Hereby declare my interest , Mimi ni Muumini wa Damu kabisa wa Magufulification of Tanzania !!.
JPM was a kind of President tulomuhitaji Kwa miaka mingi , he was a Man of his words, a Man who made things happen .
Lets speak the truth ,Tanzania's current economic shambles , Social ,Cultural and political calamities are largely due to leadership failure by past governments.
Nani Asiyejua kua Mtangulizi wake ndio alovuta Mpunga na mikataba ambayo Leo hii imetuletea Ushoga?.
Nani asojua Ufisadi mkubwa mkubwa wakutisha ulofanywa na huyu Mtangulizi wake ??.
Kuna Kipindi kilichokua na Ufisadi, wizi, umasikin mkubwa, Wapinzani mpaka Viongozi wa Dini kula Rushwa waziwazi kama ilivyokua Kwa Uongozi wa Mtangulizi wake ??.
Nani Asiyejua JPM Alikuja kua Mkombozi aliyekinusuru Chama Cha Mapinduzi na kukifichia aibu Machoni mwa Watanzania ??.
Nani Asiyejua kua JPM alirithi Nchi iloharibika kwelikweli, huku hazina kukiwa hamna Kila kitu??.
Nani Asiyejua JPM alirithi Nchi ambayo watumishi wa Umma, hawakua na Tena na Maadili, nidhamu , na walijawa madharau?.
Nani Asiyejua kua JPM alirithi Nchi ambayo haikua na strategical projects yoyote ?
Nani Asojua JPM alirithi Nchi ambayo ilijawa Rushwa, Masikin akazidi kua Masikin, Huku wachache wakuendelea kujikimbikizia Mali na watoto wao??.
Late President JPM should not be demonized and we as Tanzanians na vile mnatuita ( Sukuma Gang ) we shall stand by to condemn any humiliation and any bad mouthing directed against our Late beloved Magufuli .
Watanzania ni lazima tusimame nyuma ya Misingi aloiacha HAYATI JPM Kuhakikisha kwamba Serikali hii iliorithi mikoba yake inatafuta appropriate solutions to the country's problems na Serikali inawajibika kama ilivyokua Kwa JPM... JPM alitatua Tatizo hapohapo, yalohitaji muda aliyapa muda.
JPM alisema, Naondoka ila nitarudi mwezi wa Saba, nikija nikute pamekamilika, na kweli Mwezi wa Saba alirudi, naole wako akute Maneno na sio kazi ilokwisha ... Utamjua !!!!!
Leo Nchi imerudi hatua za miaka kumi nyuma, mtu anaboronga anahamishwa, watu wanakula Pesa tu za Nchi, Nchi Haina hata bei elekezi,. sahizi watuingizia ma Michele na ma vyakula ya GMO , hayapimwi Wala nn !!.
Taasisi nyingi zimelala, watu wamelala, wakiamka ni kupiga Hela , Kila Mahali ni vilio, Viongozi vilio, Wananchi vilio,... Hivi hii Nchi ya wapi?? Tunaenda wapi kama Nchi??.
Tanzania Must move forward and this requires All people in this country to support the Legacy left by Late JPM.
Mtu anapofurahia Kifo Cha JPM ,Mbaba alojitoa Maisha yake, Baba aloamua kutufanya tuamini nasisi Watanzania tunaweza is just unpatriotic, disingenuous and intellectually dishonest.
Kiongozi wa Nchi unajinadi Et "Hata Mimi sipendi kutengua , kuntengua mtu ni fedheha'.... Kweli ??? Unawaambia nn?.
Unatafuta kupendwa ?.... Ndio imefikia hatua unawaruhusu wale Kwa Kamba zao?? Hatima Kila kukicha wanagombaniana Kupiga Hela za Wananchi, Miradi inasimama, alionekana Mmoja hapendi Rushwa, mnamuwashia moto, Mara vile Mara hivi.... Kama Taifa tunaenda wapi?? .
I want you ( Msoga and the Fake opposition leaders ) to know that , the lies and malicious propaganda peddled against our Late Beloved President JPM will not work anywhere in Country, will not work anywhere and this is simply because Tanzanians knows their real enemy!!.
Magufulinists believes in Peace, development and well being of Tanzania na hivo mashetani wote mnaofanya Siasa za Kumchafua Hayati JPM na kuwagawa Watanzania on the basis of tribal and regional politics ,muache Mara Moja.
MUWENI na Aibu hata kidogo, mtalaaniwa na VIZAZI vyenu, Mambo makubwa alitufanyia Huyu Mjoli wa Mungu JPM Kwa miaka yake mitano ,tulipaswa hata TUMJENGEE SANAMU. ( Kwa kuhesabu Mazuri makubwa aloyafanya ,siwezi kuyamaliza )
Maajabu Sasa kila kukicha mnapamba na kufuta popote ambapo kuna chembechembe za Magufuli..
Na nyie Vyombo vya Dola,, nyote ni mashaidi na wenye macho kwa Mchango wa miaka mitano ya JPM katika Nchi hii, inakuaje mnachekacheka na Hawa wahuni ??.Wahuni ambao mashariti ya zile 4R zao, ni Kumchafua JPM na Kumsifia Aliyopo ?. Kwann mnaacha haya ?.
NDUGU ZANGU WATANZANIA FAHAMUNI, HATUNA WAPINZANI, TUNA KIKUNDI CHA WAHUNI AMBAO WANAPAMBANIA
👉 MATUMBO YAO
👉 PESA ZA WAZUNGU
👉USHOGA ILI TAIFA LILAANIWE , NA HUU USHOGA UNAONGOZWA KUPAMBANIWA WAPINZANI HUKU UKIFUMBIWA MACHO NA UONGOZI ULIPO.
RAI YANGU , WATANZANIA MSIKAE KIMYA, AMKENI SEMEI, PINGENI, HUKU MKIMWOMBA MUNGU AINGILIE KATI ... NAJUA UONGOZI WA SASA, UMEAMUA KUTUTOA KWA MUNGU, KWA SASA HAMNA YALE MAOMBI MAKUBWA YA KITAIFA ALOANZISHA JPM , NAJUA NI MAKUSUDI TU WANAFANYA, ILA NI MUNGU ALOTUPISHA KWENYE COVID-19, MUNGU ALOTUPUNGUZIA AJALI, MUNGU ALOTUEPUSHIA KUSHUKA KWA UCHUMI ,MUNGU ALOTUPA JPM ALOTUIMIZA TIFANYE KAZI KWA BIDII , NA HIVO BASI SISI KAMA WANANCHI, TUSIACHE KUMWAMBIA MUNGU AFANYE JAMBO, TUOMBEE VYOMBA VYA DOLA, MUNGU AVIPE WELEDI, ILI BADALA YA KUENDELEA KUSIMAMIA MTU NA KIKUNDI, WASIMAMIE MASUALA MAPANA YENYE MASILAHI YA NCHI !!.