Tutor B
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 9,025
- 6,598
Hapo ndio pabaya sana, Kiingereza ni lugha tu hiyo ambayo unaweza kujifunza lakini ukawa huna lolote unaloweza kufanya ili kupambana na mazingira yanayokuzunguka.Kibongo bongo msomi ni anayejua kingereza.