Msoga Gang & Opposition Leaders, you guys should stop the demonization of our Late beloved President John Pombe Magufuli

Msoga Gang & Opposition Leaders, you guys should stop the demonization of our Late beloved President John Pombe Magufuli

Baada ya kusoma tu kwamba wewe ni muumini wa Magufuli nikakupuuza mara moja .
 
Screenshot_20230303-163925_Twitter.jpg
 
I hereby declare my interest, mimi ni muumini wa damu kabisa wa Magufulification of Tanzania.

JPM was a kind of President tulomuhitaji kwa miaka mingi, he was a man of his words, a Man who made things happen.

Lets speak the truth, Tanzania's current economic shambles, Social, Cultural and political calamities are largely due to leadership failure by past governments.

Nani asiyejua kuwa mtangulizi wake ndio aliyevuta Mpunga na mikataba ambayo leo hii imetuletea ushoga?

Nani asiyejua Ufisadi mkubwa mkubwa wakutisha uliofanywa na huyu mtangulizi wake?

Kuna ipindi kilichokuwa na Ufisadi, wizi, umasikini mkubwa, Wapinzani mpaka Viongozi wa Dini kula Rushwa waziwazi kama ilivyokua kwa Uongozi wa mtangulizi wake?

Nani asiyejua JPM alikuja kuwa Mkombozi aliyekinusuru Chama Cha Mapinduzi na kukifichia aibu machoni mwa Watanzania?

Nani asiyejua kuwa JPM alirithi Nchi iloharibika kwelikweli, huku hazina kukiwa hamna kila kitu?

Nani asiyejua JPM alirithi nchi ambayo Watumishi wa Umma, hawakuwa na tena na maadili, nidhamu, na walijawa dharau?

Nani asiyejua kuwa JPM alirithi Nchi ambayo haikuwa na strategical projects yoyote?

Nani asiyejua JPM alirithi nchi ambayo ilijawa Rushwa, Masikini akazidi kuwa Masikini, huku wachache wakuendelea kujikimbikizia Mali na watoto wao?

Late President JPM should not be demonized and we as Tanzanians na vile mnatuita (Sukuma Gang) we shall stand by to condemn any humiliation and any bad mouthing directed against our Late beloved Magufuli.

Watanzania ni lazima tusimame nyuma ya Misingi aliyoiacha Hayati JPM kuhakikisha kwamba Serikali hii iliyorithi mikoba yake inatafuta appropriate solutions to the country's problems na Serikali inawajibika kama ilivyokuwa kwa JPM. JPM alitatua tatizo hapohapo, yaliyohitaji muda aliyapa muda.

JPM akisema, naondoka ila nitarudi Mwezi wa Saba, nikija nikute pamekamilika, na kweli Mwezi wa Saba alirudi, na ole wako akute maneno na sio kazi iliyokwisha, utamjua!

Leo Nchi imerudi hatua za miaka kumi nyuma, mtu anaboronga anahamishwa, watu wanakula pesa tu za nchi, nchi haina hata bei elekezi. Sasa hizi watuingizia Michele na vyakula vya GMO, havipimwi wala nini!

Taasisi nyingi zimelala, watu wamelala, wakiamka ni kupiga hela, kila mahali ni vilio, Viongozi vilio, Wananchi vilio, hivi hii Nchi ya wapi? Tunaenda wapi kama Nchi?

Tanzania Must move forward and this requires all people in this country to support the Legacy left by Late JPM.

Mtu anapofurahia kifo cha JPM, Baba aliyojitoa maisha yake, Baba aliyeamua kutufanya tuamini na sisi Watanzania tunaweza is just unpatriotic, disingenuous and intellectually dishonest.

Kiongozi wa Nchi unajinadi eti "Hata mimi sipendi kutengua, kumtengua mtu ni fedheha!" Kweli? Unamwambia nani?

