Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Hello 👋
Wiki hii nilipeleka mtoto wangu shule uko Arusha nikiwa na rafiki yangu naye akimpeleka mwanae shule zipo tofauti ila mkoa mmoja
Baada ya kufika pale shule tukaandikisha nikaenda kumtafuta mwalimu wa darasa ni mkabidhi mtoto na nichukue ripot yake baada ya kuja kupata ripot ndio nikaona mtoto amepata 2dvn nikawa nampongeza sana sasa yule mshikaji akaanza kufoka unampongeza nini hapo wakati iyo 2 ya mwisho aliyo pata
Ikabidi na mm nifoke amejitahidi sana ana deserve kupata zawadi mimi wala sijawai fika uku so kwake kaweza lazima apate zawadi nikamgeukia mtoto nikamuuliza unataka kula nini? Akasema nikaomba kibali kwa mwalimu tukaenda fast food pale nikamwambia agiza unachotaka nitalipia
Yule mshikaji akawa anamaind kuwa naamlea mtoto vibaya af wakiume nikamulewesha kidogo akanielewa sasa alipo maliza kula nikaanza sasa kumpa no nondo Pole pole tukamludisha shule tukasepa
Shida inakuja kwa mwanae tulipo fika pale kapewa ripot mtoto nae ana 2 ila baba anataka kumkata makofi mtoto uku akisema anapoteza pesa zake nikamzuia nikamuita mtoto pembeni nikaongea nae vizuri baada ya hapo nikampa 20k nikamwambia jitahidi umefanya vyema sana tena sana mtoto akawa cool akaelewa tukamuacha shule
Hapo nani kakosea?
Wiki hii nilipeleka mtoto wangu shule uko Arusha nikiwa na rafiki yangu naye akimpeleka mwanae shule zipo tofauti ila mkoa mmoja
Baada ya kufika pale shule tukaandikisha nikaenda kumtafuta mwalimu wa darasa ni mkabidhi mtoto na nichukue ripot yake baada ya kuja kupata ripot ndio nikaona mtoto amepata 2dvn nikawa nampongeza sana sasa yule mshikaji akaanza kufoka unampongeza nini hapo wakati iyo 2 ya mwisho aliyo pata
Ikabidi na mm nifoke amejitahidi sana ana deserve kupata zawadi mimi wala sijawai fika uku so kwake kaweza lazima apate zawadi nikamgeukia mtoto nikamuuliza unataka kula nini? Akasema nikaomba kibali kwa mwalimu tukaenda fast food pale nikamwambia agiza unachotaka nitalipia
Yule mshikaji akawa anamaind kuwa naamlea mtoto vibaya af wakiume nikamulewesha kidogo akanielewa sasa alipo maliza kula nikaanza sasa kumpa no nondo Pole pole tukamludisha shule tukasepa
Shida inakuja kwa mwanae tulipo fika pale kapewa ripot mtoto nae ana 2 ila baba anataka kumkata makofi mtoto uku akisema anapoteza pesa zake nikamzuia nikamuita mtoto pembeni nikaongea nae vizuri baada ya hapo nikampa 20k nikamwambia jitahidi umefanya vyema sana tena sana mtoto akawa cool akaelewa tukamuacha shule
Hapo nani kakosea?