Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kwa kuwa baadhi ya taratibu ziliwekwa kisheria hazikufuatwa vilivyoNini chanzo cha uchaguzi wa uraisi Kenya kufutwa udanganyifu au baadhi ya taratibu zilikiukwa?
Kweli....inatisha...ningalikuwa mimi ningejisort haraka haraka...Asylum watapewa mara moja...based just on these utterances...Hao majaji si waombe asylum haraka aisee...!
Majaji wapo 6Majaji wa Afrika jifunzeni kwa Wakenya hiyo ndio demokrasia ya kweli, mtu kupewa 500000000 K money na kukataa sio mchezo, huyo ni mcha Mungu wa kweli. Kila la heri Wakenya, Amani kwenu. AMEN
Sent using Jamii Forums mobile app
Uhuruto hawataki mambo ya nusu mkate..Kazi ipo ila naona kama hakuna uchaguzi bali kuna serikali ya Mseto inafatia hapa
Hujamuelewa anamaanisha nini itakua...Sasa mbona yeye ameendelea kuongea kiingereza hicho hicho alichowaponda hao majaji...