Unatafuta kupendwa? Ndio imefikia hatua unawaruhusu wale kwa kamba zao? Hatima yake kila kukicha wanagombaniana kupiga hela za Wananchi, Miradi inasimama, akionekana mmoja hapendi Rushwa, mnamuwashia moto, mara vile, mara hivi, kama Taifa tunaenda wapi?

I want you (Msoga and the Fake opposition leaders) to know that, the lies and malicious propaganda peddled against our Late Beloved President JPM will not work anywhere in the country, will not work anywhere and this is simply because Tanzanians knows their real enemy!

Magufulinists
believes in peace, development and well being of Tanzania na hivyo mashetani wote mnaofanya Siasa za Kumchafua Hayati JPM na kuwagawa Watanzania on the basis of tribal and regional politics, muache mara moja.

Muwe na aibu hata kidogo, mtalaaniwa na vizaazi vyenu, mambo makubwa alitufanyia huyu Mjoli wa Mungu JPM kwa miaka yake mitano tulipaswa hata tumjengee sanamu. Kwa kuhesabu mazuri makubwa aloyafanya, siwezi kuyamaliza.

Maajabu sasa kila kukicha mnapamba na kufuta popote ambapo kuna chembechembe za Magufuli.

Na nyie Vyombo vya Dola, nyote ni mashahidi na wenye macho kwa mchango wa miaka mitano ya JPM katika nchi hii, inakuaje mnachekacheka na hawa wahuni? Wahuni ambao mashariti ya zile 4R zao, ni kumchafua JPM na kumsifia aliyopo? Kwanini mnaacha haya?

Ndugu zangu Watanzania fahamuni, hatuna wapinzani, tuna kikundi cha wahuni ambao wanapambania;
  • Matumbo yao.
  • Pesa za Wazungu.
  • Ushoga ili taifa lilaaniwe, na huu ushoga unaongoza kupambaniwa na wapinzani huku ukifungiwa macho na uongozi uliopo.
Rai yangu

Watanzania msikae kimya, amkeni. Pingeni huku mkimwomba Mungu aingilie kati. Najua uongozi wa sasa umeamua kututoa kwa Mungu, kwa sasa hamna yale maombi makubwa ya kitaifa aliyoanzisha JPM, najua ni makusudi tu wanafanya, ila ni Mungu ndio alitupitisha kwenye Covid-19, Mungu alitupunguzia ajali, Mungu alituepushia Uchumi kushuka, Mungu aliyetupa JPM aliyetuhimiza tufanye kazi kwa bidii.

Na hivyo basi sisi kama wananchi tusiache kumwambia Mungu afanye jambo. Tuombe Vyombo vya Dola Mungu avipe weledi ili badala ya kuendelea kusimamia na kikundi wasimamie masualamapana yenye maslahi ya nchi.


Nimefikiria sana kuhusu kinachoendelea nchi hii...

Mkuu Carlos The Jackal kwa kweli umeusema ukweli mkubwa sana!
Umewasemea watanzania wengi sana tena kwa mamilioni!
Ebu tafakari vyombo vya habari, Vyombo vya Dola na viongozi wake!

Wote wamefumbia macho bila kuhoji kauli kama hizo anazozitoa Lema kwa umati mkubwa na hadharani kabisa!
 
Wapinzani mpaka Viongozi wa Dini kula Rushwa waziwazi kama ilivyokua kwa Uongozi wa mtangulizi wake?
Mpinzani Gani alichukua rushwa wazi wazi? Hii tabia ya kusema wapinzani sijui Wala rushwa sijui mafisadi mnaitoa wapi ilihali wenye serikali ni CCM? Naomba ukome hii tabia, chanjo mlete nyie, Makinikia muuze nyie, hazina muifilisi nyie ila lazma mtaje upinzani kwenye lawama zenu.

Embicile
 
I hereby declare my interest, mimi ni muumini wa damu kabisa wa Magufulification of Tanzania.

JPM was a kind of President tulomuhitaji kwa miaka mingi, he was a man of his words, a Man who made things happen.

