Elimu haina mwisho!
Kila jambo halitokei pasipo sababu!
Ili kuweka misingi ya kisheria ya makubaliano yoyote huwa kuna mkataba!
Iko aina mbali mbali ya makubaliano!
Kuna ile ya kimaandishi na ile ya kimaneno! (Recorded contract)
Lakini pamoja na mambo yote mkataba huwa siyo msaafu wala bibilia kwamba hauwezi kubadilishwa.
Mwajili, taasisi au kampuni yoyote inapoona hakuna maslahi huwa inavunja mkataba na mwajiliwa yoyote kwa style mbali mbali!
Mbinu za kuvunja mkataba kwa waajili zimegawanyika katika makundi matatu!
A). Mwajili kuvunja mkataba kimkakati
B) Mwajili kuvunja mkataba kisheria
C).Mwajili kuvunja mkataba kimafia(kikatili)
Watu wengi huwa hawajui kwamba wajili wengi hutumia mbinu hizo kumfurusha mfanyakazi pale wakiona hakuna faida!
Hutumia mbinu ya kimkakati ikifeli, huangalia kama wanabajeti ya kuvunja kisheria (kulipa gharama zote), wakigundua hilo halina tija hutumia mbinu ya kiharamia (kikatili)
Mfano wa mbinu za kikatili huwa ni kumtegea mfanyakazi afanye kazi mazingira hatari, kuaandaa misheni maalum kumuua, kama kwenye site za ujenzi akizubaa mnampasua na greda chapu! Au kumpandisha gari lisilo na breki halafu dreva anaruka nakulitelekeza, sumu hata kumvamia n.k!
Hayo yote ni mbinu za kumuondoa mfanyakazi kama hakuna faida!
Waajili wengi akikuajili Leo kampuni ikiwa inaingiza 1 billion, ukapambana kuifanya iweze kuingiza 100 billion utaendelea kulipwa kama makubaliano yaliyo! Lakini kama ulikuta wanaingiza 1bilion wakafilisika basi watarudi kwako mfanyakazi kukupunguza!
Uhalisia ni UPI?
Uhalisia ni kwamba! Mwajili na mfanyakazi wanatakiwa watambuane umhimu kwa kujua kwamba huwa hakuna maisha ya marambili!
Hivyo kama kuna hasara mwajili awe na haki ya kuondoa mfanyakazi wakati wowote! Lakini Mfanyakazi naye asinyimwe fursa ya kukua au kuondoka endapo ametimiza masharti!
Kwamba hata kama mfanyakazi kasaini mkataba wa miaka 10 lakini kama kuna fursa mbele yake! Isionekane ni dhambi yeye kuvunja mkataba na kuilipa kampuni!
Inje ya hapo ni kukomoana tu pasipo sababu!
Waajili wengi hawapendi maendeleo ya wafanyakazi hata kama mfanyakazi katenda mema mengi!
Mfanyakazi anayohaki ya kuachana na kazi ikiwa tu kaona fursa au kaona kuna hatari kurndelea kukaa pale!
Sakata la FEITOO liwe shamba darasa kwa waajili na wafanyakazi kuthaminiana!
Hakuna mtu anaweza kuacha ugali bila sababu, mfano mnaweza kusema mimi nalipwa million 5 kimkataba, yes ni kweli kimkataba nalipwa lakini pesa hiyo inapitia mikononi mwa madalali waajili mi napata million moja tu!
Katika mazingira hayo siruhusiwi kutoka na endapo kama mazingira yatanishinda hawa waajili waweza hata kunijeruhi ili kunikomoa.
Kwa mazingira kama hayo ya Mimi kukosa imani hata wakisema wataniongezea mshahara nitakuwa mfanyakazi mjinga kwenda kufanya kazi katika mazingira hatari!
Msishangilie matatizo yakiwa mbali Bali yatumieni kujiimarisha kabla halijawakuta jambo!
Corona ilipo anza huko uchina! Tanzania tulikenua na kuwashangaa sana! Lakini hatukujua kuna Leo na kesho!
Sakata la FEI TOTO Liwaibue wapenda haki!
Binadamu huishi maramoja akiona fursa apewe akaitafte!
Wazawa wasaidiwe kukua na kuimarika!
Tujifunze kudanganya katika kujenga kuliko kudanganya Katika kuharibu!
Tunaweza kumuachia FEITOO kwa hekima hata kama kuna mivutano ya kisheria ili kudiscaurage wengine!
Akubaliwe kulipa hiyo hela YANGA, na mambo mengine ya faini feki kubwa za kuzugia kama zipo ili kutisha wengine!
Lakini chini ya kapeti huyu kijana asaidiwe akaendeleze kipaji chake!
Serikali ingilieni kati huyu kijana asaidiwe! Hakuna aliyemkamilifu! Hata tunaoshangilia kwamba kuvunja mkataba huenda hata uongozi tulionao tuliupata kwa rushwa!
Kama kijana huyu tunamtumia timu ya taifa, kama serikali tunamsaidiaje ili atimize ndoto zake?
Wazee wenye hekima husaidia vijana ili watimize ndoto!
FEITOO YUPO SAHIHI APEWE MSAADA!
