Msiwalaumu wadada kutembea na wazee

Msiwalaumu wadada kutembea na wazee

Ikiwa ndio mawazo yako hayo Mungu akusaidie. Ndio maana magonjwa hayaishi. Ndio maana wengi wanalea watoto wasio wao. Ikiwa umempenda mzee kwaajili ya pesa na ukawa na kijana ambaye anakutosheleza kimapenzi hapo tunamaanisha asilimia 60 wanawake wa Dar wanamitara yaani wanawanaume zaidi ya mmoja.
 
sio bongo tu hata huku tuliko,, expat ukiingia mjini tayari walishajua na namba yako ya simu walisha ipata so .... utashangaa mdada anakupigia simu akijifanya anafanya kazi UN au nasoma university maarufu.. wewe na ukambunga wako ukiigia kichwa kichwa utaambulia kupanda ndege na mkataba ukiisha unarudi home mikono mitupu...
 
Ukiwa na Pesa hayaji mapenzi.....wanakuja machangudoa ambao wameshindwa kujipanga road
 
Hata ukitukana kwenda angaza kwa miguu na kwenda na vogue yangu kipi bora nyoooooo mnajifanya nyie vijana hamna ngoma kumbe mmekwisha habari zenu
Just quick qn,ulikioma cheti cha angaza cha Huyo mzee?
Wadada bana wengi wenu ubongo mdogo sana u don't think u can work na kupata those vx by uaself duuu?
Na bado mnataka haki sawa?manina
 
Hata ukitukana kwenda angaza kwa miguu na kwenda na vogue yangu kipi bora nyoooooo mnajifanya nyie vijana hamna ngoma kumbe mmekwisha habari zenu

Ngoja nikuongezee like ya maandishi
 
Hahaaaa! We waache TEAM FREE PU! Wagawiane bureeeee kwa chati! Mjini hapa sijaja na mbio za mwenge ili nipake rangi majogoo![/color]

Hahahaha nimecheka sana.
 
Hiyo ndio sababu inayowafanya wadada wengi wafumuliwe marindaz...kama ulikuwa hujui..., ungechukua na namba yake ili uwasiliane nae nawe uonje asali yake.
 
key point...

MONEY POWER and WEALTH.

hakuna cha zaidi hapo!

DAR ES SALAAM HII HII UPENDWE TU FROM NOWHERE?

mazungumzo yoote from A to Z ni costing tu zinazungumzwa, tena zimelalia upande mmoja tu wa mzee!

beste.. upo??
 
money16.png


MoneyTalks-main_Full.jpg


hide-your-girl-money-the-money-team-is-out-tonight.png
 
Back
Top Bottom