Lets speak the truth, Tanzania's current economic shambles, Social, Cultural and political calamities are largely due to leadership failure by past governments.

Nani asiyejua kuwa mtangulizi wake ndio aliyevuta Mpunga na mikataba ambayo leo hii imetuletea ushoga?

Nani asiyejua Ufisadi mkubwa mkubwa wakutisha uliofanywa na huyu mtangulizi wake?

Kuna ipindi kilichokuwa na Ufisadi, wizi, umasikini mkubwa, Wapinzani mpaka Viongozi wa Dini kula Rushwa waziwazi kama ilivyokua kwa Uongozi wa mtangulizi wake?

Nani asiyejua JPM alikuja kuwa Mkombozi aliyekinusuru Chama Cha Mapinduzi na kukifichia aibu machoni mwa Watanzania?

Nani asiyejua kuwa JPM alirithi Nchi iloharibika kwelikweli, huku hazina kukiwa hamna kila kitu?

Nani asiyejua JPM alirithi nchi ambayo Watumishi wa Umma, hawakuwa na tena na maadili, nidhamu, na walijawa dharau?

Nani asiyejua kuwa JPM alirithi Nchi ambayo haikuwa na strategical projects yoyote?

Nani asiyejua JPM alirithi nchi ambayo ilijawa Rushwa, Masikini akazidi kuwa Masikini, huku wachache wakuendelea kujikimbikizia Mali na watoto wao?

Late President JPM should not be demonized and we as Tanzanians na vile mnatuita (Sukuma Gang) we shall stand by to condemn any humiliation and any bad mouthing directed against our Late beloved Magufuli.

Watanzania ni lazima tusimame nyuma ya Misingi aliyoiacha Hayati JPM kuhakikisha kwamba Serikali hii iliyorithi mikoba yake inatafuta appropriate solutions to the country's problems na Serikali inawajibika kama ilivyokuwa kwa JPM. JPM alitatua tatizo hapohapo, yaliyohitaji muda aliyapa muda.

JPM akisema, naondoka ila nitarudi Mwezi wa Saba, nikija nikute pamekamilika, na kweli Mwezi wa Saba alirudi, na ole wako akute maneno na sio kazi iliyokwisha, utamjua!

Leo Nchi imerudi hatua za miaka kumi nyuma, mtu anaboronga anahamishwa, watu wanakula pesa tu za nchi, nchi haina hata bei elekezi. Sasa hizi watuingizia Michele na vyakula vya GMO, havipimwi wala nini!

Taasisi nyingi zimelala, watu wamelala, wakiamka ni kupiga hela, kila mahali ni vilio, Viongozi vilio, Wananchi vilio, hivi hii Nchi ya wapi? Tunaenda wapi kama Nchi?

Tanzania Must move forward and this requires all people in this country to support the Legacy left by Late JPM.

Mtu anapofurahia kifo cha JPM, Baba aliyojitoa maisha yake, Baba aliyeamua kutufanya tuamini na sisi Watanzania tunaweza is just unpatriotic, disingenuous and intellectually dishonest.

Kiongozi wa Nchi unajinadi eti "Hata mimi sipendi kutengua, kumtengua mtu ni fedheha!" Kweli? Unamwambia nani?

Unatafuta kupendwa? Ndio imefikia hatua unawaruhusu wale kwa kamba zao? Hatima yake kila kukicha wanagombaniana kupiga hela za Wananchi, Miradi inasimama, akionekana mmoja hapendi Rushwa, mnamuwashia moto, mara vile, mara hivi, kama Taifa tunaenda wapi?

I want you (Msoga and the Fake opposition leaders) to know that, the lies and malicious propaganda peddled against our Late Beloved President JPM will not work anywhere in the country, will not work anywhere and this is simply because Tanzanians knows their real enemy!

Magufulinists
believes in peace, development and well being of Tanzania na hivyo mashetani wote mnaofanya Siasa za Kumchafua Hayati JPM na kuwagawa Watanzania on the basis of tribal and regional politics, muache mara moja.

