Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
Nakubaliana na yeye😊🙌Sawa umekubali au umesusa[emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakubaliana na yeye😊🙌Sawa umekubali au umesusa[emoji1787][emoji1787]
Na wewe unamuacha mkeo afanye hivyo? Watoto wanatakiwa kuongeleshwa kwa upole mimi sijisifu ila mtoto akikaa kwangu akikosea namsema sana tena nampa maneno ambayo hawezi kulala atayawaza sana kuna siku mtoto wa dada yangu alimwambia mama yake sitaki kwenda kwa uncle kukaa maana ukikosea anakusema mpaka unajuta kwanini ulikoseaKabisa tukana tukana Kila dakika humfanya mtoto awe sugu Mimi sijawahi kuwachapa watoto kwanza nawaona wadogo hawastahili adhabu mama yao ni butua mara pumbavu nyie we mbwa acha hiki acha Kile basi tafrani
Asili yeti ipi mkuu?Mkuu hii mifumo ya kikatili tuliachiwa na wakoloni wala sio asili yetu .
Au utasikia eti uyo wakwaza anafundishwa na mwalimu yupiUnanikumbusha mimi nikiwa kwenye top three nafurahi mno na kumpelekea bi mkubwa ripoti
Bi mkubwa badala ya kupongeza anaanza kukandia kwa kusema "kwanini huwi wa kwanza, kwani huyo wa kwanza ana miguu minne?"
Upendo .Asili yeti ipi mkuu?
Ahahhah kabisa mkuuMimi mtoto wangu wa seko akipata C tu inatosha kwenye Kila somo
Nimeongea nae asitukane watoto lakini naona anaendelea nimeachana nae ila nikiwa around hawezi kuwapiga maana anajua sipendi ila najua atakua anawapa kifinyo nikiwa sipo anasema nadekeza watoto watakuja kuharibikiwaNa wewe unamuacha mkeo afanye hivyo? Watoto wanatakiwa kuongeleshwa kwa upole mimi sijisifu ila mtoto akikaa kwangu akikosea namsema sana tena nampa maneno ambayo hawezi kulala atayawaza sana kuna siku mtoto wa dada yangu alimwambia mama yake sitaki kwenda kwa uncle kukaa maana ukikosea anakusema mpaka unajuta kwanini ulikosea
mtu mzima huna haja ya pongezi ukijielewa nini kipaumbele chakoActually sio mtoto tu mtu yoyote anahitaji appreciation kuweza kufanya vizur zaid
Kabisa ila wazazi hatutambui ilokumpa presha kubwa mtoto haimuongezei bidii bali hofu tupu
Mpe darasa la maleziNimeongea nae asitukane watoto lakini naona anaendelea nimeachana nae ila nikiwa around hawezi kuwapiga maana anajua sipendi ila najua atakua anawapa kifinyo nikiwa sipo anasema nadekeza watoto watakuja kuharibikiwa
Kabisa mkuumtu mzima huna haja ya pongezi ukijielewa nini kipaumbele chako
Good parenting style! Hongera sana! Muhimu pia kumsisitiza asibwetekeHello 👋
Wiki hii nilipeleka mtoto wangu shule uko Arusha nikiwa na rafiki yangu naye akimpeleka mwanae shule zipo tofauti ila mkoa mmoja
Baada ya kufika pale shule tukaandikisha nikaenda kumtafuta mwalimu wa darasa ni mkabidhi mtoto na nichukue ripot yake baada ya kuja kupata ripot ndio nikaona mtoto amepata 2dvn nikawa nampongeza sana sasa yule mshikaji akaanza kufoka unampongeza nini hapo wakati iyo 2 ya mwisho aliyo pata
Ikabidi na mm nifoke amejitahidi sana ana deserve kupata zawadi mimi wala sijawai fika uku so kwake kaweza lazima apate zawadi nikamgeukia mtoto nikamuuliza unataka kula nini? Akasema nikaomba kibali kwa mwalimu tukaenda fast food pale nikamwambia agiza unachotaka nitalipia
Yule mshikaji akawa anamaind kuwa naamlea mtoto vibaya af wakiume nikamulewesha kidogo akanielewa sasa alipo maliza kula nikaanza sasa kumpa no nondo Pole pole tukamludisha shule tukasepa
Shida inakuja kwa mwanae tulipo fika pale kapewa ripot mtoto nae ana 2 ila baba anataka kumkata makofi mtoto uku akisema anapoteza pesa zake nikamzuia nikamuita mtoto pembeni nikaongea nae vizuri baada ya hapo nikampa 20k nikamwambia jitahidi umefanya vyema sana tena sana mtoto akawa cool akaelewa tukamuacha shule
Hapo nani kakosea?
Hilo Zazi ungeliuliza lenyewe lilipata division gani? Ile kuna wazazi wengine ni wa kuhurumia tu!Hello 👋
Wiki hii nilipeleka mtoto wangu shule uko Arusha nikiwa na rafiki yangu naye akimpeleka mwanae shule zipo tofauti ila mkoa mmoja
Baada ya kufika pale shule tukaandikisha nikaenda kumtafuta mwalimu wa darasa ni mkabidhi mtoto na nichukue ripot yake baada ya kuja kupata ripot ndio nikaona mtoto amepata 2dvn nikawa nampongeza sana sasa yule mshikaji akaanza kufoka unampongeza nini hapo wakati iyo 2 ya mwisho aliyo pata
Ikabidi na mm nifoke amejitahidi sana ana deserve kupata zawadi mimi wala sijawai fika uku so kwake kaweza lazima apate zawadi nikamgeukia mtoto nikamuuliza unataka kula nini? Akasema nikaomba kibali kwa mwalimu tukaenda fast food pale nikamwambia agiza unachotaka nitalipia
Yule mshikaji akawa anamaind kuwa naamlea mtoto vibaya af wakiume nikamulewesha kidogo akanielewa sasa alipo maliza kula nikaanza sasa kumpa no nondo Pole pole tukamludisha shule tukasepa
Shida inakuja kwa mwanae tulipo fika pale kapewa ripot mtoto nae ana 2 ila baba anataka kumkata makofi mtoto uku akisema anapoteza pesa zake nikamzuia nikamuita mtoto pembeni nikaongea nae vizuri baada ya hapo nikampa 20k nikamwambia jitahidi umefanya vyema sana tena sana mtoto akawa cool akaelewa tukamuacha shule
Hapo nani kakosea?
Napenda kuongea na mtoto kwa kumfikirisha sanaGood parenting style! Hongera sana! Muhimu pia kumsisitiza asibweteke
🤣🤣🤣 acha kabisa watu tunatofautiana akili mitazamo na ata kutendaHilo Zazi ungeliuliza lenyewe lilipata division gani? Ile kuna wazazi wengine ni wa kuhurumia tu!
Kila mzazi ukimuuliza performance yake shuleni atakwambia alikuwa kipanga wa darasa.Hilo Zazi ungeliuliza lenyewe lilipata division gani? Ile kuna wazazi wengine ni wa kuhurumia tu!
🤣🤣🤣 ako ka certificate inanisaidia mkuuKumbe wa Jamaa Pamoja na kusoma certificate ya development community Mwalimu Nyerere Memorial Academy kumbe una Akili Sana yaani wewe ndo unafaa kuitwa Baba
😁😁 Yes mkuu Napenda Sana nyuzi zako una kitu kikubwa kichwani🤣🤣🤣 ako ka certificate inanisaidia mkuu