Madame S
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 17,171
- 34,394
Baba ni baba haijalishi ubaya wowote alokufanyia,mzazi atabaki kua mzazi wako tu pengine kama si baba ake kukytana na mama ake diamond unadhani angekua nani au wapi??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna ufahari, tena mtu akifa na ahawaishwe kuzikwaSijawahi kusikia mazishi ya "kifahari kwa Waislam".
Halafu nakushauri kuwa wachana na mambo ya kufatilia ya watu, huyajuwi. Wewe fata yako na familia yako. Ya Diamond na familia yake yatakusaidia nini?
unachosema ni kweli lakin mama hatakiwj kukufanya uwasahau watoto. Mtoto ukimpa mapenz ya kweli hata upokosekana hakai kwa aman. Sasa mfano wewe ni baba yangu mzazi umegombana na mama. Nakufuata baba naomba unisaidie hela ya ada unanichunia unategemea nitakupenda. Au nyumban tunashinda njaa ila kila siku tunasikia uko bar unagawa offer unategemea tutakupenda? Ukweli uliopo ni wanawake wachache ambao watamfundishwa mwanao ampende babake ila walio wengi watataka watoto wote wawe upande wao iwe kwa jema ama kwa ovu. Kwa hivyo ni jukum let kina baba na sie tujue ni kwanamna gani tutawalazimisha watoti wawe na mapenz nasi hata pale inapotokea tumeachana basi penzi la mtoto liendelee kuwepoKuna mambo kamwe hauwezi kuyaelewa mpaka utakapokuwa Baba na kuyapitia. Sikatai ya kwamba Mama zetu huwa wanapitia changamoto nyingi katika ndoa,mahusiano na malezi ya watoto, ila kuna mengine husababiswa na wakinamama. Haswa unapoona baba anaamua kuondoka na kuendelea na maisha yake huwa kuna mengi sana nyuma ya pazia. Kwa kuwa jamii yetu imejikita kuwatetea na kuwabeba kinamama ndio maana kina Baba huwa wanaonekana kavu sana.
Mwisho wa siku kwa haswa kwa sisi watoto wa Kiume huwa tunakuja kuwaelewa mababa zetu kwa kina zaidi pale tunapokuwa kwenye Taasisi ya Ndoa na Ubaba wa familia. Mifano iko mingi tu.
Ndio Maana katika Amri kumi za Mungu namba 4 huwa inasema "Waheshimu baba yako na mama yako; siku zako zipate kuwa nyingi katika nchi upewayo na BWANA, Mungu wako." Haikumtaja mama peke yake wala kusema baba aliyekulea na kukupa matunzo, bali imemtaja BABA na Mama.
Tunaangamia kwa kukosa maarifa.
kuna wazaz wamewaumiza watoto wao mpaka basi. Ukiwa umetokea kwenye familia yenye maelewano huwez elewa kinachozungumzwa.Baba ni baba haijalishi ubaya wowote alokufanyia,mzazi atabaki kua mzazi wako tu pengine kama si baba ake kukytana na mama ake diamond unadhani angekua nani au wapi??
Kwani waislam wanaishi na wanawake ambao hawajawaoa kwa ndoa ya kiislam??ni waislam kweli hao!!
Hata kama baba aliwatenga, lakini Diamond hapaswi kumchukia baba yake kwasababu aligombana na Sandra.
kuna wazaz wamewaumiza watoto wao mpaka basi. Ukiwa umetokea kwenye familia yenye maelewano huwez elewa kinachozungumzwa.
Kuna watu wanawatafuta baba zao (hata kama mama zao walibakwa) ili angalau wawafahamu. Baba ni Baba tu, bila mbegu ya huyo "aliyewatenga", huyo star tungemjulia wapi? Kila jambo hutokea kwa makusudi ya Mungu. Mwambieni Diamond amthamini BABAAKE!
Point. Jamii imezoeleka kumwona baba ndo kavunja mahusiano kwenye ndoa. Ila ukweli ni kwamba kuna wanawake wengine huku duniani hawakuletwa kuolewa, najua wengi mtalipinga hili ila simlazimishi yeyote akubaliane nami. Sio kila mwanamke afaa kuwa MAMA! Ila kwa wanaume walio kwenye ndoa muda mrefu kwa asilimia kubwa wanatunza ile heshima ya ubaba kwa watoto wao, hawapendi kuwaona watoto wao wakimkosa mama yao ndo maana wanaendelea ku share chumba. Sikatai kuwa wapo pia wanaume wasiojitambua ila si jukumu au sahihi la mtoto kumrithi adui wa mamaake au babake. Hayo si yake bali ya wazazi wenyewe. Kids need to be neutral kwenye magomvi ya wazazi.Kuna mambo kamwe hauwezi kuyaelewa mpaka utakapokuwa Baba na kuyapitia. Sikatai ya kwamba Mama zetu huwa wanapitia changamoto nyingi katika ndoa,mahusiano na malezi ya watoto, ila kuna mengine husababiswa na wakinamama. Haswa unapoona baba anaamua kuondoka na kuendelea na maisha yake huwa kuna mengi sana nyuma ya pazia. Kwa kuwa jamii yetu imejikita kuwatetea na kuwabeba kinamama ndio maana kina Baba huwa wanaonekana kavu sana.
