Msiwalaumu wadada kutembea na wazee

Msiwalaumu wadada kutembea na wazee

caring...ina maana pana sana na hutegemea na mtu anavoichukulia,wewe naona umeweka pesa mbele,wenzako wakurya caring ni ashushiwe kifinyo nzito,sema hawa wazee ni adabu chafu,utakuta hata familia yake haipati aina ya huduma hizo za hicho kicheche,hawana lolote!
 
Wazee waacheni tu wanajua nini thamani ya mwanamke, waache vijana waendelee kulialia tu.
 
Hapo ndipo wazee viagra inawahusu sana kulipa kisasi cha pesa yake. mwisho kudanja kifuani mwa binti
 
Wazee twawapenda atii,kabao kamoja mzee hoi anaangukia pembeni ka bata na mshiko anatoa wa maana!sijaandika mm,ni hili dole gumba lina kiherehere lol!

Kwa hiyo vijana tunaokwenda tripu nne na mshiko hakuna ndio imekula kwetu?
 
wazee wamemaliza na kutimiza future zao kama watoto,nyumba, gari na maendeleo mengine ya kiuchumi
so wanatafuta wa kufa nae tu endeleeni kufurahia vizawadi
reference liumba na zawadi ya gari jekundu
 
Huo ni udukuzi. Ulikuwa unasikiliza, yanakuhusu nini? Tabia mbaya hiyo.
Nimepanda lift kwenye moja ya jengo maarufu na refu hapa mjinikati karibu na Ohio st. Niko ndani ya lift mzee mmoja smart anongea na simu kwa sauti ya maringo , upole na yenye kujiamini, kulikua kimya hivyo unasikia kabisa upande wa pili ni sauti ya kasichana mazungumzo yalikua hivi.

Mzee - What do you mean..I've told you before not to worry it is within my capability usichukue gari ya chini, chagua landcruiser au yoyote ya juu.

Mdada.- '............. .... ....... ..... ........ ........ .... ............

Mzee. - Ok no problem, njoo sasa hivi uchukue cheque kwa ajili ya kuwalipa NSSF niliongea na mkurugenzi wake akanipromse a nice location for your appartment.

Anyway we njoo ukifika go to reception I have already reserve a place, just wait me in the room nina kikao na waziri nikimaliza nakuja.

Niliwai kufika nikatoka liftini nikamuacha bado anaongea.

Kwa kweli niliona hamna sababu ya kuwasema wadada wanaotembea na wazee this dudes knows how to care jamani.
 
And all the piece of mind on earth doesnt put food on the table does it? Peace of mind unajambishwa kodi ya watu si utakunyaaaaa? Easier said than done!

individual efforts will put food on the table excluding kutembea na wazee if one thinks well
 
Back
Top Bottom