Msomi Mbobevu ACCA Ahobokile Mwaitenda ajiuzulu Ujumbe wa Kamati Kuu ya Chadema baada ya Mbowe kuchukua Fomu ya Kugombea uenyekiti!

Msomi Mbobevu ACCA Ahobokile Mwaitenda ajiuzulu Ujumbe wa Kamati Kuu ya Chadema baada ya Mbowe kuchukua Fomu ya Kugombea uenyekiti!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema msomi aliyetukuka kwenye maswala ya Fedha na Uhasibu ACCA Ahobokile Mwaitenda ( mheshimiwa) ametangaza Kujiuzulu nafasi ya Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema

Mh Mwaitenda amefikia uamuzi huo baada ya Mwenyekiti wa sasa kutangaza Kugombea uenyekiti wa Chadema

Taarifa imetolewa Ukurasani X

Kwako Mh Lucas Mwashambwa 😄
 
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema msomi aliyetukuka kwenye maswala ya Fedha na Uhasibu ACCA Ahobokile Mwaitenda ( mheshimiwa) ametangaza Kujiuzulu nafasi ya Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema

Mh Mwaitenda amefikia uamuzi huo baada ya Mwenyekiti wa sasa kutangaza Kugombea uenyekiti wa Chadema

Taarifa imetolewa Ukurasani X

Kwako Mh Lucas Mwashambwa 😄
Kwa hivyo kuchukua fomu ndio kumfanya kujiuzulu?
 
Safari njema huko aendako.....kwenye MAPAMBANO wenye roho za kikekike watakimbia NO REFORM NO ELECTION
 
Mwamba Mwenyewe Freeman Mbowe Jabali na Gwiji wa Siasa za upinzani katika ukanda huu wa Afrika mashariki ndio habari ya Mjini kwa Sasa.
Wewe kunguni wa mama Abduli risiti zako tunazo hakuna namna utafanya kubadili upepo labda uombe msaada wa mods wafute hizi toilet paper zako ulizoweka humu tangu 2022.

Tueleze lini Mbowe ulimtoa kwenye list ya matapeli hadi kumuita mwamba wa siasa za upinzani.
chrome_screenshot_22 Dec 2024 12_26_57 GMT+03_00.png
 
Fedha ya wapi yeye mwenyewe mnganga njaa tu, tuvyeti twa kuokoteza huto
 
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema msomi aliyetukuka kwenye maswala ya Fedha na Uhasibu ACCA Ahobokile Mwaitenda ( mheshimiwa) ametangaza Kujiuzulu nafasi ya Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema

Mh Mwaitenda amefikia uamuzi huo baada ya Mwenyekiti wa sasa kutangaza Kugombea uenyekiti wa Chadema

Taarifa imetolewa Ukurasani X

Kwako Mh Lucas Mwashambwa 😄
Ni haki yake ya kudemokrasia kuingia Chadema na kutoka na kyamua kujiunga na chams chechote au kuamua kutokuwa na chama sio big issue

Aende zake mwana kwenda asibabaishe mtu

Nimpongeze kutumia haki yake ya kidemokrasia kuondoka

Hsyo msmbo ya ACCA mbobezi ni mbwembwe tu za mitaani
 
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema msomi aliyetukuka kwenye maswala ya Fedha na Uhasibu ACCA Ahobokile Mwaitenda ( mheshimiwa) ametangaza Kujiuzulu nafasi ya Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema

Mh Mwaitenda amefikia uamuzi huo baada ya Mwenyekiti wa sasa kutangaza Kugombea uenyekiti wa Chadema

Taarifa imetolewa Ukurasani X

Kwako Mh Lucas Mwashambwa 😄
Haya Ya Kawaida
Mwakani Ndani Ya CCM Issue Ya Fomu Nasema Itakuwa Kitimtim
Kimbunga Hidaya Kitaivuruga Mno Wapo Wanaotaka Fomu Ziwe Nyingi
 
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema msomi aliyetukuka kwenye maswala ya Fedha na Uhasibu ACCA Ahobokile Mwaitenda ( mheshimiwa) ametangaza Kujiuzulu nafasi ya Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema

Mh Mwaitenda amefikia uamuzi huo baada ya Mwenyekiti wa sasa kutangaza Kugombea uenyekiti wa Chadema

Taarifa imetolewa Ukurasani X

Kwako Mh Lucas Mwashambwa 😄
Wasomi wote walishasepa CHADEMA
 
Akili hana huyo kajaza makaratasi tu ya vyeti kabatini kwake
Ccm mmejaa mapumbavu tupu badala ya kupongezana ushindi wenu fake wa asilimia 99 mmebaki na sonona na bado mpaka mtubu Kwa upumbavu wenu wa kuiba kura.
 
Back
Top Bottom