Mwisho wa siku kwa haswa kwa sisi watoto wa Kiume huwa tunakuja kuwaelewa mababa zetu kwa kina zaidi pale tunapokuwa kwenye Taasisi ya Ndoa na Ubaba wa familia. Mifano iko mingi tu.
Ndio Maana katika Amri kumi za Mungu namba 4 huwa inasema "Waheshimu baba yako na mama yako; siku zako zipate kuwa nyingi katika nchi upewayo na BWANA, Mungu wako." Haikumtaja mama peke yake wala kusema baba aliyekulea na kukupa matunzo, bali imemtaja BABA na Mama.
Tunaangamia kwa kukosa maarifa.
Kwani diamond kamkataa baba yake au hataki tu kujiusisha nae......kwani dingi alipokua kakimbilia kuishi katoswa auBaba ni baba haijalishi ubaya wowote alokufanyia,mzazi atabaki kua mzazi wako tu pengine kama si baba ake kukytana na mama ake diamond unadhani angekua nani au wapi??
Kwani diamond kamkataa baba yake au hataki tu kujiusisha nae......kwani dingi alipokua kakimbilia kuishi katoswa au
Sent using Jamii Forums mobile app
Diamond=MamaDiamond+BabaDiamond kwa hiyo haijalishi Baba kafanya nini kwa kuwa alishiriki katika kumuumba lazima apate heshima yake Mambo mengine ni kumuacha yeye na Mungu Ndo mwenye Kisasi
Ni kweli kabisa na hapo ndipo unafiki wa waliowengi utakapo jionyesha.
Ila wapo watakaopinga
Acheni kufuatilia mambo ya watu, watoto siku zote hata tukikuwa kuna mzazi mmoja unamzoea kuliko mwingine kutokana na mazingira uliyolelewa na ndio maana hata kwenye familia zetu kuna wengine akiwa na tatizo analifikisha kwanza kwa mzazi mmoja then linafika kwa mzazi mwingine...kuna watu wamelelewa na wajomba na wa mama wadogo na wamejikuta wamewazoea zaidi waliowalea kuliko wazazi wao halisi lakini haina maana kwamba wanawachukia wazazi wao.Ehee ndio hivyo jinsi watu wanavyokukimbia wakati wa kuumwa ndivyo jinsi watakavyokuja kwa wingi kukuchangia hela ya geneza na sanda na wakaweka pombe na vyakula vya anasa msibani mwako
Ndio huyu Diamond msishangae siku baba yake akitangulia mbele za haki akatumia hata milioni hamsini 50 kwa shuhuli ya mazishi, na akafanya yawe ya kistar, naona siku hiyo viongozi wakubwa watakuja na wasanii watakuja, lakini akiwa hai hata kumsikia hataki kumsikia
Hii ndio dunia
Sent using Jamii Forums mobile app
Msamehe mwanga huyo anadhani waislamu Wana mazishi ya kifahari na mijeneza ya bei mbaya .Mchawi huyo anamuwangia kifo Mzee wa watuSijawahi kusikia "mazishi ya kifahari" kwa Waislam.
Halafu nakushauri kuwa wachana na mambo ya kufatilia ya watu, huyajuwi. Wewe fata yako na familia yako. Ya Diamond na familia yake yatakusaidia nini?
Unajuwaje nani atatangulia?
Ndio kuna nafasi ya kusamehe inatakiwa asamehe. Kwa diamond itakuwa ngumu maana kuna mamake ambae kiukweli hawez ruhusu hilo analokosea diamond ni kusimama na manake tu, unaweza kuta mpaka baba diamond anaondoka labda bibie alikutwa na kidume ndani. Sasa ishu iliyopo inasemekana wakat domo yuko seco alikuwa akimfuata mzee anamjibu mbovu hapo ndo maumivu yanazidi. Kiujumla mama anachangia diamond ashindwe samehe. Kuna interview moja nilisikia kipind domo yuko na wema. Wema alikuwa na tabia ya kwenda kwa mzee kusalimu. Nadhan kwa upande mwingine nahisi wema alicheza pati yake kumuunganisha nababae na lait wangeendelea nahisi angesamehe.Hapo mama ake anachangia kias kikubwa mwanae asiwe na maelewano mazuri na baba yakr, hata kama wamtengwa kiasi gani hajaondoa uhalisia kua yule ni baba yake wa damu kabisa bado ana nafas ya kumsamehe wakaanza upya, ikiwa tumeamriwa kusamehe waliotukosea na Mungu mwenyewe tunamkosea mangapi na bado unaomba toba unasamehewa ije kiumbe mwenzangu??