Msiwakatishe watoto tamaa kwa kutaka wawe kama ninyi

Msiwakatishe watoto tamaa kwa kutaka wawe kama ninyi

Kila mzazi ukimuuliza performance yake shuleni atakwambia alikuwa kipanga wa darasa.

Ukiendelea kumuuliza mbona umeishia form four ataanza kukupiga biti "ushakuwa, naona asa ivi tunafanana umri.
Mimi nakumbuka nikiwa form 2 nilipata 4 27 dada angu alikuwa ananisomesha alinitukana sana nilishindwa jizuia nikamjibu mbele ya shemeji mbon wwe unatumia chet fek kazin

Aliend kumuambia mwalimu wangu wa darasa ambaye nilikuwa namuita kaka kutokana na ukaribu wake na shemeji nilitaandikwa ila dada alienda kusoma mwaka uho uho akarudia mtihani
 
😁😁 Yes mkuu Napenda Sana nyuzi zako una kitu kikubwa kichwani
Kias chake mkuu si unajua tena mimi by professional ni social worker so imenisaidia sana na ninaipenda taalum mara nyingi na practice kwenye familia yangu
 
Kila mzazi ukimuuliza performance yake shuleni atakwambia alikuwa kipanga wa darasa.

Ukiendelea kumuuliza mbona umeishia form four ataanza kukupiga biti "ushakuwa, naona asa ivi tunafanana umri.
Hatari sana sisi wazazi!
 
Back
Top Bottom