela anatoa nyingi lkn wachezaji tunashindwa kuchukua
 
Back
Top Bottom