Twende mbele turudi nyums.
Msonde ni mtu kazi na ni mtu wa mabadiriko,nazani wote tumeona alichokifanya baraza,baraza lina oparate kama jeshi kiyfupi lipo smart.
Sasa huko tamisemi anataka mambo ya kale yaishe,japo kuna vitu hajazingatia ila sekta ya elimu na mifumo lazima ibadirike tuache kulia lia.
Sasa hapo mnaongelea likizo,likizo watumish ipo ya siku 28 kwa mwaka,likizo zingine ni za wanafunzi,kama kuna kazi za kufanyika mashulen bila wanafunzi kuwepo zifanyike,hiyo mifumo ishughulikiwe.
Jambo ambalo napingana nae ni hilo la watoto kurudia orientation course,kwa muda upi uliopo?je topic zitamalizwa lini?
Pia watoto wasilazimishwe shule na ufaulu usilazimishwe