Msisubiri mpaka huyu kijana afe ndio mumpe maua yake

Msisubiri mpaka huyu kijana afe ndio mumpe maua yake

Marco Polo

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2014
Posts
11,786
Reaction score
18,562
Anaitwa Beka flavor zao la yamoto band walimokuwemo Mboso, Aslay na wengineo.

Kijana anauwezo mkubwa sana wa kuimba japo mafanikio aliyonayo kimziki hayalingani na kazi kubwa anayoifanya, nimepewa lift na Mwana naisikilza Ngoma yake ya NAKUPENDA hakika ni nzuri mno.

Dogo mziki unaujua hongera sana tatizo la sisi watanzania tumezoea mpaka mtu siku afariki ndio aanze kusifiwa.
 
Tatizo MENEJEMENT, hata Aslay alianza vizuri sana kuanzia Mhudumu, Angekuona, Nibebe na zinfine ila sahivi dogo amekuwa muigizaji kama John Mazambi
Beka nae alianza vizuri na Sikinai, Libebe na Sarafina sahivi kaanza kupotea
 
Anaitwa Beka flavor zao la yamoto band walimokuwemo Mboso, Aslay na wengineo.

Kijana anauwezo mkubwa sana wa kuimba japo mafanikio aliyonayo kimziki hayalingani na kazi kubwa anayoifanya, nimepewa lift na Mwana naisikilza Ngoma yake ya NAKUPENDA hakika ni lolnzuri mno.

Dogo mziki unaujua hongera sana tatizo la sisi watanzania tumezoea mpaka mtu siku afariki ndio aanze kusifiwa.
Namkubali Beka mno
 
Umezama Kwenye Dimbwi la Mapenzi??Ngoja yakuchape utarudi humu tena na uono wa kiutofauti mnoo
 
Kujua kwake ni subjective. Wewe unaweza ona anajua, sisi tukaona hajui. Wewe kama unasifia sifia tu ila usitushirikishe kwenye upumbavu wako.
Mambo ya upumbavu yanaingiaje sasa humu, jiheshimu aisee.
 
Imba wana dar es salaam wakusikie, ukiimba nyimbo, kama unataka usikike mbing,kilosa na shinyanga au Mwanza, hutoboi.
Something else. Ajikeep na watu wa promo. Dogo hela anapata sijui anabet.aundio threesome kama aslay na kupeleka kanisani.
 
Back
Top Bottom