Kila jambo halitokei pasipo sababu!
Ili kuweka misingi ya kisheria ya makubaliano yoyote huwa kuna mkataba!
Iko aina mbali mbali ya makubaliano!
Kuna ile ya kimaandishi na ile ya kimaneno! (Recorded contract)
Lakini pamoja na mambo yote mkataba huwa siyo msaafu wala bibilia kwamba hauwezi kubadilishwa.
Mwajili, taasisi au kampuni yoyote inapoona hakuna maslahi huwa inavunja mkataba na mwajiliwa yoyote kwa style mbali mbali!
Mbinu za kuvunja mkataba kwa waajili zimegawanyika katika makundi matatu!
A). Mwajili kuvunja mkataba kimkakati
B) Mwajili kuvunja mkataba kisheria
C).Mwajili kuvunja mkataba kimafia(kikatili)
Watu wengi huwa hawajui kwamba wajili wengi hutumia mbinu hizo kumfurusha mfanyakazi pale wakiona hakuna faida!
Hutumia mbinu ya kimkakati ikifeli, huangalia kama wanabajeti ya kuvunja kisheria (kulipa gharama zote), wakigundua hilo halina tija hutumia mbinu ya kiharamia (kikatili)
Mfano wa mbinu za kikatili huwa ni kumtegea mfanyakazi afanye kazi mazingira hatari, kuaandaa misheni maalum kumuua, kama kwenye site za ujenzi akizubaa mnampasua na greda chapu! Au kumpandisha gari lisilo na breki halafu dreva anaruka nakulitelekeza, sumu hata kumvamia n.k!
Hayo yote ni mbinu za kumuondoa mfanyakazi kama hakuna faida!
Waajili wengi akikuajili Leo kampuni ikiwa inaingiza 1 billion, ukapambana kuifanya iweze kuingiza 100 billion utaendelea kulipwa kama makubaliano yaliyo! Lakini kama ulikuta wanaingiza 1bilion wakafilisika basi watarudi kwako mfanyakazi kukupunguza!
Uhalisia ni UPI?
Uhalisia ni kwamba! Mwajili na mfanyakazi wanatakiwa watambuane umhimu kwa kujua kwamba huwa hakuna maisha ya marambili!
Hivyo kama kuna hasara mwajili awe na haki ya kuondoa mfanyakazi wakati wowote! Lakini Mfanyakazi naye asinyimwe fursa ya kukua au kuondoka endapo ametimiza masharti!
Kwamba hata kama mfanyakazi kasaini mkataba wa miaka 10 lakini kama kuna fursa mbele yake! Isionekane ni dhambi yeye kuvunja mkataba na kuilipa kampuni!
Inje ya hapo ni kukomoana tu pasipo sababu!
Waajili wengi hawapendi maendeleo ya wafanyakazi hata kama mfanyakazi katenda mema mengi!
Mfanyakazi anayohaki ya kuachana na kazi ikiwa tu kaona fursa au kaona kuna hatari kurndelea kukaa pale!
Sakata la FEITOO liwe shamba darasa kwa waajili na wafanyakazi kuthaminiana!
Hakuna mtu anaweza kuacha ugali bila sababu, mfano mnaweza kusema mimi nalipwa million 5 kimkataba, yes ni kweli kimkataba nalipwa lakini pesa hiyo inapitia mikononi mwa madalali waajili mi napata million moja tu!
Katika mazingira hayo siruhusiwi kutoka na endapo kama mazingira yatanishinda hawa waajili waweza hata kunijeruhi ili kunikomoa.
Kwa mazingira kama hayo ya Mimi kukosa imani hata wakisema wataniongezea mshahara nitakuwa mfanyakazi mjinga kwenda kufanya kazi katika mazingira hatari!
Msishangilie matatizo yakiwa mbali Bali yatumieni kujiimarisha kabla halijawakuta jambo!
Corona ilipo anza huko uchina! Tanzania tulikenua na kuwashangaa sana! Lakini hatukujua kuna Leo na kesho!
Sakata la FEI TOTO Liwaibue wapenda haki!
Binadamu huishi maramoja akiona fursa apewe akaitafte!
Wazawa wasaidiwe kukua na kuimarika!
Tujifunze kudanganya katika kujenga kuliko kudanganya Katika kuharibu!
Tunaweza kumuachia FEITOO kwa hekima hata kama kuna mivutano ya kisheria ili kudiscaurage wengine!
Akubaliwe kulipa hiyo hela YANGA, na mambo mengine ya faini feki kubwa za kuzugia kama zipo ili kutisha wengine!
Lakini chini ya kapeti huyu kijana asaidiwe akaendeleze kipaji chake!
Serikali ingilieni kati huyu kijana asaidiwe! Hakuna aliyemkamilifu! Hata tunaoshangilia kwamba kuvunja mkataba huenda hata uongozi tulionao tuliupata kwa rushwa!
Kama kijana huyu tunamtumia timu ya taifa, kama serikali tunamsaidiaje ili atimize ndoto zake?
Wazee wenye hekima husaidia vijana ili watimize ndoto!
FEITOO YUPO SAHIHI APEWE MSAADA!