Msitarajie Man City kumfunga Man Utd

......
.....kunywa kirikuu saba za Serengeti ntakuja kulipa
 
Hii post niliiona tangu jana, lakini sikutaka kuchangia mpaka mpira utakapo isha.

Nikajisemea kimoyomoyo kwamba huyo Mou akitumia mbinu ya Klopp lazima City afe palepale...
 
mkuu mbona mimi nimeweza nakesho hasubui nakwenda chukua pesa zangu SUPABETS
 
Janja ya guardiola ni sane na midfield..sane alikutana na jitu..city ndo huwa wanabebwa..isitoshe leo wamecheza sana faulo kipindi cha kwanza refa akakausha...spurs anampiga city..hapo ubingwa mpaka may
kipindi cha kwanza kilikua fair..ila chapili refa alwabeba sana man u....mtu akiguswa kidogo faul alafu city mtu akichezewa rafu anatoa advantage na move ikiisha anapotezea hatoi kadi..inafika mahali anakataa penati ya wazi kabisa *****
 

Duhh ahsante zote hizo utadhani wamecheza final bwana!! πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ ila nawapa hongera,, though sikutaka washinde...
 


Umetabiri vizuri aise hongera!

Ebu tabiri na hapa..
Uefa nani atabeba ndoo?
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji174]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…