mtotomtamuu
JF-Expert Member
- Dec 4, 2016
- 602
- 1,459
Ehee ndio hivyo jinsi watu wanavyokukimbia wakati wa kuumwa ndivyo jinsi watakavyokuja kwa wingi kukuchangia hela ya jeneza na sanda na wakaweka pombe na vyakula vya anasa msibani mwako
Ndio huyu Diamond msishangae siku baba yake akitangulia mbele za haki akatumia hata milioni hamsini 50 kwa shuhuli ya mazishi, na akafanya yawe ya kistar, naona siku hiyo viongozi wakubwa watakuja na wasanii watakuja, lakini akiwa hai hata kumsikia hataki kumsikia
Hii ndio dunia
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio huyu Diamond msishangae siku baba yake akitangulia mbele za haki akatumia hata milioni hamsini 50 kwa shuhuli ya mazishi, na akafanya yawe ya kistar, naona siku hiyo viongozi wakubwa watakuja na wasanii watakuja, lakini akiwa hai hata kumsikia hataki kumsikia
Hii ndio dunia
Sent using Jamii Forums mobile app