Hehehe una chuki binafsi....So far Lissu is the best candidate Tanzania inajua hivyo na dunia pia.Wewe ambaye huamini kama atatoka ndio umekata tamaa.. Ila mimi bado sijakata tamaa na ninaamini kuwa msipomleta Lisu atatoka..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hehehe una chuki binafsi....So far Lissu is the best candidate Tanzania inajua hivyo na dunia pia.Wewe ambaye huamini kama atatoka ndio umekata tamaa.. Ila mimi bado sijakata tamaa na ninaamini kuwa msipomleta Lisu atatoka..
Acha wanyooshwe.. ndo gharama za ujinga.. 😎Nchi hii wajinga ni wengi mno na ndio wapiga kura wengi!!na ndio wanaopigika sana na maisha, lakini wakati wa uchaguzi wanajifanya hamnazo!!na ndio mtaji mkubwa wa chama tawala!!Ndio maana kuna jamaa alipendekeza angalau kwenye katiba iingizwe mpiga kura lazima awe na elimu angalau kidato cha sita!!!