Msiwalaumu kina Zari,Wolper,Wema,Shilole,, kuhusu dogodogo

Kila mtu na akipendacho. Yaani mi nafurahi zaidi mwanaume anizidi kama 10 yrs hivi, asiwe na kitambi, mwenye miguvu yake..anikunje nikunjike!
Kweli kama usemavyo kuwa kila mtu na akipendacho na ndiyo unaweza kuta mtu anapenda ugali kuliko hata chips,lakini hayo ni mapenzi tu ya mtu ila chips zina utamu wake..je wewe unazungumziaje aliyosema mleta mada kuhusu watoto?
 
Sawa tumekuelewa,,,wewe ulikua unatakaje
 
Vitoto havifanyi haya mambo. Ila vijana wadogo wa umri ulioutaja wanachofanya ni kuweza kupiga goli nyingi za hapo kwa hapo. Tukikua ni goli moja ama mbili ila ni dakika za ya 89 au za nyongeza. Muda wote ni pasi kila sehem ya uwanja. Sasa hii ndo kandanda.
Hata kweye soka timu za magoli ya mawe ndo tunakua sasa. Tulikua tunafungana goli 10 kwa 15. Ila kwenye mpira ambapo kina ronaldo na mesi wanacheza ni mpaka penati.
Juzi tu taifa stars imeicharanga bafana bafana bao moja bila.
Sasa labda kama unapenda shawaha nyingi vijana wadogo wanafaa. Ila wakusugua hasa ni sisi sa miaka ya 40 kuendelea
 
Wengi husema na kulaumu kuwa eti hawa wanawake hutembea na wanaume wadogo mfano
Zarina na daimond
Wolper-harmonize
Wema-idris
Shilole-nuhu


Kwani nani anawalaumu?
 
Kuna unachokitafuta kwa Uzi huu, na utakipata hakya nani!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji38]
 
Ukweli ni kuwa mabinti wadogo washamba wa maisha, njaa njaa, ulimbukeni na wasumbufu mno. Implication: No peace of mind!

Ila Wanawake wakubwa wanakuwa experienced na maisha tayari, very understanding na wengi wanatafutaga furaha ya mapenzi kupitia kukazwa tu hawana usumbufu zaidi.
Implication: Great peace of mind!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…