Muwe na aibu hata kidogo, mtalaaniwa na vizaazi vyenu, mambo makubwa alitufanyia huyu Mjoli wa Mungu JPM kwa miaka yake mitano tulipaswa hata tumjengee sanamu. Kwa kuhesabu mazuri makubwa aloyafanya, siwezi kuyamaliza.

Maajabu sasa kila kukicha mnapamba na kufuta popote ambapo kuna chembechembe za Magufuli.

Na nyie Vyombo vya Dola, nyote ni mashahidi na wenye macho kwa mchango wa miaka mitano ya JPM katika nchi hii, inakuaje mnachekacheka na hawa wahuni? Wahuni ambao mashariti ya zile 4R zao, ni kumchafua JPM na kumsifia aliyopo? Kwanini mnaacha haya?

Ndugu zangu Watanzania fahamuni, hatuna wapinzani, tuna kikundi cha wahuni ambao wanapambania;
  • Matumbo yao.
  • Pesa za Wazungu.
  • Ushoga ili taifa lilaaniwe, na huu ushoga unaongoza kupambaniwa na wapinzani huku ukifungiwa macho na uongozi uliopo.
Rai yangu

Watanzania msikae kimya, amkeni. Pingeni huku mkimwomba Mungu aingilie kati. Najua uongozi wa sasa umeamua kututoa kwa Mungu, kwa sasa hamna yale maombi makubwa ya kitaifa aliyoanzisha JPM, najua ni makusudi tu wanafanya, ila ni Mungu ndio alitupitisha kwenye Covid-19, Mungu alitupunguzia ajali, Mungu alituepushia Uchumi kushuka, Mungu aliyetupa JPM aliyetuhimiza tufanye kazi kwa bidii.

Na hivyo basi sisi kama wananchi tusiache kumwambia Mungu afanye jambo. Tuombe Vyombo vya Dola Mungu avipe weledi ili badala ya kuendelea kusimamia na kikundi wasimamie masualamapana yenye maslahi ya nchi.
Sina tatizo na yote uliyoyaeleza,hemu tueleze kwa kifupi pia urafk wa Magufuli na Makonda na Sabaya common interest ilikuwa nn? Pili mpango wa kuunga juhudi viongozi wa Chadema kwa maana ya wabunge,madiwani na viongozi wengine wa chama ilikuwa ni free will au kulikuwa na bahasha au ahadi? Tatu nifafanulie kidogo kuhusu ugomvi wa CAG PROFESSOR ASSAD na Magufuli mpaka katiba ikavunja ili kumuondoa? Tusaidie tusioelewa plz....KARIBU MKUU
 

Ndani ya miaka sita mmeumiza watu na kufanya familia zao zilie, mkae mtulie mkiambiwa ukweli. Tena mtulie tulii.
 
Well said comrade, the propagation of any kind results into a true replica and goes through generations of the propagators. We wish them a happy receiving in their bid for social imperialism transformation and reforms.
Yes
 
I hereby declare my interest, mimi ni muumini wa damu kabisa wa Magufulification of Tanzania.

JPM was a kind of President tulomuhitaji kwa miaka mingi, he was a man of his words, a Man who made things happen.

Lets speak the truth, Tanzania's current economic shambles, Social, Cultural and political calamities are largely due to leadership failure by past governments.

Nani asiyejua kuwa mtangulizi wake ndio aliyevuta Mpunga na mikataba ambayo leo hii imetuletea ushoga?

Nani asiyejua Ufisadi mkubwa mkubwa wakutisha uliofanywa na huyu mtangulizi wake?

Kuna ipindi kilichokuwa na Ufisadi, wizi, umasikini mkubwa, Wapinzani mpaka Viongozi wa Dini kula Rushwa waziwazi kama ilivyokua kwa Uongozi wa mtangulizi wake?

Nani asiyejua JPM alikuja kuwa Mkombozi aliyekinusuru Chama Cha Mapinduzi na kukifichia aibu machoni mwa Watanzania?

