Msitarajie Man City kumfunga Man Utd

Ww jamaa ni hatari
 
Man u hana namna leo zaidi ya kukabidhi kikombe kwa mtani wake!
Sioni kama Man u atashinda katika mchezo wa leo, kama itakuwa hivyo basi ni bahati ya hali ya juu kwa yeye kufanya hivyo.
Zaidi ya hapo, atapambana na matokeo yake.

Leo Manchester united anakufa vizuri mno

Manfongo kwaheri, kwa heri kwa heri nakutakia maisha mema

Duh wamesawazisha bwana

Man c 2 2 Man u

yule refa kum@ tu,hajui chochote

endelea kujidanganya...llazma ndoo inyanyuliwe leo
Mourinho is a tactician, asingekubali kufungwa kijinga gemu hii... YAANI PEP GARDIOLA ABEBEE KOMBE KIRAHISI TU?? tena mbele ya mourinho??

Polen wakaanga sumu, mkawasimulie baba zenu sasa!!

Manchester is RED!! [HASHTAG]#GGMU[/HASHTAG]
 
Mourinho is a tactician, asingekubali kufungwa kijinga gemu hii... YAANI PEP GARDIOLA ABEBEE KOMBE OLD TRAFOLD?? tena mbele ya mourinho??

Polen wakaanga sumu, mkawasimulie baba zenu sasa!!

Manchester is RED!! [HASHTAG]#GGMU[/HASHTAG]
Kumbe Leo mechi imekezewa OT ?


Sasa mbona man city walikuwa ndyo wapo nyumbani?

Au mpira hukuangalia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…