johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema msomi aliyetukuka kwenye maswala ya Fedha na Uhasibu ACCA Ahobokile Mwaitenda ( mheshimiwa) ametangaza Kujiuzulu nafasi ya Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema
Mh Mwaitenda amefikia uamuzi huo baada ya Mwenyekiti wa sasa kutangaza Kugombea uenyekiti wa Chadema
Taarifa imetolewa Ukurasani X
Kwako Mh Lucas Mwashambwa 😄
Mh Mwaitenda amefikia uamuzi huo baada ya Mwenyekiti wa sasa kutangaza Kugombea uenyekiti wa Chadema
Taarifa imetolewa Ukurasani X
Kwako Mh Lucas Mwashambwa 😄