Nani asiyejua kuwa JPM alirithi Nchi iloharibika kwelikweli, huku hazina kukiwa hamna kila kitu?

Nani asiyejua JPM alirithi nchi ambayo Watumishi wa Umma, hawakuwa na tena na maadili, nidhamu, na walijawa dharau?

Nani asiyejua kuwa JPM alirithi Nchi ambayo haikuwa na strategical projects yoyote?

Nani asiyejua JPM alirithi nchi ambayo ilijawa Rushwa, Masikini akazidi kuwa Masikini, huku wachache wakuendelea kujikimbikizia Mali na watoto wao?

Late President JPM should not be demonized and we as Tanzanians na vile mnatuita (Sukuma Gang) we shall stand by to condemn any humiliation and any bad mouthing directed against our Late beloved Magufuli.

Watanzania ni lazima tusimame nyuma ya Misingi aliyoiacha Hayati JPM kuhakikisha kwamba Serikali hii iliyorithi mikoba yake inatafuta appropriate solutions to the country's problems na Serikali inawajibika kama ilivyokuwa kwa JPM. JPM alitatua tatizo hapohapo, yaliyohitaji muda aliyapa muda.

JPM akisema, naondoka ila nitarudi Mwezi wa Saba, nikija nikute pamekamilika, na kweli Mwezi wa Saba alirudi, na ole wako akute maneno na sio kazi iliyokwisha, utamjua!

Leo Nchi imerudi hatua za miaka kumi nyuma, mtu anaboronga anahamishwa, watu wanakula pesa tu za nchi, nchi haina hata bei elekezi. Sasa hizi watuingizia Michele na vyakula vya GMO, havipimwi wala nini!

Taasisi nyingi zimelala, watu wamelala, wakiamka ni kupiga hela, kila mahali ni vilio, Viongozi vilio, Wananchi vilio, hivi hii Nchi ya wapi? Tunaenda wapi kama Nchi?

Tanzania Must move forward and this requires all people in this country to support the Legacy left by Late JPM.

Mtu anapofurahia kifo cha JPM, Baba aliyojitoa maisha yake, Baba aliyeamua kutufanya tuamini na sisi Watanzania tunaweza is just unpatriotic, disingenuous and intellectually dishonest.

Kiongozi wa Nchi unajinadi eti "Hata mimi sipendi kutengua, kumtengua mtu ni fedheha!" Kweli? Unamwambia nani?

Unatafuta kupendwa? Ndio imefikia hatua unawaruhusu wale kwa kamba zao? Hatima yake kila kukicha wanagombaniana kupiga hela za Wananchi, Miradi inasimama, akionekana mmoja hapendi Rushwa, mnamuwashia moto, mara vile, mara hivi, kama Taifa tunaenda wapi?

I want you (Msoga and the Fake opposition leaders) to know that, the lies and malicious propaganda peddled against our Late Beloved President JPM will not work anywhere in the country, will not work anywhere and this is simply because Tanzanians knows their real enemy!

Magufulinists
believes in peace, development and well being of Tanzania na hivyo mashetani wote mnaofanya Siasa za Kumchafua Hayati JPM na kuwagawa Watanzania on the basis of tribal and regional politics, muache mara moja.

Muwe na aibu hata kidogo, mtalaaniwa na vizaazi vyenu, mambo makubwa alitufanyia huyu Mjoli wa Mungu JPM kwa miaka yake mitano tulipaswa hata tumjengee sanamu. Kwa kuhesabu mazuri makubwa aloyafanya, siwezi kuyamaliza.

Maajabu sasa kila kukicha mnapamba na kufuta popote ambapo kuna chembechembe za Magufuli.

Na nyie Vyombo vya Dola, nyote ni mashahidi na wenye macho kwa mchango wa miaka mitano ya JPM katika nchi hii, inakuaje mnachekacheka na hawa wahuni? Wahuni ambao mashariti ya zile 4R zao, ni kumchafua JPM na kumsifia aliyopo? Kwanini mnaacha haya?

