Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Kapelo ziwalipie tozo na kuwapunguzia ukali wa maisha Sasaš¤Unawaeleza ukweli.Halafu baadhi yao wanaweka vizuri kapelo zao walizogawiwa na CCM wakati wa kampeni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kapelo ziwalipie tozo na kuwapunguzia ukali wa maisha Sasaš¤Unawaeleza ukweli.Halafu baadhi yao wanaweka vizuri kapelo zao walizogawiwa na CCM wakati wa kampeni.
Sio TU kofia,pia vitenge na hata wakati fululanihadi pakiti za chumviUko sahihi mkuu, lakini mtoa mada anamaanisha kwamba kwa nini tunafanyiwa hivyo na tunakubali? Wananchi wakiwekewa viongozi wasio wachagua wanapaswa kuwakataa kwa vitendo mpaka wajue kuwa tumekataliwa.
Lakini sie tukipewa kofia na vitenge basi ni vigelegele na shangwe huku wao wakigongeana glass za mvinyo wakisema mafala tumewaweza.
Bila kukiwasha hata kwa ngazi ya mtaaani tuu hakuna changes zozote zaidi ya kuambiwa "nendeni Burundi"
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Ungewaambia wauze kofia na kanga zao wapunguze ukali wa maishaš¤øš¤øš¤øKuna wanaccm wanalalamika sana mtaani. Nabaki nacheka tu.
Kapelo zimechakaa vibaya sana.Hata jua tu hazikingi kwa kutoboka.Kapelo ziwalipie tozo na kuwapunguzia ukali wa maisha Sasaš¤
Yupo mdau amesema wakale walipopeleka mboga,ila wasirudi huko mara ya pili,na waachane kabisa na wanao wahonga kofia zile za kijani na kangaššKapelo zimechakaa vibaya sana.Hata jua tu hazikingi kwa kutoboka.
Maisha ni magumu, lakini nafarijika sikushiriki dhambi ya kuchagua hili jinamizi ,Kuna wanaccm wanalalamika sana mtaani. Nabaki nacheka tu.
Sie tulimpigia kura magufuli sio samia. Magu angekuwepo tusingelia.Malalamiko Mara tozo Mara sijui umeme kukatika mafuta kupanda tusisumbuane.
Watanzania ndio tatizo zaidi siku za uchaguzi zikifika mnajifanya hamnazo hampigi kura na wengine mkipiga mnapigia ccm upuuzi.
Acheni kulia lia sasa haya matozo na ujinga ujinga wote unao endelea ni zao la ilani ya ccm Tatizo hatusomi ilani za vyama na kuzielewa.
Tundu Lissu kwa muda mchache wa miezi 2 aliyopiga kampeni alijaribu kutoa elimu ya uraia lakini wabongo wapi wakawa wanamtukana.
Aliyoyasema yote ndio yanayoendelea kuhusu ufisadi, mfumuko wa bei utawala wa kishikaji kutawala watu baada ya kuongoza watu.
Acha tu Mama Samia apae aende ulaya kumzika malikia kwa pesa zenu za tozo huku mikoa karibia 15 ukiwa inapishana kwa mgao wa umeme.
Hakuna update yeyote juu ya bwawa la Mwalimu nyerere.
Makamba yupoyupo tu nchi inaanguka kwenye nishati watu wapo busy na mwigulu Ila niwaambie Makamba ni tatizo kuliko Mwagulu na soon ile biashara ya Generators imeanza tena.
Ccm haijawai kuwa serious kuongoza hili taifa na Kama hamtaki iondoke msilalamike pigeni kimya.
Ongeza tozo za Gest, Condom, weka tozo kila sehemu maana sikio la kufa halisikii dawa.
Aliyewaweka wabunge wa CCM alitaka rasilimali za nchi ziwafaidishe wanyonge. Kilichomwondoa ndo sababu ya tozo.
Kwamba kuna majimbo yatapinga tozo?
Kwa hiyo wabunge wa CCM wanajali wanyonge?.Aliyewaweka wabunge wa CCM alitaka rasilimali za nchi ziwafaidishe wanyonge. Kilichomwondoa ndo sababu ya tozo.
Kuna maneno nilitaka kuyaongeza hapo chini nikapotezea tu...Uko sahihi mkuu, lakini mtoa mada anamaanisha kwamba kwa nini tunafanyiwa hivyo na tunakubali? Wananchi wakiwekewa viongozi wasio wachagua wanapaswa kuwakataa kwa vitendo mpaka wajue kuwa tumekataliwa.
Lakini sie tukipewa kofia na vitenge basi ni vigelegele na shangwe huku wao wakigongeana glass za mvinyo wakisema mafala tumewaweza.
Bila kukiwasha hata kwa ngazi ya mtaaani tuu hakuna changes zozote zaidi ya kuambiwa "nendeni Burundi"
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Unataka kutuaminisha kuwa pamoja na kutochanganya betri na magunzi bado torch haziwaki?Hizo betri zitakuwa zime expire na zinavuja sumu.Maendeleo yanacheleweshwa na wapinzani!Wale wabunge wengi wa CCM kule bungeni ndio walipitisha tozo, sio watanzania, usitusingizie, na wala wale wabunge hawakuchaguliwa na watanzania, waliwekwa na aliyekuwa mwenyekiti wao.
Usicheke bali Tafakari kwa kina.. Huu ni wakati wa upinzani kuandaa mtu makini wa kuchukua nchi.. Hao wote wanaolalamika wapo tayari kuchagua mtu mwingine toka upinzani.. Ila kama mtaendelea kuleta wagombea mnaowataka nyie, mtaendelea kusema tumeibiwa kura..Kuna wanaccm wanalalamika sana mtaani. Nabaki nacheka tu.