Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Nyie ni matahira, si mnasemaga hapa kuwa hawakuchaguliwa?Unawaeleza ukweli.Halafu baadhi yao wanaweka vizuri kapelo zao walizogawiwa na CCM wakati wa kampeni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie ni matahira, si mnasemaga hapa kuwa hawakuchaguliwa?Unawaeleza ukweli.Halafu baadhi yao wanaweka vizuri kapelo zao walizogawiwa na CCM wakati wa kampeni.
Kuna sehemu nimeandika walichaguliwa?Uwe unatuliza kiuno kabla ya kusoma maelezo.Nyie ni matahira, si mnasemaga hapa kuwa hawakuchaguliwa?
Kwani hawaibi kura? Kama huamini subiri 2025 kama Samia mtamtoa nyie wanaccm mliokata tamaa.Usicheke bali Tafakari kwa kina.. Huu ni wakati wa upinzani kuandaa mtu makini wa kuchukua nchi.. Hao wote wanaolalamika wapo tayari kuchagua mtu mwingine toka upinzani.. Ila kama mtaendelea kuleta wagombea mnaowataka nyie, mtaendelea kusema tumeibiwa kura..
Kwani wabunge wa mwendazake hata wajumbe si waliwakataa?Nyie ni matahira, si mnasemaga hapa kuwa hawakuchaguliwa?
Haha huwa nawananga kichizi.Maisha ni magumu, lakini nafarijika sikushiriki dhambi ya kuchagua hili jinamizi ,
Wana CCM walaamini wataishi peponi, badala yake kilio kimezidi hata hao wapinzani,
Ndio hapo sasa. Samia kama samia hana tatizoWanamlalamikia samia badala ya kulalamikia mfumo uliomleta samia
😅😅😅Ungewaambia wauze kofia na kanga zao wapunguze ukali wa maisha🤸🤸🤸
Na mlikuwa wapi kupinga Hilo ? Si mliambiwa muingie Street kuandamana kupinga uharibifu wa uchaguzi ?Wale wabunge wengi wa CCM kule bungeni ndio walipitisha tozo, sio watanzania, usitusingizie, na wala wale wabunge hawakuchaguliwa na watanzania, waliwekwa na aliyekuwa mwenyekiti wao.
Nendeni burundiWale wabunge wengi wa CCM kule bungeni ndio walipitisha tozo, sio watanzania, usitusingizie, na wala wale wabunge hawakuchaguliwa na watanzania, waliwekwa na aliyekuwa mwenyekiti wao.
Ndio inatakiwa iwe hivyoKweli hiyo inaweza wafanya watu wawe na akili, leteni ujinga mtaumia wenyewe, halafu iwe marufuku kuhama hama!!ikibidi kuwe na VISA, sio wajinga mnakusanyana huko mnachagua mzigo, yakiwashinda mnakimbilia kwenye neema za wengine.hahaaaaa
Kwani huyo Samia alikuwa chadema ? au baada ya kufa huyo mjinga wenu alitokea wapi ? Ni Nani alimchagua huyo mama yenu huyo hakuwepo hawamu ya 5 ? Tuliza kalio Chini sasa na tusisikie kelele zako za kipuuzi kulalamika tozo na ugumu WA maishaSie tulimpigia kura magufuli sio samia. Magu angekuwepo tusingelia.
We ulimuona lissu ana maana kwako na sie tuliona Magu ana maana kwetu.
We ni keng£ ,kusoma hujui kichwa juu juu kama pimbiNyie ni matahira, si mnasemaga hapa kuwa hawakuchaguliwa?
Kwa Nzee ya tozo sio,ngoja nitangulie 🏃🏃🏃Nendeni burundi
Usijute andaa kichinjioNajutaa
Huyo ndio wale wa kuhongwa kofia na kanga,asikuambue kichwa,halafu maisha yakimgonga anakujatupigia kelele humu🤔We ni keng£ ,kusoma hujui kichwa juu juu kama pimbi
Idiot
Simba na Yanga tu !!
Nchi hii wajinga ni wengi mno na ndio wapiga kura wengi!!na ndio wanaopigika sana na maisha, lakini wakati wa uchaguzi wanajifanya hamnazo!!na ndio mtaji mkubwa wa chama tawala!!Ndio maana kuna jamaa alipendekeza angalau kwenye katiba iingizwe mpiga kura lazima awe na elimu angalau kidato cha sita!!!
Wewe ambaye huamini kama atatoka ndio umekata tamaa.. Ila mimi bado sijakata tamaa na ninaamini kuwa msipomleta Lisu atatoka..Kwani hawaibi kura? Kama huamini subiri 2025 kama Samia mtamtoa nyie wanaccm mliokata tamaa.