Msoga Gang & Opposition Leaders, you guys should stop the demonization of our Late beloved President John Pombe Magufuli

Mie sio Miongoni mwa wanaoweza kudanganywa maana Huwa napenda kusoma na kutafuta habari.
 
Magufuli kaji demonize mwenyewe, wala hahitaji mtu yeyote kum demonize, he did that very well himself.

Mimi si Msoga wala sina kundi katika huu ujinga unaoitwa siasa Tanzania.

Lakini, kutoka kwa mtu asiye na upande hata mimi naona Magufuli was a country bumpkin who had no business being head of state.

Ni vile tu wabongo wengi bado hawajui systemic thinking.

Wanatumia sana emotion badala ya logic na data.

Ndiyo maana hata wewe post yako yote hujaweka hata namba kuonesha ubora wa Magufuli umeupima vipi tangibly, ukiondoa hadithi za abracadabra ambazo kichaa yeyote anaweza kupiga.
 
kama mpo wengi kwanini munashindwa kuanzisha chama chenu mpaka sasa? ni wanafiki tu
 
Legacy ya Nyerere inatetewa na nani?
Wacha Legacy yenyewe ijitetee.

Ila kumbuka unapokuwa kiongozi wa Taifa jua unaongoza watu na sio Mbuzi.
Unahitaji uingie kwenye mioyo ya watu.

Je? Akifanya maendeleo ya vitu au watu?
Kwa Sasa hayo hayafanyiki?
Wizi uliisha? Kama uliisha tuelezee pesa z pre bargaining zilikwenda wapi?

Zile Trillion 1.5 zilipoteaga wapi?

Kumbukeni hii ni nchi yetu inamilikiwa kwa umoja
 
sisi tumefurahi alipokufa kwasababu alikuwa kiongozi mshenzi, juha na muovu . asiyejua lolote kuhusu haki za binaadamu na utawala wa sheria. tulifurahi usiku ule
kama unaweza kamfufue uzikwe wewe. hatutaki viongozi manyapara hapa nchini
 
Sasa JPM aingie mioyoni Mara ngapi?

JPM hakupendwa na KIKUNDI Cha watu wachache WAHUNI ambao Masilahi Yao yaliguswa Moja Kwa Moja.
 
Aliyevaa kiatu ndo anajua msumali unachomea wapi.. wewe huwezi kuelewa Mkuu.
 
The death of that tyrant ruler saved the nation, ile siku aliyokufa ndipo nchi ilipookolewa kwa maana uadui na uhasama alioujenga baina ya watu wenye mitazamo tofauti ya kisiasa na namna ya kuiongoza nchi haujawahi kutokea tangu multiparty system ianze.
Yule mbweha bora alikufa mapema manake angemaliza miaka kumi au angetawala zaidi ya hiyo miaka kumi(campaigning za chinichini zilishaanza kuwekwa wazi na chawa wake of course yeye akiwa ndiye engineer) wangetekwa, wangeuawa, wangeporwa na wangeteswa wengi sana kisa tu wana mitazamo tofauti na utawala.
Nchi ingezidi kuwa na ongezeko la wakimbizi wa kisiasa.
Just imagine Sabaya, Musiba, Makonda, Polepole, Ndugai na vichaa wengine wa caliber hiyo wangekuwa bado wanachezesha raia 'segere', God has really saved the nation.
Pain ni kwa wale waliofaidika na uharamia uliokuwa ukifanyika na wale subcontractors(Sukuma gang affiliates) waliokuwa wakitupiga kupitia makampuni ya Jiwe na ya ndugu zake, hao ndiyo nyinyi mnaolialia kizuzu wakati watu walipoteza ndugu zao, watu waliporwa mali na fedha zao, watu walitekwa na kuteswa pia watu walijeruhiwa kwa risasi na vipigo.
Lile jibwa tutalisema, tutalinanga na tutalitukana na ningeshauri liingizwe kwe syllabus za shule kufundisha jinsi nchi ilivyotawaliwa na nduli aliyeua na kutesa raia wake katika awamu ya tano na akafa kwa Coronavirus simply ni kuwa alikuwa mbishi akikataa ushauri wa kitaalamu akitegemea kupona kwa kutumia pilipili, tangawizi, malimao na vitunguu, taifa lilipona baada ya kifo chake kilichosabaishwa na uzembe wake.
 
Thank you, those types of stupid goons will only manage to deceive fools.
Hawa Sukuma gang wanauchungu sana kwa kuwa nchi ina amani na raia wanaishi kwa furaha, economic challenges zilikuwepo na zitakuwepo kila mtu akaze buti apambanie mkate wake na wa dependants wake na kuua na kutesa si suluhisho japo kwa hao Sukuma gang kuteseka kwa raia ndiyo ilikuwa furaha yao.
 
Sukuma Gang mnalo mwaka huu,tutamsema mpaka huo mzoga ugeuke huko kaburini

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 

Vp kuhusu pesa alizoenda kuficha China?..kweli sukuma Gang yamewafika Kwa shingo.
 
Hakuna kitu mtafanya maana zama za ukatili zimeshapita. Huko CCM hata fomu hamtoruhusiwa kuchukua na mgombea wenu ni Samia!!!

Mpina si mlimjaza upepo mbona kakatwa ujumbe wa NEC mkoa na kitaifa na hamna kitu mmefanya!!
Hujui lolote kibaka wewe. We weka bando uendelee kupiga kelele humu. Muda ukifika mumeo hata ubelgiji ataona hapafai, atataka akimbilie kuzimu kabisa
 
Nataman kiandika kitu kizito ni kikumbuka tu makam mwenyekiti chama cha m ni kanali ambae ndo mwizi mkubwa na mratibu mkibwa wa wizi akishirikiana na gang ulilolitaja naishia kusema t RIP JPM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…