Ndugu zangu Watanzania fahamuni, hatuna wapinzani, tuna kikundi cha wahuni ambao wanapambania;
  • Matumbo yao.
  • Pesa za Wazungu.
  • Ushoga ili taifa lilaaniwe, na huu ushoga unaongoza kupambaniwa na wapinzani huku ukifungiwa macho na uongozi uliopo.
Rai yangu

Watanzania msikae kimya, amkeni. Pingeni huku mkimwomba Mungu aingilie kati. Najua uongozi wa sasa umeamua kututoa kwa Mungu, kwa sasa hamna yale maombi makubwa ya kitaifa aliyoanzisha JPM, najua ni makusudi tu wanafanya, ila ni Mungu ndio alitupitisha kwenye Covid-19, Mungu alitupunguzia ajali, Mungu alituepushia Uchumi kushuka, Mungu aliyetupa JPM aliyetuhimiza tufanye kazi kwa bidii.

Na hivyo basi sisi kama wananchi tusiache kumwambia Mungu afanye jambo. Tuombe Vyombo vya Dola Mungu avipe weledi ili badala ya kuendelea kusimamia na kikundi wasimamie masualamapana yenye maslahi ya nchi.
Huu ulioandika ni upumbavu mtupu, na unaandika kwa kuwa ulikuwa mfaidika wa Serikali DHALIMU ya DIKTETA MAGUFULI. Na nakuhakikishia nchi yetu haiwezi tena kuja kuruhusu mtu DHALIMU kama Magufuli atawale tena baada ya Mungu kutuonea huruma na kutusaidia watanzania kumtoa yule NDULI mwaka 2021.

Hatuwezi kama nchi kujivunia ukali wa mtu mmoja anayetumia vyombo vya dola kuua, kuteka, kutesa kama ndiyo mfumo wa uongozi. Uongozi siyo matumizi ya bunduki, matusi, mabavu na kutumbua ovyo ovyo, bali uongozi ni busara, utawala wa sheria na akili.

Afrika tujitahidi tujenge strong institutions na siyo strong people. Unapata jitu katili kama Magufuli linaua tu watu, linasema uwongo kila siku huku linaiba fedha. No kwa midubwasha ya aina hii
 
Hata ule wa serikali za mitaa 2019 wagombea wa Chadema 90%+ walienguliwa. Yaani mipango ya kijinga kweli,mtendaji anajua leo saa 10 ni mwisho wa kupokea fomu za wagombea yeye anafunga ofisi siku nzima halafu anazima simu......wakati huo ya mgombea wa ccm imepokelewa tangu jana! HILI NIMESHUHUDIA KWA MACHO YANGU
 
humu ndani fb wanaomtukana jpm ni wachagga wa chadema ambao walibwagwa kwenye ubunge pamoja na mfalme wao wa maisha gaidi mbowe. wengine wanaomponda makufuli walikuwa na vyeti feki na wengine wauza dawa za kulevya hao lazima wamchukie jembe la taifa wengine ni matajiri ambao kwa sasa awamu hii ya 6 ndio wanaokula nchi vibaya sana. wezi wakubwa sana matajiri ndio hao wanaomchukia jpm, wengine ni wafanya kazi wapigaji wa madili serikalini viongozi serikalini ambao kwa sasa wanakula mabilion kwa urefu wa kamba zao ,hakuna miradi yoyote inayoendelea. hiyo ya jpm inasuasua , vita vya kumtangaza vibaya jpm ilifanywa kwa gharama kubwa sana sana , kuonyesha umma kuwa jpm mtu mbaya , lakini ukiwa mkweli mtu wa mungu na mchapa kazi , mungu anakuwa mtetezi wako ndio maana watanzania wengi hawaamini na hawakubali kumsema jpm vibaya, jpm ni nembo ya taifa letu ndio maana vyama uchwara vinajaribu kumsema marehemu lakini marehemu anakuwa mshindi
 
Back
Top Bottom